ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
Sa ivi amejichimbia Geita, eti ukitaka kwenda kumwona, uende na 50,000/=. Huu wizi nchi hii utaisha lini?
TRA mpo wapi?
mkuu kwanini ung'ang'ane nae wakati ushajua jamaa mwizi chamsingi ni kuzuia watu wasiende tu kwake kuliko kusubiri kitu kisichokuwa na msaada kwako na tanzania nzima..