Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

mbona hamhoji pesa zinazotumika katika ziara za kikwete lakini cha ajabu leo mmepata ujasiri wa kuhoji ziara za dr slaa tena ziara moja tu vipi kuhusu zile ziara zaidi ya 300 sisi hazituumi?
wamesha hoji wengi tu, hayo mabadiliko yatatoka wapi kama waleta mabadiliko wanarudia makosa yale yale
 
Mtoto wa kiume kila siku unamzungumzia mwanamke wa mwenzako hata huoni aibu? Hivi nyie watoto wa kiume mlioko huko ccm mnatamani kuchukua nafasi ya Josephine? Au ndio tabia zenu huko ccm kuserukambwa?

Mkuu Mwita Maranya umesahau sifa ya maliberali?
 
Last edited by a moderator:
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa, Juni 5, mwaka huu, ameanza ziara ya takriban wiki 3 barani Ulaya katika nchi ya Ujerumani.

Kwa mujibu wa habari kwenye Ukurasa wa Facebook ya CHADEMA na kuthibitishwa na Ofisa Habari wa CHADEMA, Tumaini Makene, Dkt. Slaa ambaye aliondoka nchini Juni 4, mwaka huu ktk ziara hiyo ya kikazi, atakutana na watu mbalimbali, wakiwemo viongozi mbalimbali wa serikali na vyama vya siasa.

Namnukuu-''Ni kweli mkubwa, Katibu Mkuu yuko nje ya nchi tangu juzi kwa ziara ya kikazi nchini Ujerumani, itakayochukua wiki tatu...atakuwa na ratiba tight kidogo, akiwa huko kama unavyojua Dkt. Slaa yuko kazini karibu muda wote, kwa sababu kwa sasa hakuna muda wa kupoteza hata sekunde, si unajua M4C iko matendoni mkubwa, ndani na nje ya nchi, ameenda kikazi,'' amesema Makene.

Itakumbukwa mwezi uliopita Dr Slaa alifanya ziara nchini Zambia ambapo pamoja na mambo mengine alifanya mazungumzo na Rais wa nchi hiyo Michael Satta katika Ikulu ya Lusaka.

Pole kwa majukumu hayo.
Napenda kujua tu kama hujatumia pesa cha chama, je umetumia pesa za nani katika safari hiyo ambayo naamini inagharimu fedha nyingi. Kama ni fedha zako binafsi ni kwa nini wakati unafanya kazi ya chama?
Nakutakia kila la kheri.
 
mbona hamhoji pesa zinazotumika katika ziara za kikwete lakini cha ajabu leo mmepata ujasiri wa kuhoji ziara za dr slaa tena ziara moja tu vipi kuhusu zile ziara zaidi ya 300 sisi hazituumi?

Inafahamika kuwa Kikwete anatumia fedha za Chama Na Serikali kwa manufaa binafsi, Chama na Serikali. Usihalalishe ubaya kwa ubaya.
Tusiwe vipofu wa kutoona au kufikiri kwa sababu tu kuna mwingine alishafanya kama hayo anayoyafanya.
Kama tumeona madhara ya safari za Kikwete, Iweje tusihoji ya Slaa ambaye anataka kutuaminisha kuwa yeye anafaa kuliko aliyepo wakati anafanya yaleyale ambayo 'hatuyataki'?.
 
Back
Top Bottom