Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Dr.Dau alipoanza ku-qoute maneno kutoka kwenye msahafu nilitambua lengo lake papo hapo!
Kiongozi wa UMMA ukishajikita kwenye udini, jamii inakutapika! Mbaya zaidi watetezi wake hapa JF ndio wale wale magwiji wa kupandikiza chuki za kidini. Kama wewe na mwezio Ritz

Yaani.....!
 
Message kama hii ni ya ushabiki. Sijui mwandishi anashabikia nini lakini sioni kuunguruma kokote. Huyo Dau anazungumza akishukuru tu na ni kama dk 4. Badala ya kuandika ya maana yaliyozungumzwa ktk ufunguzi mtu mzima anaandika, Dau kaunguruma. Wapi alipounguruma?

Huu ni ushabiki uliostahili kufanywa na dunia kwa watu kama Einstein. Leo hii tunashabikia mkurugenzi aliyeondolewa, ili iweje?
Mchunguzi,
Nakuomba kwa hisani yako hebu soma hii labda utaelewa
nini nilichokusudia:
Mohamed Said: Nyerere Alipounguruma Umoja wa Mataifa, New York 1955
 
Magufuli kashauri hilo daraja liite "DARAJA LA NYERERE"

Hapo sasa!
Safi sana: la Mkapa tayari tunalo kule Lindi, la Kikwete liko kule Maragarasi na la Magufuli tunalisubiri huko Kigongo.
 
Hongera Dr Dau kwa kuwa miongoni mwa waliofanikisha ujenzi wa daraja hili adhimu...." Daraja la dau"
hela zilizojenga hilo daraja zilitoka mifukoni mwa dau au ni michango ya wastaafu wa NSSF wanaokosa mafao pindi wakistaafu?
 
Mchunguzi,
Nakuomba kwa hisani yako hebu soma hii labda utaelewa
nini nilichokusudia:
Mohamed Said: Nyerere Alipounguruma Umoja wa Mataifa, New York 1955
Nimegundua ukiwa extreme sana kwy haya mambo ya dini hata akili yako inadumaa kbs na kila kitu unaanza kukiangalia kwa mtazamo huo....mwisho hata ukijifumania mkeo na aliyevaa kanzu na barghashia utasema mwacheni!
Mzee Sitta alijenga lile la Selander mwaka 1981 tena kwa pesa zake mwenyewe.......

8990485413_a44631ba4a_z.jpg

Dr Dau hajafungua daraja, hata wasemaji wote waliomtangulia JPM hawakutambua uwepo wake katika zile protokali. Endeleeni kujifariji, ila darala limepewa jina la mkatoliki Julius Nyerere
 
hahahaha!! hii picha hii kuna watu wanatamani wavunje simu zao wakiingalia ...

cc Ritz FaizaFoxy



13051531_1129481750426638_1956601341495157194_n.jpg
Nisuala la kusubiri.muda utaongea .kama ni kweli ekari moja imenunuliwa kwa bilioni 1 na mia 8 milioni Arusha.maana Arusha ataa leo ekari moja mahali gali kabisa ni sh 24 milioni.
 
Franco Zetta,
Huwezi kujua Dau ana hisani na watu wangapi katika mji huu
mimi nikiwa mmojawapo na ni rafiki na ndugu yangu wa miaka
mingi.

Sasa nakupa nyingine.
Dr. Dau ni bingwa wa kuzungumza Kiingereza.

Rudi tena nikupe nyingine.
Hata watoto wa kizungu wana ongea Kiingereza,Kwa hiyo?
 
Dr.Dau alipoanza ku-qoute maneno kutoka kwenye msahafu nilitambua lengo lake papo hapo!
Kiongozi wa UMMA ukishajikita kwenye udini, jamii inakutapika! Mbaya zaidi watetezi wake hapa JF ndio wale wale magwiji wa kupandikiza chuki za kidini. Kama wewe na mwezio Ritz
Mussa Allan,
Ikiwa unataka kulijua tatizo la udini msome P van Bergen (1981)
huyu ndiye mwandishi wa kwanza kulieleza tatizo hili.

Kisha msome John Sivalon (1992).
Halafu hitimisha na Hamza Njozi (2002).

Ukifanya haya tatizo la udini litakuwa halikupi shida hata kidogo.

Ukipenda sasa kupata picha kubwa na kujua nchi yetu ilikotoka
hadi tukafika hapa tulipo wewe ukisikia Qur'an unaogopa msome
mtu mmoja anaitwa Mohamed Said (1998).

Huyu atakuonyesha kwa ushahidi kuwa katika mikutano ya TANU
Sheikh Suleiman Takadir alikuwa anaanza kwa kusoma Surat
Fatha kisha ikaombwa dua na baada ya hapo ndipo anamkaribisha
Nyerere kuhutubia.

Nyerere ni Mkatoliki wala hakupata kuonyesha kukerwa na hilo.
Sasa hii jamii kutapika kwa kusikia aya za Qur'an kaleta nani?

Ukiwasoma hao waandishi niliokutajia hapo juu utajifunza mengi.
Hii mambo ya kukasirishwa na Qur'an ni mambo yalikuja baadae.
 
