Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,209
- Thread starter
- #81
Nyie wajinga wajinga inabidi tuwadhamini mkasome Public Administration Mzumbe.Wewe ndio huelewi na ni mgumu kweli kweli,kwani unataka mtu afie madarakani kila kiongozi ana misimamo yake anayoiamini na ndio maana kakabidhiwa madaraka.
Na.ushasema yeye ni.msomi sasa unataka apelekeshwe tu kama ling'ombe yaani kwa sababu kateuliwa anaogopa kutenguliwa.
Uteuzi ni matwaka ya mteuaji hata umlambe lambe akiamua anakubwaga tu
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app