Dr. Mwakyembe na Powerpool: Kuna mgongano wa maslahi na Dowans/Richmond?

Status
Not open for further replies.
Dk. Mwakyembe na wenzake walianzisha kampuni yao kabla ya ujio wa kampuni iliyozua utata mkubwa wa Richmond. Matarajio yao yalikuwa kwamba wazalishe umeme na kisha waiuzie Tanesco, lakini ujio wa Richmond ulionekana kutaka kuwakwaza. Richmond ilisababisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, ajiuzulu Februari mwaka jana.

Asante kwa taarifa mwaka huu tutajua mengi.Kwa hiyo mafisadi walipojua kuwa akina mwakyembe wameanzisha kampuni ya wazawa ya umeme wa bei nafuu utakaowasaidia walalahoi wakaona waanzishe Kampuni ya Kifisadi ya Richmond ili wasambaratishe vikampuni vya umeme upepo vya wazawa vife natural death na wao wawaibie watanzania.

Kumbe Richmond zilikuja kwa lengo la kuua kampuni za wazawa na ilianzishwa baada ya kampuni ya wazawa.Asante kwa taarifa.

Siku zote nimekuwa najiuliza kwa nini Tanesco isihamasishe matumizi ya umeme wa bei rahisi kama huo wa kutumia upepo wameshupalia tu Richmond na Dowans kumbe wana lao jambo wanajua hawawezi fisadi nchi vizuri.

Kumbe Richmond si tu walifisadi nchi lakini pia waliua vikampuni vya akina Mwakyembe ili visifurukute.Waliamua kuleta wauaji waje kuua juhudi za wazawa.Jamani sina Risasi ningekuwa nazo karibu ningetwanga kichwa cha fisadi mshenzi asiyekuwa na haya wa Richmondmonduli.
 
..i think these ppl have too much time in their hands.

..Dr.Mwakyembe, who is lawyer by proffession, has branched off and now he is messing with wind power generators.
 
Kwa gazeti la Mtanzania kuzungumzia conflict of interest nadhani ni kejeli kwa wanaolinunua na kulisoma; vile vile watanzania kwa ujumla, kuanzia Kikwete mpaka babu yangu kule Tandahimba.

Wao [Habari Corporation + Rostam Aziz] ndiyo vinara wa conflict of interest, kwa hakika hawafanyi kazi kama gazeti lenye kufuata maadili na kujenga sifa ya uandishi - nadhani pia hawana wasi wasi wa kupata faida au hasara.Muhimu kwao ujumbe wa kumjenga mmiliki uwafikie watanzania.

Hilo gazeti linamilikiwa kwa kiasi kikubwa na Rostam Aziz, ambaye anatuhumiwa kuhusika na miradi hewa yenye sumu ya rushwa mbaya zaidi katika historia ya Tanzania. Kwa hiyo tujiulize yafuatayo:-
1.Je ilikuwa haramu kwa Dr Mwakyembe kuwa mjumbe wa kamati ya bunge?

1.Je gazeti la Mtanzania linataka Richmond ifutiwe madhambi?

2.Je Edward Lowassa na wenzake hawakustahili kujiuzulu kutokana na ripoti ya Dr Mwakyembe?

3.Je wanataka watanzania waandamane kuililia Richmond na mrithi wake Dowans?

Waliyoyasema ni madai, nayaita madai kwasababu hakuna mwenye uhakika wala uthibitisho kwa yaliyoandikwa na gazeti la Mtanzania, kwamba Dr Mwakyembe ni mmiliki wa kampuni yenye mpango wa kutumia umeme wa upepo, hebu tuamini ni kweli.

Tanzania imegubikwa na matatizo makubwa matatu, katika harakati za kuisogeza mbele nchi, viongozi au tuseme tuliowapigia kura wakae madarakani wanasumbuliwa na vitu hivi : -

UJINGA: [bila kujali wana elimu daraja gani, kama hawaitumii kwa maslahi ya taifa, basi ni wajinga kuliko yule ambaye hakuona hata darasa moja].

TAMAA + ULAFI: [haiingii kichwani, kwa mtu kama Edward Lowassa kulimbikiza mali wakati akijua wazi kuwa mara baada ya kustaafu atahudumiwa na serikali mpaka kufa kwake - hii kelele ya Richmond na Dowans isingekuwepo kama si ujinga wa Lowassa.Lakini wako wengi wenye fikra mbovu kama hizo, in fact 95 per cent ya viongozi wetu wako hivyo].

