DR. Sengati, RC Shinyanga hivi ulikuwa na matatizo gani kuelewa?

Ujinga zaidi ni kumpa cheo anayejitambua halafu unategemea afanye majukumu yake kwa kukupendeza wewe.
Boss naona unajishaua shaua.
Mtu hapewi madaraka kwa jinsi anavyojisikia, ama sivyo kina Bashite wangekuwa bado wapo.
 
Boss naona unajishaua shaua.
Mtu hapewi madaraka kwa jinsi anavyojisikia, ama sivyi kina Bashite wangekuwa bado wapo.
Hata mimi kujisikia sijawahi kukuona kwenye CV, nachokiona kwenye CV miaka yote ni elimu ya mhusika, na experience, sio collective responsibility, wacha kukariri majibu.
 
Hata kujisikia sijawahi kukuiona kwenye CV, nachokiona kwenye CV miaka yote ni elimu ya mhusika, na experience, sio collective responsibility, wacha kukariri majibu.
Kama CV ni kiboko hata mwendazake mwenye Phd ya kemia angekuwa bado prezidaa na akitembea kifua mberee!
 
Hata mimi kujisikia sijawahi kukuona kwenye CV, nachokiona kwenye CV miaka yote ni elimu ya mhusika, na experience, sio collective responsibility, wacha kukariri majibu.
Wajinga mko wengi.
Ujinga ni kutojua, siyo tusi.
Na wewe hujui lolote katika kitu inaitwa Public Administration.
 
Nadhani kuna haja ya katiba mpya. Mara nyingi kumekuwa na ugomvi wa chinichini baina ya wakuu wa mikoa na mawaziri. Kwanza waziri wa kilimo au wengineo huwezi toa maelekezo ya moja kwa moja kwa Mkuu wa Mkoa. Kwa sababu kiprotokali hawa wako rank moja. Ndo maana unaona hata mkuu wa mkoa wa Dodoma alitunishiana na waziri wa Elimu kuhusu maagizo ya masomo ya ziada.
Miaka ya Nyuma kulishawahi kutokea hivyo hivyo vurugu baina ya wizara na Mkoa. Wizara inatoa maagizo mengine Mkoa nao unamsimamo wake.
Ilibidi waziri Mkuu Pinda aingilie kati kuitisha kikao ili kuwepo na utatuzi. Mkuu wa Mkoa alifanikiwa kuteteta hoja zake na hivyo Mkoa na halmashauri waliendeleza kutekeleza walichokuwa wanataka.

Dr. Sengati ni mtu wa misimamo, alijua wazi waziri hawezi muagiza. Ila ilitakiwa tu busara itumike, kujua kuna nini? Sidhani kama atajutia, bado ni kijana, na nimoja ya wakufunzi wazuri. Kuliko unabaki serikalini ktk siasa ati urambe miguu ya wanasiasa. Hii ndo inaitwa hakuna kujipendekeza.
Kama unakumbuka kuna DC fulani wakati wa Kikwete, alimgomea Lowasa na kumwita kijana. Kuna watu hawarambi miguu. Alikuwa ana msimamo huyu DC, kiasi Lowasa na kuogopwa kwake kwa huyo alisarenda!
Wanadai serikali za mitaa zinajitegemea na zinamaamuzi yake bila kuingiliwa kwa mujibu wa katiba, Lakini katiba uvunjwa kila siku. Serikali kuu ndiye amekuwa mwamuzi wa yote. Wanapanga wao kila kitu huko wizarani, serikali za Mitaa zenyewe ni kutekeleza tu. Hii ni kinyume na Katiba ya nchi.
Inafaa hata hawa Wakurungezi wasiteuliwe na Rais. Wakurungezi iwe ni kazi ya ushidani, watu waombe. Mkuu wa Mkoa nae iwe nafasi ya kugombea. Itaondoa huu ukiritimba.
Wewe katibu wa CCM nilikusikia unasema wananchi hatutaki Katiba. Nikuonye na samahani kusema ulitoka usingizini. Kuna mambo mengi yanaweka vipingamizi vya maendeleo kutokana na muundo wa Katiba iliyopo. Rais Kikwete hakuwa mjinga kuanzisha mchakato wa katiba. Anajua tatizo liko wapi.
Katiba hii ikibadilishwa itasaidia kuunda mifumo mingine ya kiutumishi, na kuwa na taratibu ambazo zitaondoa urasmu, na masuala ya rushwa. Halmashauri zinachangia pato la Taifa. Lakini wakati wabajeti, bajeti zao ukatwa na serikali kuu. Hii imefanya maeneo mengine kuzidi kuwa masikini wakati zinachangia pato.
Unachosema kina mantiki mkuu, lakini ukishauriwa tena officially ili kuondia kero za wananchi si unatekeleza?
Mkuu wa mkoa si himaya binafsi.
 