SALUTI KWAKO MUHESHMIWA DR MAGUFULI, SALUTI KWAKO MUHESHIMIWA DR KIKWETE, SALUTI KWAKO MUHESHIMIWA DR DAU,
KAMA MWANA KIGAMBONI LEO NAWEZA TEMBEA KIFUA MBELE, NA KUTAMKA NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA.
 
Hata watoto wa kizungu wana ongea Kiingereza,Kwa hiyo?
Franco Zetta,
Waingereza wangesema ''you are missing'' the point.
Dr. Dau ana ''photographic memory.''

Hii kanihadithia TPA Baord Member mmoja zaidi ya miaka
20 sasa.

Dr. Dau alikuwa anaulizwa maswali na Board na members
wana makabrasha wanasoma.

Ikawa Dau anataja tarehe ya barua kisha anaisoma yote
ghibu, yaani ''off head.''

Kafanya hivi mara kadhaa.
Wale Board Members wakapigwa na mshangao.

Basi yule sahib wangu hakuweza kustahamili usiku kanitafuta
na kunipa mkasa ule.

Rejea tena nikupe nyingine.
 
Pangechimbika ila bado nakumbuka operesheni tokomeza kitimoto kipindi kile cha mzee ruksa though nilikua mdogo lakini jamani ilikua shida. Ndugu zetu hawana shukrani
Hawana shukrani kivipi ?
 
Franco Zetta,
Waingereza wangesema ''you are missing'' the point.
Dr. Dau ana ''photographic memory.''

Hii kanihadithia TPA Baord Member mmoja zaidi ya miaka
20 sasa.

Dr. Dau alikuwa anaulizwa maswali na Board na members
wana makabrasha wanasoma.

Ikawa Dau anataja tarehe ya barua kisha anaisoma yote
ghibu, yaani ''off head.''

Kafanya hivi mara kadhaa.
Wale Board Members wakapigwa na mshangao.

Basi yule sahib wangu hakuweza kustahamili usiku kanitafuta
na kunipa mkasa ule.

Rejea tena nikupe nyingine.
Labda nikuulize Muungwana sana, ukidhani haya yote mimi yani saidie nini? Mbona ni kama huko katika utimamu wako nini hasa kime kusibu,nionavyo mimi uliweka sana utegemezi kwa huyo mhisani wako kwanini usi fikirie sasa kurudi shamba kama hali ni hii una lalama una mpamba,na kwa mwelekeo huu ukieleza kuwa alikua rafiki yako nashangazwa na aina ya marafiki alio kuwa nao kaa tuliza kichwa ujifunze kumtumaini mola wako na si Binadamu,pole sana ndio kilimwengu.
 
Wanabodi,
Kweli leo tumeshuhudia kuwa dr. Dau ni mtu mahiri sana na mtu anayejua kazi kwa uwelewa mkubwa. Yaani the Man is smart ukisikiliza hutuba yake fupi anaongea kwa makini, utulivu na kujiamini. Huwezi kabisa kumlinganisha na mkurugenzi wa sasa wa NSSF yaani Dau ni kichwa. Magu anatakiwa huyu asimuweke mbali na serikali hawa ndo vichwa vya kuchota hazina ya utaalam waliojaliwa sio kumpeleka kuwa balozi.
 
Labda nikuulize Muungwana sana, ukidhani haya yote mimi yani saidie nini? Mbona ni kama huko katika utimamu wako nini hasa kime kusibu,nionavyo mimi uliweka sana utegemezi kwa huyo mhisani wako kwanini usi fikirie sasa kurudi shamba kama hali ni hii una lalama una mpamba,na kwa mwelekeo huu ukieleza kuwa alikua rafiki yako nashangazwa na aina ya marafiki alio kuwa nao kaa tuliza kichwa ujifunze kumtumaini mola wako na si Binadamu,pole sana ndio kilimwengu.
Franco Zetta,
Maalim wangu Sheikh Haruna ndiye aliyenisomesha ilm na
adabu za kufanya mjadala.

Akisisitiza sana heshima na lugha ya kupendeza.
Mimi siwezi kujibu kejeli itakuwa hapana tija.

Dr. Dau alipoanza kazi Bandarini aliwashangaza
sana madereva waliokuwa wakimuendesha.

Mchana akipelekwa nyumbani kula basi humkaribisha
dereva wake wakakaa meza moja na kula pamoja.

Hawa madereva walikuwa hawajaona kitu kama hicho.

Ikawa ni gumzo kwao na kila mmoja wao alikuwa anaomba
apangiwe kazi kwa Dr. Dau.

Rejea tena nikupe nyingine.
 
Kweli..mungu ampe maisha Marefu Dr Ramadhani K Dau ili azidi itumikia nchi kwa weledi
 
Mohammed Said una mambo mengi sana ya sisi kujifunza juu ya hulka binafsi za Alhaj Dr Dau. Hawa makaaaaaafir wasikutie hasira ukashindwa kutupa ya zaidi. Nimejisikia faraja sanaaaaaa kwa namna ambavyo kasoma hiyo aya na ile bismillah aliyoitamka pale mwanzo. Hii ndiodini ya haqi. Allah akbar
 
Back
Top Bottom