Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Mbona huyo mwanamama pemben na Josephine ni kama Inuit wa kule north west territory native Canadian.

Kumbe ni kweli wameomba political asylum in Canada.
 
Tatizo hapa bongo mbwembwe nyingi mtu utaulizwa maswali mengi Mara sijui nini bora kafungia huko huko ughaibuni
 
Mbona wapo wengi walioacha na kuoa? Tukiacha mambo ya Siasa, nampongeza Dr. Silaa kwa kuwa mkweli, maana aliona kuliko kuishi ktk dhambi ya uzinzi huku akijiita Padri ni bora kuacha na kuoa.

Never please anyone at your own detriment.Simple!

Kwa mtu asiyejitambua ndiye anayeweza kuyumbishwa tu.

Kuna watu hapa wanatoa comments utadhani wao wanaufahamu Ukatoliki kuliko aliyekuwa Katibu wa Baraza la Maaskofu (TEC)

Wanajifanya wanajua Dini na sheria zake kuliko Ph.D Holder wa Canon Law

Yet wao hata Bible Knowledge,Islamic Kwa Form Four au Divinity kwa Form Six hawajawahi kupata hata daraja C ziwaongezee Credit za daraja la ufaulu
 
Dr anakula kihalali sasa daaah vitu hivi hadi ma dr! kweli vitu vitamu
 
Ahaaaaaaaaa kuna rais mmoja ilibidi awe best man vip imekuwaje? Kweli shetan akizeeka uwa malaika
 
Kila jema Mola wajalie katika hii safari yao ya kuishi pamoja.
 
Hivi kwanini watu waliosoma seminary hasa katoliki huwa mara nyingi hawapati wenza sahihi, au hawajui kuchagua wanawake wa kuishi nao? Nasema kitu ambacho nimefanya utafiti kwa zaidi ya watu 37 waliosoma seminary!
 
Never please anyone at your own detriment.Simple!

Kwa mtu asiyejitambua ndiye anayeweza kuyumbishwa tu.toka uukose ubunge wa rombo una hasira sana..hama chama acha kuutesa moyo wako nenda hata act wazalendo

Kuna watu hapa wanatoa comments utadhani wao wanaufahamu Ukatoliki kuliko aliyekuwa Katibu wa Baraza la Maaskofu (TEC)

Wanajifanya wanajua Dini na sheria zake kuliko Ph.D Holder wa Canon Law

Yet wao hata Bible Knowledge,Islamic Kwa Form Four au Divinity kwa Form Six hawajawahi kupata hata daraja C ziwaongezee Credit za daraja la ufaulu
 
Mijitu inatokwa povu hapa utafikiri yenyewe ndoa zao ziko imara..

Kumbe ukute inagongewa kila siku
 
Hivi kwanini watu waliosoma seminary hasa katoliki huwa mara nyingi hawapati wenza sahihi, au hawajui kuchagua wanawake wa kuishi nao? Nasema kitu ambacho nimefanya utafiti kwa zaidi ya watu 37 waliosoma seminary!

Sababu kubwa ni kukurupuka bila kujua nini wanataka.
 
Hivi kwanini watu waliosoma seminary hasa katoliki huwa mara nyingi hawapati wenza sahihi, au hawajui kuchagua wanawake wa kuishi nao? Nasema kitu ambacho nimefanya utafiti kwa zaidi ya watu 37 waliosoma seminary!
Watakua wanachAguliwa na hao wenza na sio wao wamewachagua moja kwa moja.
Muwinda huwindwa..
 
Back
Top Bottom