UCHOYO: [Kwamba wao Richmond na Dowans walitaka wafanye wizi bila kuguswa, lakini Dr Mwakyembe ambaye kampuni inadaiwa mesajiliwa haijaanza kazi, wanataka akafie mbali. Kama wanavyopiga vita mradi wa umeme wa gesi uliopendekezwa na Artumas kusini mwa Tanzania]. Kuna miradi mingi yenye manufaa kwa taifa lakini inapigwa vita kwasababu wao viongozi wetu kwa kushirikiana na hawa wafanyabiashara majizi, hawatapata cha kutia kwenye akaunti zao.
 
Hapa JF tuwe objective. Mtu wa kusema hayo ni Dk. Mwakyembe mwenyewe na si mwingine kama kweli kazushiwa.

La msingi hapa ni kuwa kwa kanuni za kawaida, ingebidi Dk. afanye declaration alipochaguliwa ku head Kamati Teule ya Bunge kuwa nayeye pia anayo kampuni ya kufua umeme ambayo nia yake ni kuiuzia Tanesco umeme utakao fuliwa kwa misingi ya kulipwa capacity charges au vinginevyo. Hapo Kamati ya Bunge ya Madini na Nishati ndio ingetoa maamuzi ya kuwa awe Mwenyekiti wa Kamati Teule au apewe mtu mwingine nafasi hiyo. Na hata ujumbe wake pia katika Kamati Teule ingebidi ujadiliwe.

Uhalali wake wa ku serve kwenye kamati hiyo ungetokana na yeye ku declare ineterest zake kwenye hiyo kampuni ambayo ina nia ya kufanya shughuli hizo hizo zinazichunguzwa.

Kwa misingi hiyo bado nasisitiza kuwa hii ni breaking news kwani hata wote waliochangia inaonyesha walikuwa hawajui kuwa Dk. alikuwa na mahusiano kama hayo.

Mimi niko neutral kabisa na wala nisieleweke vibaya.

Mkuu "neutral" Tk, Una maoni gani kuhusu conflict of interest za Dowans kuwa kampuni ya Rostam, Ngeleja kuwahi kuwa mwajiriwa wa rostam Vodacom na godfather wake kwenye siasa, na MD wa Tanesco kuwa mwajiriwa wa Rostam Vodacom na partner wake wa kibiashara. Maana kuwa neutral kunamaanisha kuapply the rules equally. Huoni kuwa MTANZANIA walitakiwa waanze kutuambia hayo.
 
Ama kweli "Ubepari ni Unyama!" Ndugu yetu Mwakyembe amefiwa na mama yake mzazi na juzi tumetoka kumpa pole. Hata hatujasahau majonzi hayo, wametokea watu wanamzushia zengwe na kuanzisha mjadala wa kumkashifu na kumkejeli! Hivi Watanzania tumefikia hali hiyo ya kukosa hata chembe ya utu?
 
...Ndugu yetu Mwakyembe amefiwa na mama yake mzazi na juzi tumetoka kumpa pole. Hata hatujasahau majonzi hayo, wametokea watu wanamzushia zengwe na kuanzisha mjadala wa kumkashifu na kumkejeli! Hivi Watanzania tumefikia hali hiyo ya kukosa hata chembe ya utu?

Tatizo ni kwamba tumeshindwa kusubiri msiba uishe au tumemzushia zengwe la uongo?

Msiba unaisha lini, na unajuaje kwamba sio kweli Mwakyembe anamiliki hii kampuni, Bibi Ntilie?

Mabibi wengine bana!
 
Bibi Ntilie,

..hivi unajua wangapi wamefiwa humu ndani?

