Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Pohamba,
Mimi nimefanya kazi na Dr. Dau mie nikiwa ofisa mdogo katika idara yake.
Siku moja wakubwa wenzake wakawa wanamsema kuwa kaja kunufaika
bandarini.

Mimi sikuweza kustahamili.

Nikawaambia kuwa kwa ''standard,'' za hapa kwetu Dar es Salaam Dr. Dau
katoka ukoo unaojiweza sana kiasi hata darasa la kwanza kasoma Aga Khan
sio Kinondoni Primary School kama Mohamed Said au Makurumula na Mzimuni.

Nikawaeleza kuwa Dr. Dau anasoma anaendesha gari yake mwenyewe kapewa
na baba yake.

Mohamed Said kapanda sana gari hii.

Nikaendela kuwaeleza kuwa na baba yake ana majumba kadhaa hapa mjini.

Nikawamalizia kwa kuwaambia kuwa wasidhani kuwa suti Dr. Dau kaja kuvaa
hapa Bandarini.

Dr. Dau akivaa suti na tai toka utoto wake.
Ndiyo ile unavyomuona yuko ''dandy.''

Jamaa walibaki kinywa wazi.

Sahihi kabisa! Kuna mtu kaandika eti Dau kajiunga NSSF hata Nyumba yake haina lipu. Hahaha kweli Chuki ni ugonjwa!
 
Wewe unapata kwny vilabu cha pombe!
Hajasoma vyuo wala shule za kuokoteza. Unaweza kwenda ku prove. UDSM na Aghakhan Schools zipo na ni maarufu unaweza kwenda kujiridhisha.
Facts huwa hazibadiliki hata zikataliwe na watu wote. We unadhani elimu ya mtu inapigiwa kura ya maoni kuwa wengi wakikataa unakuwa hujasoma?
Mabwana zako washamzushia kashfa zote ushamsikia mtu anagusia ukakasi kwenye elimu au weledi wake?



Hahahahahahaha....Hiyo UDSM(COET) nimekaaa miaka minne...watoto wote 5 tumesoma hapo mmoja ndio kapita MUHAS..Napajua kuliko unavyofikiri Endelea kukusanya data kwenye vijiwe vya kahawa mkuu usiku mwema kesho siku ya kazi aiseee
 
Mgombea uvccm 2017 na wengine wote wenye chuki na dau na uislam,hivyo vitu haviwasaidii,kama mtu ana makosa fulani acheni vyombo husika vifanye kazi,sio nyie humu kutoa hukumu.
Uislamu upo,ulikuepo na utakuepo hata kama huupendi wewe .sisi wenyewe tunaupenda.
 
Hahahahahahaha....Hiyo UDSM(COET) nimekaaa miaka minne...watoto wote 5 tumesoma hapo mmoja ndio kapita MUHAS..Napajua kuliko unavyofikiri Endelea kukusanya data kwenye vijiwe vya kahawa mkuu usiku mwema kesho siku ya kazi aiseee

Utakuwa kuna jambo umejifunza ila kibongo bongo huwa hatusemi tunaishia kuaga! Siku nyingine usikidharau kitabu kwa kutazama rangi ya ganda lake! Sio kila aliepita UDSM maana yake anajua ya UDSM na kama ungekuwa umemzoea/unamjua Prof. Luhanga angekueleza historia ya Ramadhan Dau akiwa Mwanafunzi na akiwa mhadhiri kwny field yake ya business studies na bodi ya chuo.

Pamoja na Majungu yote aliyozushiwa Ramadhan Dau hutasikia mtu akihoji weledi wala Taaluma yake!
 
Pohamba,
Mimi nimefanya kazi na Dr. Dau mie nikiwa ofisa mdogo katika idara yake.
Siku moja wakubwa wenzake wakawa wanamsema kuwa kaja kunufaika
bandarini.

Mimi sikuweza kustahamili.

Nikawaambia kuwa kwa ''standard,'' za hapa kwetu Dar es Salaam Dr. Dau
katoka ukoo unaojiweza sana kiasi hata darasa la kwanza kasoma Aga Khan
sio Kinondoni Primary School kama Mohamed Said au Makurumula na Mzimuni.

Nikawaeleza kuwa Dr. Dau anasoma anaendesha gari yake mwenyewe kapewa
na baba yake.

Mohamed Said kapanda sana gari hii.

Nikaendela kuwaeleza kuwa na baba yake ana majumba kadhaa hapa mjini.

