Wizara ya Afya Wanatumia Jina la Rais Kutaka Kuhalalisha Mradi wa Upigaji wa Bilioni Shilingi 625 za WB

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,053
49,737
Inashangaza kusikia kwamba Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akitumia Jina la Rais Samia kutaka kuhalalisha ulaji wa pesa zaidi ya Shilingi Bilioni 625 za Ufadhili/Mkopo kutoka World Bank Kwa kuanzisha programu hewa eti ya Madaktari Bingwa Kwenda Kuwajengea uwezo Watumishi Vituo vya Afya waongeze Utendaji wao Kuwahudumia Wananchi.

Kiufupi hizo Bilioni 625 zitaliwa Kwa njia ya posho,training allowances na blaa blaa zingine zisizo na msingi.

Watu wenye dhamana jitahidini kuwa na aibu na Huduma Kwa Wananchi.Kama Rais anamfundisha Madaktari Bingwa Kwa Ufadhili wa ndani na Nje ya Nchi,Kama Serikali inawapa mikopo Wanafunzi kwenye fani za kipaombele za Afya Ili wapate mfunzo Bora ,hii ya Programu uchwara inatokea wapi kama sio wizi?

Hospitali na Vituo vya Afya vinalia Shida kubwa ya vifaa tiba,vitenganishi, madawa na Wataalamu harafu nyie mnakuja na mradi wa kipigaji.

On top of that Nchi hii Ina upungufu mkubwa wa Vituo vya kutokea Huduma kuanzia Mahospitali Hadi Vituo vya Afya na Zahanati kiasi Watu wanatembea umbali mrefu Kufuatia Huduma hususani akina mama na Watoto matokeo yake ni vifo vya uzazi na Watoto kuwa wvingi.Badala ya kujenga miundombinu ya Huduma za Afya jirani na Wananchi na kuviwekea vifaa stahiki nyie mnakuja na mradi wa wizi.

Pesa hizo zinatosha Kujenga Vituo vya Afya Zaidi ya 700 Nchi nzima na kufunga vifaa tiba vyote.Zinatosha kujenga hospitali zaidi ya 60 Nchi nzima zikiwa full na vifaa vyake.

Wizi kama huu ulipitishwa Kwa lazima Bungeni na Serikali kwenye Wizara ya Ardhi ambapo zaidi ya Bilioni 60 ziliwekwa kwenye fungi la posho badala ya kwenda kupima Ardhi nazo zilikuwa ni pesa za Mkopo kutoka WB.

View: https://www.instagram.com/p/C1MBcmnKsI5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Namuimba Mh.Rais asiruhusu wizi huu kufanyika na pia Bunge la JMT lizuie Bajeti ya Wizara ya Afya endapo watakuja na proposal hii ya upigaji.

Wabunge msikubali kuburuzwa kama ilivyotokea Wizara ya Ardhi maana ni Mkopo huo tutakuja kulipa ila wachache watakuwa wamekula.
 
Nawakumbusha tuu,maumivu ya Kodi Ili kulipa Mkopo yatakapoanza msije kuanza kuuliza zilifanya nini.

Pigeni Makelele saizi mzuie wizi.
 
Raisi yupi aliyeanzisha hiyo programu?

Ile maana ya URAISI ni taasisi ndo inaonekana sasa, kuanzia Msoga clan to Madawa ya kulevya group, kila mtu ndani na nje ya ccm(kwenye cirlce + akina upinzani wamebaki wachache tu wasio na asali midomoni), ndio wanaounda hiyo taasisi!

Wanafanya watakavyo...muhimu ni pocketing what is not theirs, na hakuna wa tofauti wa kusema tofauti!
 
Inashangaza kusikia kwamba Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akitumia Jina la Rais Samia kutaka kuhalalisha ulaji wa pesa zaidi ya Shilingi Bilioni 625 za Ufadhili/Mkopo kutoka World Bank Kwa kuanzisha programu hewa eti ya Madaktari Bingwa Kwenda Kuwajengea uwezo Watumishi Vituo vya Afya waongeze Utendaji wao Kuwahudumia Wananchi.

Kiufupi hizo Bilioni 625 zitaliwa Kwa njia ya posho,training allowances na blaa blaa zingine zisizo na msingi.

Watu wenye dhamana jitahidini kuwa na aibu na Huduma Kwa Wananchi.Kama Rais anamfundisha Madaktari Bingwa Kwa Ufadhili wa ndani na Nje ya Nchi,Kama Serikali inawapa mikopo Wanafunzi kwenye fani za kipaombele za Afya Ili wapate mfunzo Bora ,hii ya Programu uchwara inatokea wapi kama sio wizi?

Hospitali na Vituo vya Afya vinalia Shida kubwa ya vifaa tiba,vitenganishi, madawa na Wataalamu harafu nyie mnakuja na mradi wa kipigaji.

