Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

Status
Not open for further replies.
Tatizo ni kwamba hata wao inaonekana walikuwa hawajui juu ya huu usanii wa dr. Slaa. Ndio maana hata kumtetea wanashindwa.
Dr. slaa amejifanya kujibu hii hoja kabla ya kikao cha kamati kuu cha weekend kwa sababu anajua hoja hii italetwa sasa anataka kudesa majibu ya kutoa. hata hivyo, vidhibiti vyote vipo kuwa alichukua 140 mil kwa hiyo anaweza kujitapa kwenye facebook lakini ikijadiliwa kwenye kamati kuu atachemsha.

Yaani watu walalahoi wanachangia kipato chao kidogo kwa ajili ya M4C halafu yeye anachukua hizo pesa kumpekea mpenzi wake josephine. Huu sio tu ufisadi bali pia ni DHARAU. Na ndio maana Lema naye kajichotea na hawawezi kumgusa!!!

Kwani halipi unataka.....yani kila analofanya kwenu baya..nyie mnataka afanyaje kwa kweli anawatesa sana,
mtu kakopa hajaiba na amelipa
 
Mkuu, issue ni kwamba swala hili lililetwa hapa JF kwa mara ya kwanza na TUNTEMEKE ambaye alipigwa ban kwa kosa la kuleta "taarifa ya uongo". More than 14 months later, ndio babu anajitokeza kukubali kuwa alichukua pesa za chama.
Mbaya zaidi, babu anakuja na porojo kuwa watumishi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kukopa. Halafu babu huyuhuyu anataka aaminiwe kuachiwa Ikulu. Bado huoni issue ilipo Jasusi?[/QUOTE
hivi we inakusaidia nini? no matter is true or not,kama una hasira kunywa sumu kwa ajili ya pesa za epa,iptl,dowans.uanaacha kujadili issue za mustakabali wa taifa unajadili habari ya milioni arobain?mavi na makamasi kukichwa.
 
Mkuu, issue ni kwamba swala hili lililetwa hapa JF kwa mara ya kwanza na TUNTEMEKE ambaye alipigwa ban kwa kosa la kuleta "taarifa ya uongo". More than 14 months later, ndio babu anajitokeza kukubali kuwa alichukua pesa za chama.
Mbaya zaidi, babu anakuja na porojo kuwa watumishi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kukopa. Halafu babu huyuhuyu anataka aaminiwe kuachiwa Ikulu. Bado huoni issue ilipo Jasusi?

Inamaana wewe hufahamu kwamba watumishi wa vyama hawakopeshwi!? kafanyie kazi na uje na uthibitisho ndio tujadili.
 
Last edited by a moderator:
Viongozi wa vyama vya siasa wangekuwa hawawezi kukopa Mbowe angekuwa hadaiwi na NSSF. Yaani na wewe unadanganyika haraka na kirahisi namna hiyo?! au ndio ile mtu akipenda chongo huita kengeza? Mikopo ipo kwa watu wote wanaokopesheka.Kama hakopesheki basi tatizo ni lingine lakini siyo kwa kuwa ni mwanasiasa. By the way, Slaa na mshahara wa milioni 7 alikuwa na ulazima gani wa kuchukua tena milioni 20 za chama?

Mbowe amekopa kama mwenyekiti wa chama ama alikopa kama mfanyabiashara!? leta data mkuu tunataka kujua ukweli .
 
Hapa ndipo huwa nawashangaa sana hawa ndugu zangu wanaoamua kuchukua nafasi ya kutetea uhalifu eti tu kwa sababu ya mtu mwingine kuufanya. Swali langu la msingi ni hili kuna sababu gani sasa ya kubadilisha uongozi kama hawa tuliowaamini nao wako hivyo hivyo kama waliopo sasa au tunataka kubadilisha watu ili nao wale, waibe?
Nilisema hivi hivi kwenye tuhuma ya Lema na mpaka leo hajatoka hadharani kukanusha ila atakuja siku moja kutolea ufafauzi kama ilivyotokea kwa Dr. Slaa leo wakati hizi tuhuma ziliwekwa hapa miezi saba iliyopita. Alikuwa wapi wakati huo kutolea ufafanuzi huu?

Hapo wizi ni upi! hebu tueleze vizuri tuweze kuelewa huo wizi unausema hapa ni upi? sisi watz ni watu wa ajabu sana yaani tunaangalia tuvitu tudooogo sana ndio vinakuwa mijadala, hapa bado hamjamchafua Dr Slaa, bado tena sana leta kanda nyingine ya uchafuzi...
 
Weka ushahidi kuonyesha kwamba sio 140 ni 20, na ushahidi kwamba zimelipwa zote...kwa hiyo yaya analipwa na chama?
wewe unae tuhumu ndio weka ushahidi wa milioni 140 kuonyesha Dr anadaiwa ndio umtaka yeye aonyeshe ushahidi unaoutaka.
 
Mkuu,
Hata majibu yake yanazua maswali mengine mengi;
-Pesa zilikopwa lini?
-kwa utaratibu upi
-Kwa kanuni zipi za chama
-utaratibu wa kukopa ndani ya chama ulianza lini na ulipitishws na kikao kipi cha chama

-Chama kinasemaje kwenye vitabu juu ya malipo ya nani wa girlfriend wa katibu mkuu wa chama.

Maswali ni mengi tu

Ndugu yangu hapa maswali ni mengi sana kuliko majibu, ila hawa ndugu zetu wengine wanajaribu kusimplify hii issue na kuona kama ni jambo dogo sana, ila integrity ya mtu hupimwa kwa mambo mengi sana. Wengine wanaona Mil 20 kamakidogo ukilinganisha na mabilion ya EPA, Meremeta na hata za Uswiss, lakini usipoweza kuaminika kwa kidogo vipi vikubwa? Hapa amechota milion 20 kwa kisingizio cha kukopa na hii imetoka kwenye ruzuku ya chama, hakuna anayejua michango ya M4C inaratibiwa vipi. Ndiyo maana tunaona hata huko kwenye M4C kwenyewe kuna matabaka ya watu wanatumwa kwa sababu huko ndiko kwenye ulaji usio na hata chembe ya kuhojiwa kwani wanaokusanya hiyo michango ndiyo hao hao wanaozihesabu, wanaojua ni kiasi gani kimepatikana na ndiyo wanaotumia hata kabla ya kuingizwa kwenye mfuko wa chama halafu zikatoka katika utaratibu wa kawaida wa kimahesabu. Ukijaribu kuhoji unaambiwa masalia, PM7 na mamluki wanaotumika na CCM, hii siyo sawa na hapa ndipo integrity inavyoanza kuhojiwa kwani hakuna hata mahali pamoja panapoonyesha mapato halisi na Matumizi ya M4C!!!!!!!! Kazi kweli kweli
 
Kwanini hataki kujibu hoja zote zilizoelekezwa kwake na masalia? Kuanzia za magafu wa mwanza, mwampamba wa mbozi, juliana na kisandu? Kwanini anachagua anayopenda yeye? Nadhani katibu mkuu anapaswa kuufahamisha umma kwa uwazi zaidi kuhusu haya mambo..
Ukifukuzana na kichaa, bila shaka hata wewe wawezaonekana kichaa. Dr. Acha mapoyoyo yaendelee kupiga kelkele, chapa kazi baba.
 