Nikawamalizia kwa kuwaambia kuwa wasidhani kuwa suti Dr. Dau kaja kuvaa
hapa Bandarini.

Dr. Dau akivaa suti na tai toka utoto wake.
Ndiyo ile unavyomuona yuko ''dandy.''

Jamaa walibaki kinywa wazi.
Wacheni uzushii hakuwai hakuwai soon mtasema haendagi chioni

Dr Dau sioni cha kuogopesha alichofanya kaka .
 
Wacheni uzushii hakuwai hakuwai soon mtasema haendagi chioni

Dr Dau sioni cha kuogopesha alichofanya kaka .


Hata kuwa mtanzania wa kwanza kununua Newcastle(Timu ya ligi kuu Uingereza)?
Humpendi Dr lakin kila ukiona uzi unamhusu unaufuatilia mwanzo mwisho unadhan utakutana na message inasema kafa?
 
Hata kuwa mtanzania wa kwanza kununua Newcastle(Timu ya ligi kuu Uingereza)?
Humpendi Dr lakin kila ukiona uzi unamhusu unaufuatilia mwanzo mwisho unadhan utakutana na message inasema kafa?
Hivi hawa wagalatia huko shuleni uwa wanakwenda kusoma ujinga?

Mijitu inasema imesoma inashikiwa akili na gazeti la udaku DIRA.

Kuwa Dr. Dau, ndiyo mmiliki wa Newcastle mpaka mapovu yanawatoka nilicheka sana jana.

Msomi ana miliki simu ofisini ana access ya Internet lakini bado anafanya reference kwenye gazeti la udaku la DIRA ndipo anapochukulia data zake
 
Nashukuru kuniongoza kwenye thrd nyingine, lakini hakika ya jinsi tulivyokuelewa ktk hili la Dau, hebu angalia wanachosema wachangiaji. Kwa wengine Dau ni sifa kwa Waislamu wote Haiwezekani wote tukosee kukuelewa lengo lako.

Ni bahati mbaya sana kwamba, watu wanajisikia vizuri kumuona Dau kama muislamu badala ya mtanzania. Hata daraja sasa ni matunda ya uislamu wake.
Mchunguzi,
Ikhtilafu ndiyo silka yetu bunadamu.

Vigumu watu wawili kuliona jambo kwa
jicho lilo sawa.
 
Franco ZettaIkiwa husomi ungekaa kimya usingenijibu nami ningekaa kimya.
Mohamed Said si mwandishi mtu anaeweza kumpuuza.

Hili ningependa ulijue.
Dr. Dau alinionyesha Thesis yake ya Ph D.

Ameanza na Bismillah Rahman Rahim...
Kuandika maisha ya mtu inataka utoe muda upite.

Hata kama nikiandika maisha yake sitamtoza chochote.
Hakika Dau ni mtu karim na amewafanyia ihsani wengi
si mimi peke yangu.

Rudi tena nikupe habari za Dr. Dau.
Huyu mtu wako ame ondolewa tu alipo kuwa kikazi ila yungali mzima bado una mwomboleza kwa kite,je hivi yaki mfika ya kumfika(Mungu apishie mbali) utakuwa na hali gani wewe? Acha uchuro,kama una mjua Mungu mshukuru kwa niaba yake,vilio vya kwikwi na manunguniko havina msaada kwako wala kwake,cheo ni dhamana haku kuchomelewa kuwa angekuwa pale maisha yote,kwani uta kosa nini ulicho kuwa una kipata kabla ya kuondolewa kwake nssf?mbona una sononi kiasi hicho na si ajabu toka aondolewe uta kuwa umedhoofu hata kiafya,nini cha mno,kwani yeye ndio wa kwanza? Mtumaini Mungu sio mwanadamu,Acha utegemezi ulio pitiliza na haya ndio madhara yake.
 
Newcastle to pay Rafa Benitez huge bonus… to make them £99m!

Hizo zote anatoa Dr.Dau Newcastle si timu yake.

Teh teh teh!!
hahaha mkuu punguzeni mtawaua....nadhani kuna watu leo wameshindwa ata kula
 
U

Acha Ubweha! Unafikiri hiyo picha ni tume au mahakama? Yaani Tanzania nyumbu hawaishi! Angalia kipindi cha kampeni 2010 Kikwete alikuwa anapiga picha na kina nani na akasema hawa ni watu safi nipeni nikafanye nao kazi ila baadae angalia walikuja kutwa ni watu wa aina gani! Acha kuwa na akili za kimbayuwayu

najua inakuuma vumilia tu!!

hebu kwanza tuwacheke ....


