Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

inawezekana wakulu watakuwa wamesikia kuna watu humu wanaliita hilo daraja "Daraja la Dau". sasa yawezekana pia Dau kaalikwa ili ashuhudie likitajwa jina la yule mwenye staha, weledi, uadilifu na haiba kwa vitu muhimu kupewa jina lake.

Mwl Nyerere (rip)!

Inawezekana pia Mmiliki wa Newcastle pia kaitwa na katambulishwa na Rais kwa kutoa Mchango mkubwa sana wa ujenzi wa daraja hilo wakati hii huo tunaambiwa alikuwa anamruka Magufuli wakati wa ujenzi?
 
Magufuli anasema siwez kuongea bila kumwita mtu alietoa mchango mkubwa kabisa katika daraja hiliii.

Hebu Dr Dau Njoo hapa mara mojaaa uongee kidogoo....
Haijalishi lakini kama kuna ishu ya kutumbuliwa jipu atatumbuliwa tu. Magufuli huwaga anasmile lakini mwisho wa siku kama kweli huyu jamaa ni fisadi kama wanavyo sema atatumbuliwa tu.
 
Hv huyu bwana ana wake wangapi hapa jukwaani? Haiingii akilini kila ukifungua jukwaa unakuta kuna mada inamhusu,magu angemwondoa kabisa kwenye serikali,hii sasa kero
Hahaha kuna watu una watufta apo ngoja waje
 
Kinachonishangaza ni kuwa suala la Dau ni kama linachukuliwa kwa mrengo wa dini hivi..
Mi nafikiri kama ametenda vyema apongezwe kama kavurunda aadhibiwe lakini sio kwa kigezo cha dini yake.
 
Hv huyu bwana ana wake wangapi hapa jukwaani? Haiingii akilini kila ukifungua jukwaa unakuta kuna mada inamhusu,magu angemwondoa kabisa kwenye serikali,hii sasa kero
Teh teh teh nasikia ilipangwa leo na mh.waziri Fulani jamaa asitambulishwe kwenye uzinduzi ikabidi mh.rais aingilie kati.amewafanyaje mbona mnamchukia sana.?
 
Hivi kumbe hili ni daraja lake!!!?
Hizi pesa zote alizipata wapi za kujenga daraja kama hili? Na ni kwa nini aliamua kujiongezea gharama kwa zaidi ya billiion 100 ambazo zinaweza kujenga daraja na nyongeza ya jengo jipya kama la TPA!?
Swali lako kalijibu Rais katika hotuba yake. Kasema gharama ziliongezeka kutokana na kutitia kwa kitanda cha bahari na kutokea kwa korongo la karibu mara mbili ya urefu walioukadiria hivyo gharama lazima iongezeke.
 
Hili swala la Dau kwanini mnaligeuza kama vita ya kidini?

Dau ni mtanzania mwenzetu na ameitumikia nchi yake vema...

Acheni kuchochea udini...
Ametumikia nchi yake vema,anatuhumiwa kuwa na utajiri wa 100 bilioni!!!!!
Tanzania vituko na maajabu havita kwisha
 
Hivi kumbe hili ni daraja lake!!!?
Hizi pesa zote alizipata wapi za kujenga daraja kama hili? Na ni kwa nini aliamua kujiongezea gharama kwa zaidi ya billiion 100 ambazo zinaweza kujenga daraja na nyongeza ya jengo jipya kama la TPA!?
Hao ndio vijana wa ccm ambao sasa utawala umeamua kuwazawadia kibarua cha udc
 
Back
Top Bottom