Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

Mkuu naona tokea umefungiwa ni kama umepoteza rada kiana.

Huyo unayemponda ni gamba mwenziyo.Tena gamba original kuliko wewe.

Mkuu nimeshangaa walivyotoleana povu nikaamini ukimpiga mchungaji na kondoo wanasambaratika.
 
Dr. Slaa safari zake za nje ni za kujifichaficha sana.

Sio dalili nzuri hiyo. Safari ya kikazi kwanini iwe siri?
 
Vile vyama vyenye rangi nyekundu vina maana gan? CHADEMA nisaidieni majibu
 
Naona kumekucha sasa! Mchakamcha tu! 2lianza na katiba Lumumba na wabunge wao wakaponda, Kikwete akaona mbele 2kazungumza 2kakubaliana na matunda 2nayaona RASIMU na sasa ni kuingia Ikulu kwani njia ni Nyeupe kama Theluji. Wana cha ku2ambia tena? 57%- sifuri. Duu inatisha sana.
 
Sijui ila sijawahi kusikia amesafiri nje ya nchi kwa muda wa wiki tatu akikutana na watu, mara ya mwisho alipokuwa Japan alikuwa mgeni wa waziri mkuu wa nchi hiyo.

We pimbi kweli, sasa unamfananisha rais na katibu wa chama tena cha upinzani. Kwa nafasi yake JK akikaa nje ya nchi kwa muda wa wiki tatu lazima watu tutahoji kulikoni lkn sio kwa mtu ambaye sio rais kwa sasa, labda mwaka 2015.
 
CHADEMA, Dk. Slaa oyeeeeeeeeee!. CCM anzeni kutia maji vichwa vyenu, Mwaka 2015 lazima mnyolewe tuu. Hata muibeje kura lazima CHADEMA itinge Ikulu!
 
Report Mirembe hospital please!

Just come out of mirembe. They told me to ask you. Why they need a professor there!? Frm chama tawala!
They recon who ever call that guy a great leader should see them before the space are full!😀.
I gave them a name of salary slip. And they seems familiar with that name.: and they told me to give you their love;D😀😀.
 
CHADEMA, Dk. Slaa oyeeeeeeeeee!. CCM anzeni kutia maji vichwa vyenu, Mwaka 2015 lazima mnyolewe tuu. Hata muibeje kura lazima CHADEMA itinge Ikulu!

Pwaaaa! Hio ni sauti ya kudondoka kitu vibaya!
Hizi ni ndoto za mchana. Na hao wapinzani wanachotaka kuleta bongo ni chuki tu. Na ukabila. Ccm inakasoro zake ambazo zinatakiwa kuregebishwa na mafisadi kuondolewa lkn suala la kutuambia sijui slaaa au sleyyy au mrema sijui nani kuwa rais. Its unthinkable. Na hizo ni ndoto za mchana.
Ccm wanachukua nchi utake ustake. Na ukikasirika saaana. Hamia pemba kama mm.manake huko ccm haitaki tena.
Lkn usidhani mi CCM! aaaaah.! Wala kadi yao sina.huu ni ukweli tu nakupa.
 
Kunya anye kuku akinya bata kaharaa...............perdiem zake lazima ajilinganishe na raisi kama kawaida yake, duuh wiki tatu.......sianatumia ruzuku yote ya chama

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Ukiongea kitu shirikisha na ubongo,hivi Slaa tangu akiwa mbunge hadi katibu mkuu wa chama umemsikia lini akiwa nje ya nchi? lakini Vasco a.k.a Fastjet tangu akiwa waziri wa mambo nje hadi sasa Rais( kwa matokeo ya kuchakachua) unajua idadi ya safari zake? na zimegharimu shilingi ngapi na zimesaidia nntaifa letu!!come on come back to your senses!!msibiri arudi tumhoji,, ziara yake imesaidia nn taifa na chadema pia!!
 
