Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Dr. Ramadhan Dau aunguruma darajani Kigamboni

Hili swala la Dau kwanini mnaligeuza kama vita ya kidini?

Dau ni mtanzania mwenzetu na ameitumikia nchi yake vema...

Acheni kuchochea udini...
Wewe punguani kweli Dr.Dau kufungua daraja ndiyo udini hebu onyesha huo udini.
 
2016%2B-%2B1



‘’Wastara haumbuki,
Wa mbili havai moja…’’

Haya ni baadhi ya maneno kwenye nyimbo niliyokuwa nikiisikia katika gramaphone nyumbani kwetu wakati nikiwa na umri mdogo sana. Mama yangu akipenda kuuimba mwimbo huu kila afanyapo kazi iwe kupika au kufua. Kuna beti za mwisho nazikumbuka na nikizpenda sana. Zilikuwa na maneno haya:

''Kwetu Congo natumaini,
Kwetu Kongo natumaini.''

Beti hizo nilizipenda kwa kuwa akifurahi alikuwa akiniadhimisha kwa kuniambia kuwa mimi nimetoka Congo.

Wakati huo Bi. Hawa biti Maftah mwanamke wa Kimanyema akimuimbia Nyerere mwimbo
maarufu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja: ''Hongera mwanangu hongera...''

Wakati ule Dar es Salaam ilikuwa ndogo na jamii ya Kimanyema mjini ilikuwa na hadhi ya kipekee.

Kuanzia wanawake wao hadi wanaume.

Kubwa ni yale maumbo makubwa ukimouna mwanamke wa Kimanyema kapanda ana futi
sita na mwanamme halikadhalika.

Basi nilikuwa nizkizisikia beti hizo mama akiziimba nikawa nasisimkwa na mwili.

Nilipopata umri na kila nilipokutana na shida za dunia khasa katika mambo ya hasad na mengine kazini na kwengineko, vikwazo na nini... mama yangu akinambia: ''Wa mbili havai moja.''

Maana yake ni kuwa ikiwa Allah kakuandikia kupata ndivyo itakavyokuwa hivyo hivyo hata zije fitna kiasi gani.

Ndipo hapo inaingia, ''Wastara haumbuki.''
Yaani hutoweza kumfedhehesha aliyenyanyuliwa.

Fuatilia ukurasa huu...

2016%2B-%2B1

Posted 2 hours ago by Mohamed Said
2016%2B-%2B1



‘’Wastara haumbuki,
Wa mbili havai moja…’’

Haya ni baadhi ya maneno kwenye nyimbo niliyokuwa nikiisikia katika gramaphone nyumbani kwetu wakati nikiwa na umri mdogo sana. Mama yangu akipenda kuuimba mwimbo huu kila afanyapo kazi iwe kupika au kufua. Kuna beti za mwisho nazikumbuka na nikizpenda sana. Zilikuwa na maneno haya:

''Kwetu Congo natumaini,
Kwetu Kongo natumaini.''

Beti hizo nilizipenda kwa kuwa akifurahi alikuwa akiniadhimisha kwa kuniambia kuwa mimi nimetoka Congo.

Wakati huo Bi. Hawa biti Maftah mwanamke wa Kimanyema akimuimbia Nyerere mwimbo
maarufu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja: ''Hongera mwanangu hongera...''

Wakati ule Dar es Salaam ilikuwa ndogo na jamii ya Kimanyema mjini ilikuwa na hadhi ya kipekee.

Kuanzia wanawake wao hadi wanaume.

Kubwa ni yale maumbo makubwa ukimouna mwanamke wa Kimanyema kapanda ana futi
sita na mwanamme halikadhalika.

Basi nilikuwa nizkizisikia beti hizo mama akiziimba nikawa nasisimkwa na mwili.

Nilipopata umri na kila nilipokutana na shida za dunia khasa katika mambo ya hasad na mengine kazini na kwengineko, vikwazo na nini... mama yangu akinambia: ''Wa mbili havai moja.''

Maana yake ni kuwa ikiwa Allah kakuandikia kupata ndivyo itakavyokuwa hivyo hivyo hata zije fitna kiasi gani.

Ndipo hapo inaingia, ''Wastara haumbuki.''
Yaani hutoweza kumfedhehesha aliyenyanyuliwa.

Fuatilia ukurasa huu...

