Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Very low thinking! Unaingiza hili na lile ili iweje? Unaandika yasiyonihusu nikusaidie nini? Kama wewe ulimjua Dau ktk mizunguko yenu, ulitegemea nami nimfahamu? Nini cha m,aana alichowahi kufanya hadi nimfahamu. Dau tumemsikia hivi karibuni kwa hayo niliyokutajia sasa wewe unalazimisha eti mimi. Una elimu gani wewe?
Wewe kutokumfahamu DR DAU sio sababu ya Dr Huyu kutokutambulika Kwa kazi na Faida alioileta ktk Taifa hili.
Watanzania wengi hamjishughulishi kujua vya maana bali mnapenda Kusikiasikia maneno ya mitaani au makanisani na Kuyatumia hayo km Njia ya Kujengea hoja.

Rais wako anafahamu Thamani ya huyu DR. Na Kalitamka hili HADHARANI. Je! Hii haitoshi wewe kuamini na Kumpigia saluti bwana mkubwa Huyu kwa kazi ya maana aliofanya?
 
Kama ni kweli, basi kwa hoja yako hii naungana na wale wanaosema kuwa Tanzania hakuna haja ya feasibility study ambayo nasikia ilichukua billions kadhaa pia kwenye huu mradi.
Miradi mingi tu hutokea kuwa na vitu ambavyo havikuangaliwa athari zake mfano Kihansi na vyura wake. Hiki ni kitu ambacho hakiepukiki kwa shughuli yoyote hata iwe mradi mdogo viti hatua hii ni muhimu. Cha msingi ni kuwaelewesha Watanzania kuwa kazi hiyo huwa hafanyi Mungu kuwa iwe na utimilifu asilimia mia kwa mia. Wakijua hilo wataweka kiwango cha utimilifu watakachokivumilia.
Kwa mtazamo wangu kwa mradi huu na hicho kilichotokea ni hali inayovumilika.
 
2016%2B-%2B1


2016%2B-%2B1



‘’Wastara haumbuki,
Wa mbili havai moja…’’

Haya ni baadhi ya maneno kwenye nyimbo niliyokuwa nikiisikia katika gramaphone nyumbani kwetu wakati nikiwa na umri mdogo sana. Mama yangu akipenda kuuimba mwimbo huu kila afanyapo kazi iwe kupika au kufua. Kuna beti za mwisho nazikumbuka na nikizpenda sana. Zilikuwa na maneno haya:

''Kwetu Congo natumaini,
Kwetu Kongo natumaini.''

Beti hizo nilizipenda kwa kuwa akifurahi alikuwa akiniadhimisha kwa kuniambia kuwa mimi nimetoka Congo.

Wakati huo Bi. Hawa biti Maftah mwanamke wa Kimanyema akimuimbia Nyerere mwimbo
maarufu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja: ''Hongera mwanangu hongera...''

Wakati ule Dar es Salaam ilikuwa ndogo na jamii ya Kimanyema mjini ilikuwa na hadhi ya kipekee.

Kuanzia wanawake wao hadi wanaume.

Kubwa ni yale maumbo makubwa ukimouna mwanamke wa Kimanyema kapanda ana futi
sita na mwanamme halikadhalika.

Basi nilikuwa nizkizisikia beti hizo mama akiziimba nikawa nasisimkwa na mwili.

Nilipopata umri na kila nilipokutana na shida za dunia khasa katika mambo ya hasad na mengine kazini na kwengineko, vikwazo na nini... mama yangu akinambia: ''Wa mbili havai moja.''

Maana yake ni kuwa ikiwa Allah kakuandikia kupata ndivyo itakavyokuwa hivyo hivyo hata zije fitna kiasi gani.

Ndipo hapo inaingia, ''Wastara haumbuki.''
Yaani hutoweza kumfedhehesha aliyenyanyuliwa.

Fuatilia ukurasa huu...

Mkuu mbona nyimbo hiyo haina mashairi hayo nachojua wastara hasumbuki ni mtu aliyepewa hiyo yako ngekewaaaaaaa
 
Diplomatic Immunity,
''Wastara hasumbuki wa mbili havai moja...''
Haya mashairi yamo lakini sikumbuki yote.

