denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Ujinga zaidi ni kumpa cheo anayejitambua halafu unategemea afanye majukumu yake kwa kukupendeza wewe.Ni ujinga kufikiri hivyo.
Huyu jamaa alikuwa hajui yuko pale kwa sababu gani ilhali yeye si mhimili.
Serikali inaendeshwa kwa collective responsibility.