Hapa ndipo huwa nawashangaa sana hawa ndugu zangu wanaoamua kuchukua nafasi ya kutetea uhalifu eti tu kwa sababu ya mtu mwingine kuufanya. Swali langu la msingi ni hili kuna sababu gani sasa ya kubadilisha uongozi kama hawa tuliowaamini nao wako hivyo hivyo kama waliopo sasa au tunataka kubadilisha watu ili nao wale, waibe?
Nilisema hivi hivi kwenye tuhuma ya Lema na mpaka leo hajatoka hadharani kukanusha ila atakuja siku moja kutolea ufafauzi kama ilivyotokea kwa Dr. Slaa leo wakati hizi tuhuma ziliwekwa hapa miezi saba iliyopita. Alikuwa wapi wakati huo kutolea ufafanuzi huu?
Sijakuelewa, unamaana gani unaposema wate wapo hivohivo? Mi nadhani haupo sahihi, huwezi sema anayekopa na kulipa ni sawasawa na mtu anaye tapeli na kudhurum. Fusadi gani alishawahi kukiri kukopa fedha zetu na akrudisha? Think twice.
 
Mkuu, issue ni kwamba swala hili lililetwa hapa JF kwa mara ya kwanza na TUNTEMEKE ambaye alipigwa ban kwa kosa la kuleta "taarifa ya uongo". More than 14 months later, ndio babu anajitokeza kukubali kuwa alichukua pesa za chama.
Mbaya zaidi, babu anakuja na porojo kuwa watumishi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kukopa. Halafu babu huyuhuyu anataka aaminiwe kuachiwa Ikulu. Bado huoni issue ilipo Jasusi?

kweli akili ni nywele...
 
Last edited by a moderator:
Wanaoshangilia hii hoja ni Rtz,ZE MARCOPOLO HAWA NAWAJUA TANGU 2010, WANAPENDA KUSHADADIA HOJA ZA KUICHAFUA chadema na kwa hoja kama hii ambayo mimi sioni uzito wake na hata haimchafui Dr. Lazima watakuwa na mengi ya kuchangia.
Kwa upande wangu mimi sioni tatizo kama Dr. Alikopa 20m na amerudisha sioni kama kuna issue ya kudiscuss kiivyo.
WE HAVE LOST THE GOLD WHILE WE ARE VERY BUSY COLLECTING STONES.
 
mimi naomba nijibiwe na na haya mashangingi ya mabwepande hivi mil20 na mil90 zipi nyingi na je mpaka sasa zimerudishwa kiasi gani kutoka kwa kila mbunge aliyekopeshwa? Sio kazi kupotosha watu tuuuu oh slaa or sijui nini huku mnakiri mnafaidika na siasa chafu mnazoleta hapa
 
Magamba na masalia hawa watu ni lazima tu watakuwa na mapepo na bila shaka wanahitaji maombi kabisa, hoja za kijinga yanashadadia tena kama haya magamba 2 humu JF Mingoi na ZeMarcopolo yanajifanya yana uchungu na chama kumbe njaa tu zinayasumbua.
Njaa yangu wala hainifanyi nikope ninasemanayo.
 
ondoa ukungu kwenye ubongo wako. ondoa tongo kwenye macho yako. sipendi majibu ya kijiweni. jibu hoja zangu 3 hapo juu. la sivyo kaa kimya!
Ukungu, tongo nk vimekutanda mwenyewe.. hoja zako si ngeni zilishajadiliwa sana hapa sasa wewe kwa tongo na kungu hukufanikiwa kuziona ndio maana unazidi kuchanganyikiwa.. kama unavyojiita scramble naona huko kwenye ubongo kuna scrambling ya nguvu.

Pia majibu yangu sio ya kijiweni kama unavyodai, ni kweli kwamba wapika majungu wa magamba wanajua kwamba hizo hoja hazina nguvu ndio maana hawazishadadii.
 
Dr Slaa nakushauri usijibishane na huyu punguani, stay focus as usual, to address national issues.

Hawa mapunguani tunawajua ila tunawahifadhi tu, siyo tatizo lao!
 
Kwanini hataki kujibu hoja zote zilizoelekezwa kwake na masalia? Kuanzia za magafu wa mwanza, mwampamba wa mbozi, juliana na kisandu? Kwanini anachagua anayopenda yeye? Nadhani katibu mkuu anapaswa kuufahamisha umma kwa uwazi zaidi kuhusu haya mambo..

