DR. Sengati, RC Shinyanga hivi ulikuwa na matatizo gani kuelewa?

Wewe ndio huelewi na ni mgumu kweli kweli,kwani unataka mtu afie madarakani kila kiongozi ana misimamo yake anayoiamini na ndio maana kakabidhiwa madaraka.

Na.ushasema yeye ni.msomi sasa unataka apelekeshwe tu kama ling'ombe yaani kwa sababu kateuliwa anaogopa kutenguliwa.

Uteuzi ni matwaka ya mteuaji hata umlambe lambe akiamua anakubwaga tu

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Nyie wajinga wajinga inabidi tuwadhamini mkasome Public Administration Mzumbe.
 
Zamani miaka ya 80 mwanzoni kwenye Ikulu ndogo/state lodge mkoani nilipokulia kulikuwa na cheo cha mama ikulu. Wakati flani akaletewa gari sawa na la Mkuu wa Mkoa na Katibu wa CCM mkoa. Basi nikawa na wambia wasichana tuliokuwa na shuleni jitahidi mjue masomo wanayo somea mama ikulu na nyie msomee hiyo kazi. Hiki cheo sijui kama bado kipo au la?
Unatuuliza tena sisi kuhusu uwepo wa cheo hicho?

Tueleze wewe, hata kama "mama ikulu" alishastaafu hawezi kushindwa kujuwa uwepo wa nafasi hiyo hadi leo.
 
Kumbe namshauri empty set wa Mzunbe PA.
Nikajua napiga punch lines na class from Kent. Atamia siasa tu bwa shee na kujipendekeza ili uingize siku

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha!
Nyie ambao elimu imewapita mbali mna matatizo ya kisaikolojia na hamjifahamu.
Mzumbe ni kwa elimu ya Utawala.
Siye entreprenuers tunajua mahali pa kupata appropriate and quslified staff kwa vile tuna a wide knowledge.
Najua nikitaka a qualified Quantity Surveyor wa ku value mali zangu najua lazima atoke Ardhi University.
Nikitaka Engineer wa ofisini najua nitampata UDSM.Engineer wa site najua nitampata DIT au MUST.
Sasa ninyi vilaza wa mujini mnafikiri mradi mtu ana Phd basi anaweza kuwa mkuu wa mkoa.
Tha guy performed dismally na pamoja na kuwa academically equiped, performance yake ilikuwa very poor.
Hawa ndiyo academics wanao cram results.
Mimi tena ni ligi ingine, kwako utakosa seat kuingia uwanjani.
 
Acha kulinganisha Prof Assad na utopolo wewe, unamjua Assad wewe??
Assad ni utopolo tu; mpenda sifa anayejidai kujua kukagua vitabu vyote vya serikali ilihali kazi hiyo hufanywa na watu wengine kabisa.
 
Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.

Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.

Wapi ambapo kwenye Siasa bila kujipendekeza utatoboa. Wapi mkuu. Katiba Mpya ipi itaweka kipengele cha kutojuana kwenye Siasa. Tupo nje huku miaka bila Vitamin B kwenye Siasa hupenyi. So katiba mpya itafute Ila sio solution ya mambo ya vyeo vya uteuzi. Duniani koteeee.
 
Waligarazwa na zile kura za kwenye mabegi meusi, kuamini kugaragazwa kwa aina hii ni dalili za mtindio wa ubongo.
Mabegi si mliyabeba nyinyi halafu mkajifanya kujichukulia sheria mkononi mlivyofeli saaana lile igizo lenu.
 
Kweli aseee kojani vs sukuma gang..Dr Sengati alillewa kiburi cha sukuma gang....
 
Na mchezaji wankutumainiwa wa Sukuma gang ametolewa nje kwa red card dakika za mwanzoni tu.

Watapigwa nyingi sana hawa kima washamba .

Mwingine huyu hapa leo kaanyoshwa kisaikolojia.