Hiyo ya ngekewa sijatambua umekusudia nini.
Mkuu haya maneno mazito akipata dau kuyasikia japo kidogo atajua nn kinamanishwaa wastara atawini popote akichomoza ww mtupe gizani nuru itamuangazaa ridhiki yake yaakini kuiziba hutowezaaa
 
2016%2B-%2B1


2016%2B-%2B1



‘’Wastara haumbuki,
Wa mbili havai moja…’’

Haya ni baadhi ya maneno kwenye nyimbo niliyokuwa nikiisikia katika gramaphone nyumbani kwetu wakati nikiwa na umri mdogo sana. Mama yangu akipenda kuuimba mwimbo huu kila afanyapo kazi iwe kupika au kufua. Kuna beti za mwisho nazikumbuka na nikizpenda sana. Zilikuwa na maneno haya:

''Kwetu Congo natumaini,
Kwetu Kongo natumaini.''

Beti hizo nilizipenda kwa kuwa akifurahi alikuwa akiniadhimisha kwa kuniambia kuwa mimi nimetoka Congo.

Wakati huo Bi. Hawa biti Maftah mwanamke wa Kimanyema akimuimbia Nyerere mwimbo
maarufu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja: ''Hongera mwanangu hongera...''

Wakati ule Dar es Salaam ilikuwa ndogo na jamii ya Kimanyema mjini ilikuwa na hadhi ya kipekee.

Kuanzia wanawake wao hadi wanaume.

Kubwa ni yale maumbo makubwa ukimouna mwanamke wa Kimanyema kapanda ana futi
sita na mwanamme halikadhalika.

Basi nilikuwa nizkizisikia beti hizo mama akiziimba nikawa nasisimkwa na mwili.

Nilipopata umri na kila nilipokutana na shida za dunia khasa katika mambo ya hasad na mengine kazini na kwengineko, vikwazo na nini... mama yangu akinambia: ''Wa mbili havai moja.''

Maana yake ni kuwa ikiwa Allah kakuandikia kupata ndivyo itakavyokuwa hivyo hivyo hata zije fitna kiasi gani.

Ndipo hapo inaingia, ''Wastara haumbuki.''
Yaani hutoweza kumfedhehesha aliyenyanyuliwa.

Fuatilia ukurasa huu...

Mkaguzi wa Hesabu za serikali (CAG) ameibua sakata jipya la dawa zenye thamani ya bilioni mbili (Tsh 2 bil/=) ambazo riport inaonesha zinatoka Dsm Keko kwenda hospitali ya taifa ya Mhimbili tangu mwaka 2012 mpaka sasa miaka minne hazijafika mhimbili.
Hii ni safari ndefu kuliko safari zote za dawa duniani, na mbaya zaidi zinatoka Dar es salaam kwenda Dar es salaam.
"Asipoangalia CAG kwa riport zake nyeti ataondolewa kwa manufaa ya chama kwani kwa wenzetu ni bora taifa liangamie chama kiimarike, ila asijenge uoga kusema ukweli"
 
Mkuu haya maneno mazito akipata dau kuyasikia japo kidogo atajua nn kinamanishwaa wastara atawini popote akichomoza ww mtupe gizani nuru itamuangazaa ridhiki yake yaakini kuiziba hutowezaaa
Diplomatic Immunity,
Ahsante kwa beti nzuri.
 
Hivi nyie jamaa zetu wa kigalatia wa kitanzania huu ndio uwezo wenu halisi wa kuchambua na kuchanganua mambo au mnajitia umajinuni tu? Why very low to such extent?

We wajiona una uwezo sana siyo,hivi kwa akili zako nyingi ulidhani Nssf ni Mali ya dau kwa hiyo hapaswi kuondolewa,sasa kwa taarifa yako dau watafikishwa mahakamani na TAKUKURU muda wowote kwa ubadilifu na matumizi mabaya ya ofisi ya umma,rais alimpoza juzi darajani kumfariji asijekufa bila kufikishwa kwa pilato maana yuko kama kawehuka sasa,huyu ni mwizi na mdini asilani,
 
Kabla ya Tukio la Ufunguzi wa Daraja la Mwalim JK Nyerere...
Midomo ya watu ilikua mbele sana kuzungumzia kadhia ya Dr Dau,
Lkn naona baada ya tukio hilo watu wapo kimyaaaah. .

Jamani tusi endeshwe kwa Mihemko
 
Kabla ya Tukio la Ufunguzi wa Daraja la Mwalim JK Nyerere...
Midomo ya watu ilikua mbele sana kuzungumzia kadhia ya Dr Dau,
Lkn naona baada ya tukio hilo watu wapo kimyaaaah. .

Jamani tusi endeshwe kwa Mihemko

Mkuu una haraka gani kwani keshapangiwa nchi kuwa balozi?hakuna namna ataishia kuwa balozi wa wafungwa
 
Back
Top Bottom