13051531_1129481750426638_1956601341495157194_n.jpg
 
Jamani maneno yamipasho hayasaidii hili taifa huru na kila kazi inautekelezaji wake in short sio yeye alie leta mpango mkakati wa daraja yeye alikuwa pale kama mtumishi kutekeleza matakwa ya watu wake in short kuna maswali watanzania wanataka kujuwa ikiwa daraja lietafuna 200B na huyo bwana mkubwa anasemekana anaukwasi wahatari unaofikia 100B atueleze alizipataje watanznia tunataka ukweli kuhusu hili full stop
kawaulize hao waliokuambia
 
Teh teh teh!

Aibu au roho inakuuma wagalatia bana.

Humu ndani watu wana mihemuko, watu wanaweka busara mfukoni wanaendekeza mihemuko kwasababu zozote zile si sawa namuunga mkono raisi kutambua mchango wa Dr.Dau raisi amefanya kizuri kabisa aibu ni kuanza kukashifiana humu ndani kwa jambo jema kama hilo eti kwasababu tu ya dini, Ritz siko huko kabisa na sitaki kuwa sehemu ya mijadala ya kukashifiana haina tija.
 
Dau yupo vzur sana hata hotuba yake alyoongea uutaona ni level nyingne kabisaaa,pigen kelele hazsaidii mpewa hapokonyek
 
Huyu mtu wako ame ondolewa tu alipo kuwa kikazi ila yungali mzima bado una mwomboleza kwa kite,je hivi yaki mfika ya kumfika(Mungu apishie mbali) utakuwa na hali gani wewe? Acha uchuro,kama una mjua Mungu mshukuru kwa niaba yake,vilio vya kwikwi na manunguniko havina msaada kwako wala kwake,cheo ni dhamana haku kuchomelewa kuwa angekuwa pale maisha yote,kwani uta kosa nini ulicho kuwa una kipata kabla ya kuondolewa kwake nssf?mbona una sononi kiasi hicho na si ajabu toka aondolewe uta kuwa umedhoofu hata kiafya,nini cha mno,kwani yeye ndio wa kwanza? Mtumaini Mungu sio mwanadamu,Acha utegemezi ulio pitiliza na haya ndio madhara yake.
Franco Zetta,
Unajaribu kunifedhehesha kwa lugha ya kebehi na dharau.
Waswahili tuna msemo: Asiyekujua hakuthamini.

Hayo usemayo mengine wala hayapo katika mjadala wetu,
Hunifahamu kwa hiyo unaweza kusema lolote likujialo akilini.

Wala hoja hii kwangu mimi toka nakujibu mwanzo haijapatapo
kuwa ni kwa kuwa Dr. Dau kaondolewa NSSF na kupewa ubalozi.

Mimi nimetembea dunia lakini siwezi kufikia hata theluthi ya nchi
ambazo Dr. Dau katia mguu wake.

Hii ni moja katika maajabu yake.
Rejea tena nikupe mengine ya Dr. Dau.
 
Huyu

Huyu alikuwa akiiba anawagawia waislam wenzie na pia alihakikisha ajira za NSSF zinajaza waislam. Kutoka kwake imekuwa pigo sana kwao kuliko Bade
Jadi,
Kuna mwandishi alifika NSSF kutaka kumhoji Dr. Dau kuhusu
shutuma kuwa NSSF ina ajiri Waislam.

Afisa Uhusiano wa NSSF akamwabia angependa maswali yake
kwa Dr. Dau.

Afisa uhusiano alipoona kuwa moja ya maswali ni hilo la kuajiri
Waislam akamuuliza kwani hairuhusiwi kuajiri Waislam?

Mwandishi hapo akaanza kubabaika kwa kuwa hakutegemea swali
kama lile.

Afisa Uhusiano akamwambia naweza nikakuunganisha na Dr. Dau
lakini mimi nitaka nikuonye.

Akamwambia kuna shirika la serikali limefanya mahojiano hivi majuzi
na walioajiriwa ni Wakristo watupu.

Una nini la kusema kuhusu hili?
Mwandishi akasema hana taarifa hizo.

Akampa jina la shirika hilo na akamshauri kwanza aende huko kuuliza
akimaliza ndiyo arejee NSSF.

Mwandishi akakusanya mizigo yake akaondoka mnyonge.
 
Back
Top Bottom