View attachment 1969367
Sasa kwa hivi move naona nafeli waliona wamewaweza kwa kuwahamisha

Maana wote wanaowachukia wapo kamati moja
 
Wewe
Nadhani kuna haja ya katiba mpya. Mara nyingi kumekuwa na ugomvi wa chinichini baina ya wakuu wa mikoa na mawaziri. Kwanza waziri wa kilimo au wengineo huwezi toa maelekezo ya moja kwa moja kwa Mkuu wa Mkoa. Kwa sababu kiprotokali hawa wako rank moja. Ndo maana unaona hata mkuu wa mkoa wa Dodoma alitunishiana na waziri wa Elimu kuhusu maagizo ya masomo ya ziada.
Miaka ya Nyuma kulishawahi kutokea hivyo hivyo vurugu baina ya wizara na Mkoa. Wizara inatoa maagizo mengine Mkoa nao unamsimamo wake.
Ilibidi waziri Mkuu Pinda aingilie kati kuitisha kikao ili kuwepo na utatuzi. Mkuu wa Mkoa alifanikiwa kuteteta hoja zake na hivyo Mkoa na halmashauri waliendeleza kutekeleza walichokuwa wanataka.

Dr. Sengati ni mtu wa misimamo, alijua wazi waziri hawezi muagiza. Ila ilitakiwa tu busara itumike, kujua kuna nini? Sidhani kama atajutia, bado ni kijana, na nimoja ya wakufunzi wazuri. Kuliko unabaki serikalini ktk siasa ati urambe miguu ya wanasiasa. Hii ndo inaitwa hakuna kujipendekeza.
Kama unakumbuka kuna DC fulani wakati wa Kikwete, alimgomea Lowasa na kumwita kijana. Kuna watu hawarambi miguu. Alikuwa ana msimamo huyu DC, kiasi Lowasa na kuogopwa kwake kwa huyo alisarenda!
Wanadai serikali za mitaa zinajitegemea na zinamaamuzi yake bila kuingiliwa kwa mujibu wa katiba, Lakini katiba uvunjwa kila siku. Serikali kuu ndiye amekuwa mwamuzi wa yote. Wanapanga wao kila kitu huko wizarani, serikali za Mitaa zenyewe ni kutekeleza tu. Hii ni kinyume na Katiba ya nchi.
Inafaa hata hawa Wakurungezi wasiteuliwe na Rais. Wakurungezi iwe ni kazi ya ushidani, watu waombe. Mkuu wa Mkoa nae iwe nafasi ya kugombea. Itaondoa huu ukiritimba.
Wewe katibu wa CCM nilikusikia unasema wananchi hatutaki Katiba. Nikuonye na samahani kusema ulitoka usingizini. Kuna mambo mengi yanaweka vipingamizi vya maendeleo kutokana na muundo wa Katiba iliyopo. Rais Kikwete hakuwa mjinga kuanzisha mchakato wa katiba. Anajua tatizo liko wapi.
Katiba hii ikibadilishwa itasaidia kuunda mifumo mingine ya kiutumishi, na kuwa na taratibu ambazo zitaondoa urasmu, na masuala ya rushwa. Halmashauri zinachangia pato la Taifa. Lakini wakati wabajeti, bajeti zao ukatwa na serikali kuu. Hii imefanya maeneo mengine kuzidi kuwa masikini wakati zinachangia pato.
Huna ukijuacho,

Yaani waziri unamfananisha na mkuu wa mkoa?

Kwamba wote wana renki sawa?

Mkuu wa mkoa anaingia kwenye kikao cha baraza la Mawaziri?

Mkuu wa mkoa eneo lake la utawala ni la Nchi nzima kama alivyo waziri au mamlaka yake yanaishia kwenye mkoa wake tu? Mkuu wa mkoa anaweza akatoa amri ikatekelezwa nchi nzima au inaishia kwenye mkoa wake tu?

HEBU FUTA UHARO WAKO HAPA!!!!
 
Huyo RC atakuwa ni mmoja katika wale wanakikundi cha Polepole,Bashiru na Gwajima hawa kazi yao ni kuvuruga mipango ya Rais Samia ili eti ionekane hawezi kuongoza.
 
Back
Top Bottom