..sasa mnataka kutumia vifo kujipatia huruma za kisiasa?
 
je mtanzania ya nani???
dowans mwenyewe ni nani???
mwenye mtanzania na dowans ni mtu mmoja??

ukimya wa dowans inawezekana mitambo ikawa inamilikiwa na barclays halafu serikali ikaingizwa kanya boya

je dowans wanaweza kuuza mitambo bila ya idhini ya mdaiwa wake barclays na govt of TZ
 
Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania Toleo No. 4689 la tarehe 15 Machi 2009 chini ya kichwa cha habari "Dk. Mwakyembe Aumbuliwa" imeripotiwa kuwa Dk. Harrison Mwakyembe ni mmoja wa wamiliki wa kampuni ya kufua umeme na ndio sababu anaipiga vita kampuni ya Dowans ambayo ni mshindani wa kampuni yake"

Na Kamati ya Bunge, na Sam six je wana hisa humo ndugu?
 
Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania Toleo No. 4689 la tarehe 15 Machi 2009 chini ya kichwa cha habari "Dk. Mwakyembe Aumbuliwa" imeripotiwa kuwa Dk. Harrison Mwakyembe ni mmoja wa wamiliki wa kampuni ya kufua umeme na ndio sababu anaipiga vita kampuni ya Dowans ambayo ni mshindani wa kampuni yake. Nukuu ya vipande vya taarifa hiyo ya Mtanzania ni kama ifuatavyo:-

"SIRI nzito za kimaslahi zinazomhusu Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe (CCM, pichani) zimeanza kuibuliwa.

Imebainika kuwa Mbunge huyo ni miongoni mwa watu tisa wenye hisa katika kampuni binafsi ya kufua umeme kwa kutumia nguvu za upepo.

Kampuni hiyo inaitwa Powe Pool East Africa Limited. Namba zake za usajili ni 49624. Makao Makuu yapo katika majengo ya Posta ya Zamani jijini Dar es Salaam. Aidha kampuni hiyo imeishapata maeneo ya kuwekeza - Makambako mkoani Iringa na Singida. Maeneo hayo yana upepo mkali amabo ndiyo malighafi muhimu.

Wachunguzi wa mambo wanaamini kuwa ushujaa wa Dk. Mwakyembe kuishambulia kampuni ya Richmond, na baadaye Dowans, unatokana na mgongano wa kimaslahi.

Kwa maneno mepesi, wanasema Dk. Mwakyembe na wenzake wanapinga Dowans kununuliwa ili wapate mwanya wa kuuza umeme utakaozalishwa na kampuni yao ya Power Pool East Africa Limited, ingawa nao kwa vyovyote vile utakuwa haujatosheleza mahitaji ya umeme nchini.

Dk. Mwakyembe na wenzake walianzisha kampuni yao kabla ya ujio wa kampuni iliyozua utata mkubwa wa Richmond. Matarajio yao yalikuwa kwamba wazalishe umeme na kisha waiuzie Tanesco, lakini ujio wa Richmond ulionekana kutaka kuwakwaza. Richmond ilisababisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, ajiuzulu Februari mwaka jana.

Akiwa Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza Richmond, hakuwahi kutangaza hata mara moja mgongano wa kimaslahi aliokuwa nao kwenye suala hilo.

Pamoja na Dk. Mwakyembe anayemiliki hisa 1,485 katika kampuni hiyo, wengine wenye hisa katika kampuni hiyo ni Emmanuel Kasyanju (99), Victor Mwambalaswa (99), Mwacha Kagoswe (4,455), Josephine Pina (99), Athumani Ngwilizi (99), Prosper Tesha (99), TBC (1998) Limited inayomilikwa na Isaac Mwamango (297) na MECCO Limited, inayomilikwa na Maungo Kwabibi hisa moja.

Kwa hisa hizo Dk. Mwakyembe ni mtu wa pili kwa maamuzi katika kampuni hiyo, kwani kwa mujibu wa kanuni za makampuni, nguvu na uwezo wa mtu hutokana na hisa zake. Mwenye hisa nyingi ni Machwa Kasogwe.

Wengine ni Beston Mwakalinga (99) Niels Dahlmann (891) na Leonard Tenende (99).

Wanahisa wote, isipokuwa watatu, anuani zao zinaonyesha kuwa wako nje ya nchi..........

Dk. Mwakyembe, akionekana kuwa msitari wa mbele kuhakikisha kuwa mitambo ya kampuni ya Dowans hainunuliwi, anashupalia msimamo huo kutokana na mgongano wa maslahi. Aliwahi kusikika akisema kuwa ni heri nchi iingie gizani , hoja iliyowafanya watu wengine kusema kwama alistahili kukamatwa.