On top of that Nchi hii Ina upungufu mkubwa wa Vituo vya kutokea Huduma kuanzia Mahospitali Hadi Vituo vya Afya na Zahanati kiasi Watu wanatembea umbali mrefu Kufuatia Huduma hususani akina mama na Watoto matokeo yake ni vifo vya uzazi na Watoto kuwa wvingi.Badala ya kujenga miundombinu ya Huduma za Afya jirani na Wananchi na kuviwekea vifaa stahiki nyie mnakuja na mradi wa wizi.

Pesa hizo zinatosha Kujenga Vituo vya Afya Zaidi ya 700 Nchi nzima na kufunga vifaa tiba vyote.Zinatosha kujenga hospitali zaidi ya 60 Nchi nzima zikiwa full na vifaa vyake.

Wizi kama huu ulipitishwa Kwa lazima Bungeni na Serikali kwenye Wizara ya Ardhi ambapo zaidi ya Bilioni 60 ziliwekwa kwenye fungi la posho badala ya kwenda kupima Ardhi nazo zilikuwa ni pesa za Mkopo kutoka WB.

View: https://www.instagram.com/p/C1MBcmnKsI5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Namuimba Mh.Rais asiruhusu wizi huu kufanyika na pia Bunge la JMT lizuie Bajeti ya Wizara ya Afya endapo watakuja na proposal hii ya upigaji.

Wabunge msikubali kuburuzwa kama ilivyotokea Wizara ya Ardhi maana ni Mkopo huo tutakuja kulipa ila wachache watakuwa wamekula.

Hivyo vituo vya afya 700 bila wataalam vitafanyaje kazi
 
Inashangaza kusikia kwamba Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akitumia Jina la Rais Samia kutaka kuhalalisha ulaji wa pesa zaidi ya Shilingi Bilioni 625 za Ufadhili/Mkopo kutoka World Bank Kwa kuanzisha programu hewa eti ya Madaktari Bingwa Kwenda Kuwajengea uwezo Watumishi Vituo vya Afya waongeze Utendaji wao Kuwahudumia Wananchi.

Kiufupi hizo Bilioni 625 zitaliwa Kwa njia ya posho,training allowances na blaa blaa zingine zisizo na msingi.

Watu wenye dhamana jitahidini kuwa na aibu na Huduma Kwa Wananchi.Kama Rais anamfundisha Madaktari Bingwa Kwa Ufadhili wa ndani na Nje ya Nchi,Kama Serikali inawapa mikopo Wanafunzi kwenye fani za kipaombele za Afya Ili wapate mfunzo Bora ,hii ya Programu uchwara inatokea wapi kama sio wizi?

Hospitali na Vituo vya Afya vinalia Shida kubwa ya vifaa tiba,vitenganishi, madawa na Wataalamu harafu nyie mnakuja na mradi wa kipigaji.

On top of that Nchi hii Ina upungufu mkubwa wa Vituo vya kutokea Huduma kuanzia Mahospitali Hadi Vituo vya Afya na Zahanati kiasi Watu wanatembea umbali mrefu Kufuatia Huduma hususani akina mama na Watoto matokeo yake ni vifo vya uzazi na Watoto kuwa wvingi.Badala ya kujenga miundombinu ya Huduma za Afya jirani na Wananchi na kuviwekea vifaa stahiki nyie mnakuja na mradi wa wizi.

Pesa hizo zinatosha Kujenga Vituo vya Afya Zaidi ya 700 Nchi nzima na kufunga vifaa tiba vyote.Zinatosha kujenga hospitali zaidi ya 60 Nchi nzima zikiwa full na vifaa vyake.

Wizi kama huu ulipitishwa Kwa lazima Bungeni na Serikali kwenye Wizara ya Ardhi ambapo zaidi ya Bilioni 60 ziliwekwa kwenye fungi la posho badala ya kwenda kupima Ardhi nazo zilikuwa ni pesa za Mkopo kutoka WB.

View: https://www.instagram.com/p/C1MBcmnKsI5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Namuimba Mh.Rais asiruhusu wizi huu kufanyika na pia Bunge la JMT lizuie Bajeti ya Wizara ya Afya endapo watakuja na proposal hii ya upigaji.

Wabunge msikubali kuburuzwa kama ilivyotokea Wizara ya Ardhi maana ni Mkopo huo tutakuja kulipa ila wachache watakuwa wamekula.