Mkuu Munyangaa; Ni kweli pasipo na shaka ya kuwa hoja zote zilizotolewa na masalia ni mkakati wa kuendeleza propaganda mfu za CCM ili tutoke kwenye hoja za msingi tuanze kujadili upuuzi wenu. Ni vyema ukafahamu Dr. Slaa ni katibu mkuu wa CHADEMA, hivyo basi ana majukumu makubwa sana kuliko nyie masalia mnavyo fikiria, yaani wewe unataka Dr.Slaa katibu mkuu wa chama aachane na majukumu yake ya ujenzi wa chama aanze kujibizana na nyie masalia ambao uwezo wenu wa kufikiria umefikia ukomo. Jiulize kwa nini masalia hamkutoa tuhuma hizo pindi mkiwa wanachama halali wa CHADEMA? Mmesubiri kwanza mmetimuliwa ndo mmeanza kuropoka, je katika tuhuma zote mlizo zitoa ni ipi iliyothibitishwa kuwa ya kweli?
Mkuu Munyangaa ni vyema ukafahamu kuna maisha yataendelea hata mara baada ya huu upuuzi wenu , na sijui mtaficha wapi nyuso zenu. Napenda kuwakumbusha ya kuwa hii dhambi ya kutumiwa itawatafuna nyie masalia pamoja na vizazi vyenu.

Watanzania wa leo hatudanganyiki kwani “tumeijua kweli na kweli imetuweka huru kupitia M4C”, tunajua kutofautisha kati ya magugu na mpunga, tunajua kutofautisha kati ya mbivu na mbichi, na tunajua kutofautisha kati ya ukweli na uongo.
Kama kweli ungekuwa mzalendo, ni dhahiri usinge poteza mda wako kujadili hoja hii ya ki-puuzi ya mkopo wa Dr. Slaa ambao umeshalipwa, ilkhali kuna Mafisadi wamechota pesa za wavuja jasho na kuzificha Uswis, Kuna mikataba tata ya madini na gesi inayolitesa na itakayo endelea kulitesa taifa hili ukiwemo huu wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam .

Naomba niishie hapa kwa leo nisikuchoshe zaidi kwani kibarua cha leo cha kutudanganya najua kimekutoa jasho.
Lakini ujumbe wangu ni huu " Haijawahi tokea na haitatokea uongo ukaushinda ukweli"
Salaam kwa masalia wote “Mtapambana nasi lakini Hamtashinda” CHADEMA ni mpango wa MUNGU.


 
Sijakuelewa, unamaana gani unaposema wate wapo hivohivo? Mi nadhani haupo sahihi, huwezi sema anayekopa na kulipa ni sawasawa na mtu anaye tapeli na kudhurum. Fusadi gani alishawahi kukiri kukopa fedha zetu na akrudisha? Think twice.[/QUOTE
Basi nielewe hivi, ninachomaanisha ni kuwa sisi ama wewe na mimi tusiwe wepesi wa kumkania mtu wakati anatuhumiwa ila tuwaombe au tuwalazimishe waje na majibu sahihi. Kama ni tuhumu za uzushi watuambue ni uzushi na kama juna ukweli basi wakiri na kuomba samahani kwani hakuna binadamu mkamikifu
 
Deni limeshalipwa, tena imepita miezi saba sasa. What is the issue? Sijui na siwezi kuhukumu madai kuwa watumishi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kukopa. Lakini nisingekurupuka na kusema ni uwongo kabla sijafanya utafiti. Let us give him the benefit of the doubt until proven otherwise. Lakini naona wenzangu mna haraka ya kutoa hukumu na kukimbilia conclusion kuwa asiaminiwe kupewa Ikulu. Leo ikulu inakaliwa na mwizi wa mali za umma. Sijawasikia mkilalamika. Sioni issue.
ndo mlivyoaminishwa? au unaushahidi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom