Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

kikawaida ni lazima tuelewe kuwa safari za nje ya Tanzania huwa ni kuimarisha mahusiano,sasa anaposafiri Rais kikwete tunalalamika na wanaposafiri viongozi wengine wa kichama tunaona ni sawa.
kwa upande wangu nafurahia sana viongozi wetu wanavyosafiri nje ya Tanzania,hii inasaidia wao kuweza kubadilika ktk kuongoza kwao,kutengeneza mahusiano baina ya nchi na nchi,chama na chama.
Safari njema Dr Slaa,tunakutakia safari yenye mafanikio tele.
 
Kwa uchungu leo sichukui buku saba, yaani Slaa anaenda nje ya nchi kukutana na WATU , naogopa sana naona enzi za CCM sasa zimefikia ukingoni. Yaana anakutana kabisa na watu?

....hili ndo tatizo la mimba changa.
 
I hope ameenda kukutana na wafadhili wakubwa wa cdm na kujadili mbinu mbadala za kuwaamsha watanzania na kuichukia ccm na utawala wake kwa ujumla baada ya hizi za maandamano na vurugu kushindwa. Kwa roho safi namtakia safari njema aende na arudi salama.

Ndio anakwenda kukutana na chama cha christian deplomatic union wewe inakuuma nini?
 
I hope ameenda kukutana na wafadhili wakubwa wa cdm na kujadili mbinu mbadala za kuwaamsha watanzania na kuichukia ccm na utawala wake kwa ujumla baada ya hizi za maandamano na vurugu kushindwa. Kwa roho safi namtakia safari njema aende na arudi salama.

Hapo roho imekuuma! Kunywa sumu basi uteremshie na mchuzi wa kitimoto.
 
Eddie,

..nakumbuka hata Maalim Seif wakati wa maandamano na mauaji ya Pemba alikuwa ziarani nje ya nchi.

..wako wanaodai Maalim alifanya makusudi kuandaa maandamo yale yafanyike wakati akiwa safarini.

cc: takashi, GHIBUU, Molemo, Shardcole

Inawezekana alianda yale maandamano yafanyike lakini Je! Yeye ndie aliyemwaga damu ya raia wanaopigania demokrasia ya kweli? Angalia nini kinatokea sasa hivi Uturuki, wanaharakati wameandamana kupinga mpango wa serikali wa kujenga katika eneo la Bustani...Hakuna hata aliyepigwa risasi pamoja na vurugu zote unazoziona katika tv.

Kama ingalikua yanatokea hapa Tz , balaa lingalikua kubwa .
 
I hope ameenda kukutana na wafadhili wakubwa wa cdm na kujadili mbinu mbadala za kuwaamsha watanzania na kuichukia ccm na utawala wake kwa ujumla baada ya hizi za maandamano na vurugu kushindwa. Kwa roho safi namtakia safari njema aende na arudi salama.

Ninaamini roho inavyokuuma unatamani ardhi ipasuke ujifiche huko.
 
Ninaamini roho inavyokuuma unatamani ardhi ipasuke ujifiche huko.

Dr Slaa namtakia safari njema ya kwenda na kurudi home wala sina kinyongo na mwanadamu mwenzangu hata siku moja mkuu. Au ulitaka niandike nini? Huko si ndio walioko wafadhili tegemezi wa chadema au nimezua? Kiukweli hawezi kwenda Ujerumani bila kuonana na wafadhili wakuu wa cdm na miongoni mwa yatakayoögelewa ni pamoja na maendeleo ya chama ukizingatia chama kinayumba mno hasa katika m4c na migogoro isiyokwisha ndani ya chama.
 
Hapo roho imekuuma! Kunywa sumu basi uteremshie na mchuzi wa kitimoto.

Tetesi zilizopo juu ya safari ya ghafla ya dr kwenda Ujerumani ni kusitishiwa misaada kutokana na mwenendo mbovu wa chama ikiwemo conduct mbalimbali za cdm za kuhatarisha uhai wa wananchi.
 
Dr Slaa namtakia safari njema ya kwenda na kurudi home wala sina kinyongo na mwanadamu mwenzangu hata siku moja mkuu. Au ulitaka niandike nini? Huko si ndio walioko wafadhili tegemezi wa chadema au nimezua? Kiukweli hawezi kwenda Ujerumani bila kuonana na wafadhili wakuu wa cdm na miongoni mwa yatakayoögelewa ni pamoja na maendeleo ya chama ukizingatia chama kinayumba mno hasa katika m4c na migogoro isiyokwisha ndani ya chama.
ngoja basi aende vietnam na china wanakokwenda makuwadi wako unaowakuwadia CCM ukiwa ndani ya chadema baada ya kushindwa kufanya tricky zote ulizopangiwa sasa hivi una jipya lipi
 
Tetesi zilizopo juu ya safari ya ghafla ya dr kwenda Ujerumani ni kusitishiwa misaada kutokana na mwenendo mbovu wa chama ikiwemo conduct mbalimbali za cdm za kuhatarisha uhai wa wananchi.

Melody imeshindwa hiyo, umeimba hata kwa kutumia masalia umebaki kumung'unya, mungu'unya mdomo wako usio na simile siku hizi hata front page za magazeti hupewi ,manake huna soko na melody za kijinga
 
Tetesi zilizopo juu ya safari ya ghafla ya dr kwenda Ujerumani ni kusitishiwa misaada kutokana na mwenendo mbovu wa chama ikiwemo conduct mbalimbali za cdm za kuhatarisha uhai wa wananchi.

Unavyohangaika mpaka nakuonea huruma.
 
Huyo ndie rais ajaye tumpe support wandugu ili tuwe na maisha bora
Hongera sana Dr Slaa kwa kuipigania nchi yetu.
 
Namtakia kila la kheri Katibu Mkuu wetu awe na ziara njema kwa manufaa ya chama chetu pamoja na nchi yetu kwa ujumla.

Mwigulu, Nape na vibaraka wao wa lumumba project kajipangeni tena kwa kutuletea movie nyingine.
 
Back
Top Bottom