2016%2B-%2B1

Posted 2 hours ago by Mohamed Said
Dau anaunguruma badala ya kuzungumza lazima atakuwa amebadilika akawa paka babu Mohamed Said hueleweki
 
Ila kiukweli wahusika wakuu wengine wa sherehe ukitoa rais na mwingine, walikuwa wakitaja wageni waalikwa ila Dr. Dau hawakuwa wanamtaja. Hata katibu wa shughuli hakumtaja.
Na lazima utumie akili kujiuliza, kwa nini rais alimuita Dr. Dau?? Ni baada ya kuona hamna aliyemtaja kama ambavyo 'alistahili'!
waliokataa kumtaja ni dini gani..............Rais hana dini
 
Huyu mzee sijui ana tatizo gani? kwa taarifa yako hilo ni daraja la Nyerere..
 
LEO HII NIS IKU NGUMU SANA KWA WALE WAZEE WAKUTOANA MAPEPO KANISANI, LILE ZOGO LA CHUKI LIMEWAELEMEA ; AMA KWELI CHUKI NI MZIGO MBAYA SANA MOYONI, POLENI SANA, ENDELEENI NA POROJO ZENU JF NA KWENYE YALE MAGAZETI YENU, MUNGU AMEMNYANYUA DAU KUTOKA KWENYE MAPANGA YENU
 
Hata mm nashindwa kuelewa
ina maana Dr Dau angebakia basi Daraja la Dar - Zanzibar lingewekwa?
hivi mnajua hizo pesa zas Wanachama wa NSSF hawaambulii lolote
hakuna cha riba
hakuna kupewa kwa wakati
wengi wanafariki na kuziacha nyuma
km ningekuwa na uwezo mifuko yote ningeifunga ukabaki mmoja tu
toka Mzazi wangu alipokosa na akafariki tukaambiwa yameisha siiamini tena mifuko hii ya ujanja ujanja
Nimesikia sijui MC akisema kuwa lifespan ya hili daraja ni miaka 100+ na litatoa ajira kama 300 hivi.
Kuna mwenye idea ni kiasi gani kitakuwa kinalipwa na magari ili kuvuka? Nilichosikia ni kuwa (baadhi ya watembea kwa miguu) wanawake, watoto na wazee watakuwa hawalipi hivyo itakuwa ni vijana na wanaume tu ndio watachangia (???)

Kwa hesabu za haraka nimewaza jinsi ya kukusanya pesa hizi na kutoa matumizi ya mishahara ya wafanyakazi (administrative costs) na mwishoni tupate kiasi ambacho kitarejesha billion 260!! Kazi ipo aisee wala sio utani na naogopa isije kuwa kama mradi wa Machinga Complex 'mkombozi wa wachuuzi Tanzania'.
 
Tunataka kumalizana kwa sababu ya dini zilizoletwa katika harakati za biashara ya utumwa na nyingine kama vitangulizi vya ukoloni.Waafrika sijui tukoje.Linapokuja suala hili wenye digrii hufukia ardhini na wenye maarifa hugeuka majuha.

Huu ni upuuzi na sio ustaarabu.

Utadhani kuna vikosi vya SELEKA na Ant-BALAKA hapa vile vya kule Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Ptuuuuu! ! !
 
Hili swala la Dau kwanini mnaligeuza kama vita ya kidini?

Dau ni mtanzania mwenzetu na ameitumikia nchi yake vema...

Acheni kuchochea udini...
Issue sio ya kidini, ila aliyeleta hoja ni mdini nambari wani duniani....
 
Mohamed said umeibuka mahala pako,bila shaka utamtungia kitabu
 
Mie mkazi wa Kigamboni hapa nilipo kichwa kinaniuma nikifiria kama nitaweza kumudu kuvusha kitoyota corolla DX changu hapo darajani, maana hizo gharama za ujenzi na hiyo mishahara ya watendaji wote hapo yooote nitabeba mie,duh!
 
Kikwete alimyanyua Mramba mkono kule Rombo akawaomba wapiga kura wamrejeshe jembe lake baada ya muda akamfunga siku hizi nasikia anafanya usafi Mwananyamala hospital.

Halafu Ustaadhi Mohamed Said kanichanganya kweli kweli katuaminisha daraja la Kigamboni ni daraja la Dau leo Dr Majipu kalibatiza rasmi daraja la Mwl Nyerere mtu kutoka bara asiyejua kula chapati wala kufunga tai kafunzwa na wazee wa Kariakoo leo kila kitu kizuri kinaitwa kwa jina lake na kuwaacha wazee wetu wa Dar es Salaam bila hadhi wala kumbukumbu wakati jiji hili lao.Mzee Mohamed Said anatuchanganya sana sijui tumfuate nani sasa duh vyovyote mimi nitaliita daraja la Dau potelea mbali ubwabwa na juice za NSSF zimetutia upofu.
 
Back
Top Bottom