Dr Slaa aizika CCM Tunduma

Dr Slaa aizika CCM Tunduma

duh nawakubali makamanda na wananchi wa mbeya ndiyo maana mnapata maendeleo ni kwa sababu ya kudai haki kama hivi hapa wengine wanadanganywa na ccm ni mama eti ni baba. wakuwa control wetu na cc tutakuwa case wenye elimu ya utafiti wananielewa
 
uploadfromtaptalk1368283071640.jpg
Haijawai kutokea.
 
Dr.Slaa....

Tulichojifunza ccm ilipanga lwakatare ashtakiwe kwa kesi ya ugaidi, ili badae wahamie kwa viongozi waandamizi na hatimae kufutwa kwa chadema.
 
Cdm sasa wapunguze mikutano vingnevyo ni kama kipindi cha mariam migomba!
 
aiseeee ya huo umati wa watu umenifanya nifurahi adi machozi yananitoka yaan huu umati adi kwenye sandaku la kura 2015....
 
uploadfromtaptalk1368284377219.jpg uploadfromtaptalk1368284377219.jpg

Dr.Slaa akiendelea kuwaelimisha wanatunduma dhidi ya udhalimu wa ccm.!!!
 
Dr.Slaa....leo ameamu anaelezea kila kitu kuhusu mkanda wa shekh ilunga akilinganisha na unaoitwa ugaidi wa lwakatare.

Asante Dr. Maana wengi hawawezi kutembelea mitandao ya kijamii.!!!
 
Baada ya kuona huo umati nimeamua kuja bar na kuagiza kinana (tusker) mbili za baridiii ili kusherekea ukombozi
 
Back
Top Bottom