omben
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 821
- 476
Anasema toka anachaguliwa yeye aliyakuta madara yaliyo jengwa yalikuwa 80. Yeye ktk kipindi cha miezi mitatu wamejenga madarasa 63. Anasema alijitolea mshahara wake wa mwezi alinunua mashuka na magodoro aliyasambaza kwenye zahanati zote za Mbozi magharibi. Amesema alijitolea mshahara wake karibu sh. 35m amechimba visima vya maji ya kunywa.