Katika Power Pool East Africa, Mbunge huyo anamiliki hisa 1,485, lakini anaweza kuwa na hisa nyingine zaidi kupitia kampuni zake mbili tofauti. Kupitia kampuni ya kwanza ya TBC (1998) Limited amabyo anamiliki hisa 297 na kampuni nyingine ya MECCO limited ana hisa moja."

(Taarifa inaendelea lakini ya muhimu kuhusu Dk. ni hayo)

Rostam huyo!!!!!!!!!!!! anatapatapa.
Hakuna tatizo Mwakyembe kuwa na kampuni ya kufua umeme. Na ni ujinga na nadhani aliyeandika habari hii ni mjinga kwa kusema kuna conflict of interest kwa sababu kampuni ya wakina Mwakyembe haijaanza kazi na hakuna tuhuma za wizi kama za boss wake RA. Na kwa hiyo kadhihirisha ujinga wake. Wakina Mwakyembe hawajaingia mkataba na Tanesco wa kiizi tunasubiri watakapokuwa wameanza biashara tuone mkataba wao ukoje. Nina imani amekwisha jifunza sana jinsi wizi kama wa Rostam Azizi unavyo cost. Isitoshe mwandishi hajakanusha kuwa Richmond na Dowans ni kampuni fake za wanasiasa Rostam Azizi na Edward Lowasa ambazo wamiliki wake wamejificha nyuma ya watu wengine. Hii ni habari ya ovyo na wanaosoma habari hizi wata judge ukweli.
Hivyo Mwakyembe mimi nakupa tick endelea tu na ukezaji wako.
 
Since issue hii inahusiana na Natural Monopoly...Ebu tuangalie hii makala hapa chini...then tuache unazi wa kuwabania kina Mwakyembe kwasababu ambazo hazipo kabisa..Tuiangalie issue hii objectively.....Hao kina RA mnataka muwakabidhi serikali mara ngapi...Everthing wao...Hata Vodacom nk. Juzi hapa tuliambiwa serikali haiwezi kuingilia kwasababu ya siasa za kibepari.

Natural Monopoly Definition



A natural monopoly is a monopoly that exists because the cost of producing the product (i.e., a good or a service) is lower due to economies of scale if there is just a single producer than if there are several competing producers.
A monopoly is a situation in which there is a single producer or seller of a product for which there are no close substitutes. Economies of scale is the situation in which the cost to a company of producing or supplying each additional unit of a product (referred to by economists as marginal cost) decreases as the volume of output increases.

Economies of scale is just one reason for the existence of monopolies. Monopolies also exist because of sole access to some resource or technology and because of the use of non-market means to eliminate competition, including buying up competitors, colluding with suppliers or customers to discriminate against competitors, enacting legislation to restrict competition, threatening costly lawsuits or even engaging in physical violence.

If there are multiple firms in an industry that is characterized by natural monopoly, all except the one that can attain the largest volume of output, and thus the lowest production cost, will generally exit the industry because they will not be able to compete on a price basis. Once a single firm becomes established in an industry that is characterized by natural monopoly, it is very difficult for competitors to emerge because of the very high costs for production facilities (including infrastructure) that allow a scale of output equal to or greater than that of the existing monopolist and because of the uncertainty that they will be able to oust the existing monopolist.

