Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?


Kulisha walemavu chakula cha siku moja na kuonyesha kwenye TV wiki nzima ni sanaa, Bakheresa analisha maskini wengi na hajitangazi
 

Sendeka huwa yupo nyuma ya Mengi kila anapokuwa hayupo Bungeni ni mpambe number one wa Mengi na sasa anatumika kupenyeza chuki zake kwa Mhongo Mengi kaapa atahakikisha mhongo anang'oka kwa gharama yeyote,Mengi ni mpenda ligi sana.
 
Kulisha walemavu chakula cha siku moja na kuonyesha kwenye TV wiki nzima ni sanaa, Bakheresa analisha maskini wengi na hajitangazi

Wafanyakazi kwenye makampuni yake wanalipwa mishahara ya ajabu sana, huyo Mzee ana vioja vingi Kama lilivyo jina lake
 
Namshauri mohongo arudi kwenye taaluma yake ya kupasua miamba.
 
Kulisha walemavu chakula cha siku moja na kuonyesha kwenye TV wiki nzima ni sanaa, Bakheresa analisha maskini wengi na hajitangazi
Hata biblia inasema tushindane katika kutenda mema na yanayompendeza Mungu.
Muhongo wako ametenda yepi ya kuwapendeza watanzania wa kawaida yeye binafsi?
 

mengi wa nin asiyelipa kodi!
 
Huyo muhongo jinga kabisa.

Akafie huko na mzoga wake uliwe na mbwa.

Mwizi mkubwa
 
Tatizo kubwa kwenye chama cha kidumu wengi wao nikujiona Miungu watu, sasa swali kwanini asilimia kubwa ufisadi unaanziaga huko?
 
Mzee wa juis matokee yake atakuwa mzee wa ges
 
"Mh. Spika, sijawahi kuona mtu muongo kama Prof. Mhongo" Tundu Lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…