Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

Melody imeshindwa hiyo, umeimba hata kwa kutumia masalia umebaki kumung'unya, mungu'unya mdomo wako usio na simile siku hizi hata front page za magazeti hupewi ,manake huna soko na melody za kijinga

Kumbe mnapenda mno kuandikwa andikwa mno kwenye magazeti eee, ndio kumbe ndio lilikuwa lengo lenu watu nyie msio na ubinadamu ila unajua nuru ni nuru hasa inapokuwa imewashwa na mungu hakuna mwanadamu ataeweza kuizima.
Ila umeona rasimu ya katiba yetu? Kipenzi chako mambo yake magumu kutokana na degree zake za utumishi wa kanisa na kutotambulika kwa vyuo vyake alivyosomea. Hilo ni pigo.
 
Kumbe mnapenda mno kuandikwa andikwa mno kwenye magazeti eee, ndio kumbe ndio lilikuwa lengo lenu watu nyie msio na ubinadamu ila unajua nuru ni nuru hasa inapokuwa imewashwa na mungu hakuna mwanadamu ataeweza kuizima.
Ila umeona rasimu ya katiba yetu? Kipenzi chako mambo yake magumu kutokana na degree zake za utumishi wa kanisa na kutotambulika kwa vyuo vyake alivyosomea. Hilo ni pigo.

Unavyohangaika unaweza kupata Overtime leo.Naona leo wamekuacha mwenyewe.
 
Go go go KAMANDA!Magamba hicho ni kipenga.
 
Amealikwa na nani? Just curious!

Usiogope mkuu, hakualikwa na maliberali. Akifika Ujerumani atakutana na homeboy wake, Philip Marmo, balozi wa Tanzania nchini Ujerumani. Atateta naye namna bora ya CCM itakavyokabidhi nchi kwa CDM, 2015. Si unajua tena Marmo naye ni mkongwe wa siasa za Tanzania?!Tehetehetehe!!!!

NB: Kuhusu kukutana na Marmo don't quote me pls! Hiyo nisema tu kwa assumption kwa sababu Marmo ndiyo mtanzania mwenyeji kwa maana ya balozi.
 
Akipat U-Rais atatumia mwaka mzima kutembelea nchi mbalimbali. Kama Katibu tu wa chama anatumia week tatu kuwa nje ya nchi yake basi asimcheke Rais Kikwete. Kumbe wote ni wale wale
 
Ni muhimu sana katibu akakutane na watu bana.



Inaniuma sana yaani katibu mkuu inabidi asafiri nje ya nchi wiki tatu ili akutane na watu?


Kwan JK anaekesha huko kila siku huwa anakutana na wanyama??
 
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeez! safi sana kila la Kheri Dr huku Arusha kata zote tumesharudisha tunasubiri tarehe ya kutangazwa tu
 
Kwan JK anaekesha huko kila siku huwa anakutana na wanyama??

Sijui ila sijawahi kusikia amesafiri nje ya nchi kwa muda wa wiki tatu akikutana na watu, mara ya mwisho alipokuwa Japan alikuwa mgeni wa waziri mkuu wa nchi hiyo.
 
Aende tuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Na kwa mkakati huu wa kuzunguka ulaya wiki tatu kukutana na watu, lazima ataukwaa urais.
Ujerumani sio ulaya yote mshamba wewe,
Huko hata wewe unaweza kwenda kila siku.

Anyway mnajua kuwa chama anachokwenda kuongea nao kina support yale mambo yenu ya uliberali?
 
Kumbe mnapenda mno kuandikwa andikwa mno kwenye magazeti eee, ndio kumbe ndio lilikuwa lengo lenu watu nyie msio na ubinadamu ila unajua nuru ni nuru hasa inapokuwa imewashwa na mungu hakuna mwanadamu ataeweza kuizima.
Ila umeona rasimu ya katiba yetu? Kipenzi chako mambo yake magumu kutokana na degree zake za utumishi wa kanisa na kutotambulika kwa vyuo vyake alivyosomea. Hilo ni pigo.
Mama mbona yuko Chawata ana degree ngapi unapenda nafurahi sana ulivyosinyaa,yaani mimi nasema waendelee kukuminya tu ushike adabu hayo maneno yako siku hizi unaongelea JF na chumbani kwako kuyatoa Mtanzania watu wanakuzomea kila unapopita I love peoples move kudu
 
Ujerumani sio ulaya yote mshamba wewe,
Huko hata wewe unaweza kwenda kila siku.

Anyway mnajua kuwa chama anachokwenda kuongea nao kina support yale mambo yenu ya uliberali?
Ujerumani nchi ya pili kwa kuexport duniani,uingereza haioni ndani kwa uchumi ukilinganisha na ujerumani sasa usitake kujifanya kukaa huko Balham west basi ndio umeula na kufunga makontena tooting ndio umekuwa mwana wa mfalme kanjanja weye hakuna thread tena za mwezi wa sita unapeleka truck kumi za kusomba takataka iringa
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa, Juni 5, mwaka huu, ameanza ziara ya takriban wiki 3 barani Ulaya katika nchi ya Ujerumani.

Kwa mujibu wa habari kwenye Ukurasa wa Facebook ya CHADEMA na kuthibitishwa na Ofisa Habari wa CHADEMA, Tumaini Makene, Dkt. Slaa ambaye aliondoka nchini Juni 4, mwaka huu ktk ziara hiyo ya kikazi, atakutana na watu mbalimbali, wakiwemo viongozi mbalimbali wa serikali na vyama vya siasa.

Namnukuu-''Ni kweli mkubwa, Katibu Mkuu yuko nje ya nchi tangu juzi kwa ziara ya kikazi nchini Ujerumani, itakayochukua wiki tatu...atakuwa na ratiba tight kidogo, akiwa huko kama unavyojua Dkt. Slaa yuko kazini karibu muda wote, kwa sababu kwa sasa hakuna muda wa kupoteza hata sekunde, si unajua M4C iko matendoni mkubwa, ndani na nje ya nchi, ameenda kikazi,'' amesema Makene.

Itakumbukwa mwezi uliopita Dr Slaa alifanya ziara nchini Zambia ambapo pamoja na mambo mengine alifanya mazungumzo na Rais wa nchi hiyo Michael Satta.

Ameenda kuomba pesa kwa ajili ya M4C na pia kupatiwa mafunzo vijana wa chadema ili wakomboe nchi 2015.
 
Ujerumani sio ulaya yote mshamba wewe,
Huko hata wewe unaweza kwenda kila siku.

Anyway mnajua kuwa chama anachokwenda kuongea nao kina support yale mambo yenu ya uliberali?
Mkuu naona tokea umefungiwa ni kama umepoteza rada kiana.

Huyo unayemponda ni gamba mwenziyo.Tena gamba original kuliko wewe.
 
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeez! safi sana kila la Kheri Dr huku Arusha kata zote tumesharudisha tunasubiri tarehe ya kutangazwa tu

Hongereni sana watu wa Arusha
 
Back
Top Bottom