Braza unatumia nguvu sana kumtetea huyu mzanzibar hadi unapoteza mantiki. Hivi Ummy si ni waziri katika baraza ambalo Samia ni mwenyekiti lakini pia Ummy si ni waziri kwa kuteuliwa na rais ambae ni Samia? Sasa inawezekanaje kumtenga Samia na wanayoyafanya mawaziri wake. Mbona kama mnamtetea sana halafu muhusika hajali kabisa
 
Braza unatumia nguvu sana kumtetea huyu mzanzibar hadi unapoteza mantiki. Hivi Ummy si ni waziri katika baraza ambalo Samia ni mwenyekiti lakini pia Ummy si ni waziri kwa kuteuliwa na rais ambae ni Samia? Sasa inawezekanaje kumtenga Samia na wanayoyafanya mawaziri wake. Mbona kama mnamtetea sana halafu muhusika hajali kabisa
Wizara ndio inakuja na program kuzi table kwenye Baraza la Mawaziri inapobidi ,Sasa kama huyu anamshauri vibaya Rais unategemea lawama ziende Kwa nani?

Rais ni mtaalamu wa Kila kitu? Mengine ni chuki binafsi.
 
Kwanini afrika Kwenye matumizi ya ela ni shida sana pamoja na kuwa na wasomi mabingwa wamesoma mpaka wakadondokewa na madarasa 🤔
 
Hivyo vituo vya afya 700 bila wataalam vitafanyaje kazi
Tanzania haiana upungufu wa Wataalamu.

Nimeshaeleza ni wachache Kwa Sasa Kwa sababu Serikali haijaajiri wa kutosha na sio kwamba hawapokei mtaani.elewa Hilo.
 
Inashangaza kusikia kwamba Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akitumia Jina la Rais Samia kutaka kuhalalisha ulaji wa pesa zaidi ya Shilingi Bilioni 625 za Ufadhili/Mkopo kutoka World Bank Kwa kuanzisha programu hewa eti ya Madaktari Bingwa Kwenda Kuwajengea uwezo Watumishi Vituo vya Afya waongeze Utendaji wao Kuwahudumia Wananchi.

Kiufupi hizo Bilioni 625 zitaliwa Kwa njia ya posho,training allowances na blaa blaa zingine zisizo na msingi.

Watu wenye dhamana jitahidini kuwa na aibu na Huduma Kwa Wananchi.Kama Rais anamfundisha Madaktari Bingwa Kwa Ufadhili wa ndani na Nje ya Nchi,Kama Serikali inawapa mikopo Wanafunzi kwenye fani za kipaombele za Afya Ili wapate mfunzo Bora ,hii ya Programu uchwara inatokea wapi kama sio wizi?

Hospitali na Vituo vya Afya vinalia Shida kubwa ya vifaa tiba,vitenganishi, madawa na Wataalamu harafu nyie mnakuja na mradi wa kipigaji.

On top of that Nchi hii Ina upungufu mkubwa wa Vituo vya kutokea Huduma kuanzia Mahospitali Hadi Vituo vya Afya na Zahanati kiasi Watu wanatembea umbali mrefu Kufuatia Huduma hususani akina mama na Watoto matokeo yake ni vifo vya uzazi na Watoto kuwa wvingi.Badala ya kujenga miundombinu ya Huduma za Afya jirani na Wananchi na kuviwekea vifaa stahiki nyie mnakuja na mradi wa wizi.

Pesa hizo zinatosha Kujenga Vituo vya Afya Zaidi ya 700 Nchi nzima na kufunga vifaa tiba vyote.Zinatosha kujenga hospitali zaidi ya 60 Nchi nzima zikiwa full na vifaa vyake.

Wizi kama huu ulipitishwa Kwa lazima Bungeni na Serikali kwenye Wizara ya Ardhi ambapo zaidi ya Bilioni 60 ziliwekwa kwenye fungi la posho badala ya kwenda kupima Ardhi nazo zilikuwa ni pesa za Mkopo kutoka WB.

View: https://www.instagram.com/p/C1MBcmnKsI5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Namuimba Mh.Rais asiruhusu wizi huu kufanyika na pia Bunge la JMT lizuie Bajeti ya Wizara ya Afya endapo watakuja na proposal hii ya upigaji.

Wabunge msikubali kuburuzwa kama ilivyotokea Wizara ya Ardhi maana ni Mkopo huo tutakuja kulipa ila wachache watakuwa wamekula.

Kweli inashangaza!!!. Hiyo program is not even sustainable. Kuna very simple, effective and permanent solution hapa, badala ya kutumia hela hizo zote kuzunguka nchi nzima. Watengeneze training curriculum ambayo itaongezwa kwenye mafunzo ya ngazi zote za health training - from College level to the University level kuwafundisha hayo hayo wanayotaka kuzunguka nchi nzima na pesa yote hiyo. The entire process ya kutengeneza curriculum, kureview training requirements, na kuitekeleza hata haiwezi chukua USD 15,000. Pia wanaweza kufanya iwe online training, na iwe mandatory kwa health practitioners. Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa.......
 
Back
Top Bottom