Actually jamaa ni mjinga, probably kama wewe.
Hivi alitaka apewe maagizo na nani dio atekeleze!
Enzi za one man show ziliisha na mwendazake, sasa ale jeuri yake.
Jinga ni wewe ambaye ni mtumwa wa tumbo! Unaona kabisa kuwa wewe kula ndicho kilichokuleta duniani! eti atakula jeuri yake! Nonsense! Ataishi kama wewe unavyoishi kwani una nini cha zaidi? atakula ugali na bamia kuliko kula cake kwenye utumwa wa samia!
 
Jinga ni wewe ambaye ni mtumwa wa tumbo! Unaona kabisa kuwa wewe kula ndicho kilichokuleta duniani! eti atakula jeuri yake! Nonsense! Ataishi kama wewe unavyoishi kwani una nini cha zaidi? atakula ugali na bamia kuliko kula cake kwenye utumwa wa samia!
Bado sijaona point yako.
In the meantime RC jeuri sasa anahama mkoa kurudi alikotoka.
 
3 - 0! Wakojani wanaupiga mwingi balaa!! Naona ni dk ya 89 sasa, Sukuma Gang wanamzonga mwamuzi wakimhisi kupendelea Wakojani!!

Ni hatari ndugu wapenzi wasikilizaji. Miaka 5 mfululizo Sukumagang walichukua ubingwa wa ligi kuu. Ila safari hii naona matumaini ya kutetea ubingwa wao, yanazidi kupotea.

Kwako Mwalimu Kashasha (RIP)
Wazamini wanatuvuta Shati .uwasikilize wazamini wetuu
 
Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.

Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Siyo kujipendekeza

Unawaumizaje wakulima kwa tozo zilizoondolewa kisheria?

Achunguzwe vyeti vyake
 
Mpare huyoo wa Gonjaaa

Zamani miaka ya 80 mwanzoni kwenye Ikulu ndogo/state lodge mkoani nilipokulia kulikuwa na cheo cha mama ikulu. Wakati flani akaletewa gari sawa na la Mkuu wa Mkoa na Katibu wa CCM mkoa. Basi nikawa na wambia wasichana tuliokuwa na shuleni jitahidi mjue masomo wanayo somea mama ikulu na nyie msomee hiyo kazi. Hiki cheo sijui kama bado kipo au la?
 
View attachment 1969340
View attachment 1969343
Kuna watu huwa wamesoma sana lakini ni wagumu kuelewa.
Huyu Dr Sengati ana matatizo gani?
Kaonywa lakini haelewi!
Hawa ndio tunaita thick headed!
Wewe ndio huelewi na ni mgumu kweli kweli,kwani unataka mtu afie madarakani kila kiongozi ana misimamo yake anayoiamini na ndio maana kakabidhiwa madaraka.

Na.ushasema yeye ni.msomi sasa unataka apelekeshwe tu kama ling'ombe yaani kwa sababu kateuliwa anaogopa kutenguliwa.

Uteuzi ni matwaka ya mteuaji hata umlambe lambe akiamua anakubwaga tu

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom