Na Machoko wote wakitaka wanafungishwa ndoa rasmi kuna Nyumba za ibada huwa zinafungishaMagaidi wote duniani wanajua lugha zote vizuri duniani
Na Machoko wote wakitaka wanafungishwa ndoa rasmi kuna Nyumba za ibada huwa zinafungishaMagaidi wote duniani wanajua lugha zote vizuri duniani
Mkuu sio kuchochea udini, ilikuwa ni vyema kusema walikosea kuuwasha udini kabla ya kuwalaumu waache kuchochea udini,Hili swala la Dau kwanini mnaligeuza kama vita ya kidini?
Dau ni mtanzania mwenzetu na ameitumikia nchi yake vema...
Acheni kuchochea udini...
Njooni kwenye magazeti yote yaliyoripoti masahama ya dau mjitetee au muyashtakiMaskini unatia huruma sana! i can feel the way moyo wako unavyoungua! pole sana
Nyerere ametosha sana, waenziwe wengine sasa, Mzee mwinyi anaelekea kusahaulika kwa vizazi vya sasa!Magufuli kashauri hilo daraja liite "DARAJA LA NYERERE"
Hapo sasa!
Nyerere ametosha sana, waenziwe wengine sasa, Mzee mwinyi anaelekea kusahaulika kwa vizazi vya sasa!
Kwanini lisiitwe ALLY HASSAN MWINYI BRIDGE?
Na Machoko wote wakitaka wanafungishwa ndoa rasmi kuna Nyumba za ibada huwa zinafungisha
Usihangaike sana maana kuna fact moja kwamba kama huna mambo ya kushangilia, basi hilo moja likijitokeza unaweza hata kumaliza mwaka unashangilia. Kuna watu hapa wanamshangilia Dau kana kwamba ndo baba wa Taifa hili. Utadhani ndo alitoa pesa mfukoni kutujengea daraja. Utadhani bila Dau sasa nchi haiendelei.Hili swala la Dau kwanini mnaligeuza kama vita ya kidini?
Dau ni mtanzania mwenzetu na ameitumikia nchi yake vema...
Acheni kuchochea udini...
Duh, mbona matusi hvi?
Usihangaike sana maana kuna fact moja kwamba kama huna mambo ya kushangilia, basi hilo moja likijitokeza unaweza hata kumaliza mwaka unashangilia. Kuna watu hapa wanamshangilia Dau kana kwamba ndo baba wa Taifa hili. Utadhani ndo alitoa pesa mfukoni kutujengea daraja. Utadhani bila Dau sasa nchi haiendelei.
Who is this Dau? Obviously ni matatizo ya kidini tuliyoyakuza ktk miaka 10 iliyopita. Kila mtu tunamtafuta kama ni mwenzetu. Hili linatufanya baadhi hata tujiulize kama daraja hili lingejengwa na taasisi ya kidini sijui mambo yangekuwaje?
Mkuu mimi nashauri hili daraja liitwe DAU BRIDGE! Mapendekezo ya MAGUFULI hayakuwa ya haki! Wewe unaonaje Mkuu? Dau ndio the man behind this bridge!Huu uzi wagalatia wenye husda wanaupita kwa mbali mno.
Mtavunja Simu zenu baada ya mwizi huyu kuburuzwa pale kisutu.
![]()
![]()
‘’Wastara haumbuki,
Wa mbili havai moja…’’
Haya ni baadhi ya maneno kwenye nyimbo niliyokuwa nikiisikia katika gramaphone nyumbani kwetu wakati nikiwa na umri mdogo sana. Mama yangu akipenda kuuimba mwimbo huu kila afanyapo kazi iwe kupika au kufua. Kuna beti za mwisho nazikumbuka na nikizpenda sana. Zilikuwa na maneno haya:
''Kwetu Congo natumaini,
Kwetu Kongo natumaini.''
Beti hizo nilizipenda kwa kuwa akifurahi alikuwa akiniadhimisha kwa kuniambia kuwa mimi nimetoka Congo.
Wakati huo Bi. Hawa biti Maftah mwanamke wa Kimanyema akimuimbia Nyerere mwimbo
maarufu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja: ''Hongera mwanangu hongera...''
Wakati ule Dar es Salaam ilikuwa ndogo na jamii ya Kimanyema mjini ilikuwa na hadhi ya kipekee.
Kuanzia wanawake wao hadi wanaume.
Kubwa ni yale maumbo makubwa ukimouna mwanamke wa Kimanyema kapanda ana futi
sita na mwanamme halikadhalika.
Basi nilikuwa nizkizisikia beti hizo mama akiziimba nikawa nasisimkwa na mwili.
Nilipopata umri na kila nilipokutana na shida za dunia khasa katika mambo ya hasad na mengine kazini na kwengineko, vikwazo na nini... mama yangu akinambia: ''Wa mbili havai moja.''
Maana yake ni kuwa ikiwa Allah kakuandikia kupata ndivyo itakavyokuwa hivyo hivyo hata zije fitna kiasi gani.
Ndipo hapo inaingia, ''Wastara haumbuki.''
Yaani hutoweza kumfedhehesha aliyenyanyuliwa.
Fuatilia ukurasa huu...
Dr.Dau alipoanza ku-qoute maneno kutoka kwenye msahafu nilitambua lengo lake papo hapo!Dr Dau na Dr Magufuli leo mmeweka historia kubwaa...wazandiki wamejinyea leo
Mradi hewa Kama upi kwa mfano?AMEITUMIKIA NCHI YAKE VIZURI KWA KUFISIDI MICHANGO YA WANACHAMA WA NSSF KWA KUANZISHA MIRADI HEWA?
Vinatusaidia kututangaza sisi aliotuacha, tumia hata akili yako ndogo ya kuvukia barabarasasa hivi vitu vinamsaidia nini nyerere mwenyewe huko aliko au hata familia yake.
tumia hata akili yako ndogo ya kulia mikate.
Dr.Dau alipoanza ku-qoute maneno kutoka kwenye msahafu nilitambua lengo lake papo hapo!
Kiongozi wa UMMA ukishajikita kwenye udini, jamii inakutapika! Mbaya zaidi watetezi wake hapa JF ndio wale wale magwiji wa kupandikiza chuki za kidini. Kama wewe na mwezio Ritz