Pwaaaa! Hio ni sauti ya kudondoka kitu vibaya!
Hizi ni ndoto za mchana. Na hao wapinzani wanachotaka kuleta bongo ni chuki tu. Na ukabila. Ccm inakasoro zake ambazo zinatakiwa kuregebishwa na mafisadi kuondolewa lkn suala la kutuambia sijui slaaa au sleyyy au mrema sijui nani kuwa rais. Its unthinkable. Na hizo ni ndoto za mchana.
Ccm wanachukua nchi utake ustake. Na ukikasirika saaana. Hamia pemba kama mm.manake huko ccm haitaki tena.
Lkn usidhani mi CCM! aaaaah.! Wala kadi yao sina.huu ni ukweli tu nakupa.
Lumumba moja hiyo kunyaka buku saba week end imeingia hiyooo!!
 
Just come out of mirembe. They told me to ask you. Why they need a professor there!? Frm chama tawala!
They recon who ever call that guy a great leader should see them before the space are full!😀.
I gave them a name of salary slip. And they seems familiar with that name.: and they told me to give you their love;D😀😀.

so you left Mirembe earlier than him? that is why you know he was there!! so you recovered faster! Iam not sure if you are okay just go back to confirm!!
 
Chadema mbona mnafanya siri kuweka wazi safari ya Dr Slaa nchini Ujerumani.

Ukweli ni huu Dr Slaa amekwenda Ujerumani kuonana na chama rafiki wa Chadema, Christian Democratic Union (CDU)
 
Ujerumani sio ulaya yote mshamba wewe,
Huko hata wewe unaweza kwenda kila siku. Anyway mnajua kuwa chama anachokwenda kuongea nao kina support yale mambo yenu ya uliberali?

Bwana Chris Lukosi Salaam! Utanisamehe kidogo naomba kupata mazungumzo nawe one-on-one hapa. Nimekusoma mara nyingi sana humu ukitoa hasira zako katika kila kitu chenye chembe ya Chama cha Siasa kinaitwa Chadema.

Nina mashaka kuna kitu sikielewi ambacho mwenzangu unakielewa. Hasira juu ya kitu chochote kwa binadamu mwenye akili timamu huwa inakuwa na sababu.

Wewe unaonesha ni mtu mwenye chuki sana juu ya Chadema. Hawa watu walikuudhi nini hasa ambacho katu hakisameheki? Tafadhali nisaidie kukuelewa.
 
Jahazi inazama huku uchaguzi wa kata 25, katibu kaitosa meli anakimbizia posho.....



[h=2]
icon1.png
Mbinga: CCM chali, Chadema kidedea[/h] Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kimeigarakaza CCM huko wilaya ya Mbiga kijiji cha Amani Makoro kwa chadema kupata kura 58 na CCM kura 43 kijiji hiki ndiko anakotoka aliekuwa katibu mkuu wa CCM Ndg Laurence Gama nani jirani kabisa na komba..Peoplesssssssssssssss.. ..
 
Bwana Chris Lukosi Salaam! Utanisamehe kidogo naomba kupata mazungumzo nawe one-on-one hapa. Nimekusoma mara nyingi sana humu ukitoa hasira zako katika kila kitu chenye chembe ya Chama cha Siasa kinaitwa Chadema.

Nina mashaka kuna kitu sikielewi ambacho mwenzangu unakielewa. Hasira juu ya kitu chochote kwa binadamu mwenye akili timamu huwa inakuwa na sababu.

Wewe unaonesha ni mtu mwenye chuki sana juu ya Chadema. Hawa watu walikuudhi nini hasa ambacho katu hakisameheki? Tafadhali nisaidie kukuelewa.

chuki zake zinatokana na kitu kinachoitwa DHAMBI YA UASI baaasi hicho ndicho kinachomsumbua
 
chuki zake zinatokana na kitu kinachoitwa DHAMBI YA UASI baaasi hicho ndicho kinachomsumbua

Asante Mkuu Remote kujibu, lakini natamani sana kuongea na yeye mwenyewe kuhusu misimamo yake ambayo binafsi nimeshindwa kuioanisha na kitu fulani.
 
Back
Top Bottom