Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
Dr.Dau alipoanza ku-qoute maneno kutoka kwenye msahafu nilitambua lengo lake papo hapo!
Kiongozi wa UMMA ukishajikita kwenye udini, jamii inakutapika! Mbaya zaidi watetezi wake hapa JF ndio wale wale magwiji wa kupandikiza chuki za kidini. Kama wewe na mwezio Ritz
Yaani.....!