The most commonly cited examples of natural monopolies are utilities such as railroads, pipelines, electric power transmission systems and water supply systems. Such industries are characterized by very large costs for their infrastructure (i.e., which are fixed costs), and it is thus often inefficient (i.e., detrimental to the economy as a whole) to have more than a single firm in a region because of the high cost of duplicating the facilities (e.g., parallel pipelines or parallel sets of electric wires to every home and business). Some types of manufacturing may also fall into the category of natural monopolies, such as the production of large aircraft (although it is not clear in this case because of huge government subsidies to keep competing manufacturers in business).
As is the case with all monopolists, there are strong incentives for natural monopolies to abuse their market position in order to increase profits and to enhance their power. This includes charging prices far above the cost of production, providing lower quality products and inferior service associated with those products, suppressing new technologies and contributing to corruption of the political system. Such abuse often results in pressure from consumers for government regulation.
It is important to distinguish between natural monopolies and other types of monopolies because the optimal public policy (i.e., government action or lack thereof) with regard to each can be different.
Arguments for Laissez Faire
Monopolies are often relatively short lived, and even natural monopolies are not necessarily permanent. This is because technological advances can lead to the development of new forms of competition for an industry, change its cost structure and affect the demand for its products. For example, canals were once a natural monopoly for bulk transport in parts of Europe and the U.S., but these monopolies disintegrated during the nineteenth century as a result of the development of railways. Likewise, the advent of cellular phone technology has greatly weakened the wired telecommunications monopolies that prevailed in many countries.
Advocates of laissez faire capitalism (i.e., an economy in which the government plays no role in regulating business) emphasize this natural attrition of monopolies as a justification for doing nothing. They also point out that monopolists sometimes find that it is in their own best interest to limit their monopolistic behavior in order to deter the entry of competitors. In fact, in some situations a monopolist might even set production and pricing at levels close to those that would be set by the industry if competition existed.
Some advocates of laissez faire go so far as to claim that the concept of natural monopoly is merely a theoretical construct employed to justify government intrusions into the private sector in order to gain power and satisfy constituents, intrusions that are usually not in the best long-term interests of consumers or the economy as a whole.
They also assert that claims of natural monopoly have been wrongly used to justify the creation of government monopolies, particularly in public utilities. Examples include the nationalized railroads and telephone systems that existed in many countries (but not the U.S.) through much of the 20th century.
A strong case can certainly be made for having as little government intervention in an economy as possible because of the benefits of competition (e.g., incentives to produce high quality products at the lowest possible cost). Another reason is that government itself is a monopoly, and history has demonstrated repeatedly that it can be just as corrupt and abusive as private sector monopolies.
Government Intervention
A major criticism of the laissez faire approach is the fact that monopolies can inflict substantial damage on an economy and on a society even in just a few years, and thus government intervention might be the lesser of two evils. That is, intervention, despite its problems, might do more than laissez faire in some situations to help a society towards such common goals as economic growth, technological advance and social justice (e.g., providing equal opportunity for all).
Government responses to natural monopolies can include any combination of doing nothing, setting legal limits on the monopolist's behavior, either directly or through a regulatory agency, promoting or setting up competition, dissolution and public ownership.
It is generally most efficient (i.e., beneficial for the economy as a whole) to maintain natural monopolies, if they truly are natural monopolies, but subject them to some sort of government regulation with regard to prices, quality of service, etc. The reason for not breaking it up is, of course, by definition, the fact that a natural monopoly can attain a lower production cost than could competitive firms in the same industry. This contrasts with the situation for other types of monopolies, for which it is often most efficient for them to be broken up into competing firms.
It could also be efficient to regulate a natural monopoly even if it goes so far as to set production and pricing at levels similar to those that would be set by the industry if competition existed. This is because there could still be very large monopoly profits as a result of the fact that its average production cost for any level of output is below that attainable by competitive firms in the same industry (i.e., because of its economies of scale). Thus, a strong argument can be made for regulation to bring down prices to a level close to cost (i.e., to provide a return on investment close to what competitive firms for the economy as a whole attain).
There can be a strong incentive for companies that are monopolies to claim that they are not monopolies in order to try to escape criticism and possible government regulation or breakup. Likewise, there is an incentive for companies that are clearly monopolies, or which have been labeled as such by the government, to claim that they are natural monopolies because being a natural monopoly can provide justification for being a monopoly from the viewpoint of the efficiency of the economy as a whole and thus make a government more reluctant to attempt to break it up.
Although monopolists usually prefer to not be regulated at all, they generally prefer to be regulated rather than to be broken up. This is because breaking up typically represents a much greater loss of power for the individual or individuals who control the monopoly.
In some cases a monopolist might actually favor some regulation. This could be in order to reduce the risk of new competitors emerging, to allow guaranteed prices for its goods or services and/or to prevent further government interference. Such regulation could thus make it easier to obtain the financing (e.g., lower interest rates) for the massive investments that are often required by natural monopolies.
A traditional solution to regulating natural monopolies in many countries has been public ownership. Although this eliminates the need for a separate regulatory agency, it is not without problems of its own. In particular, the incentives to engage in abusive monopolist practices are often just as strong for a government bureaucracy as they are for a private firm providing the same good or service. Moreover, it can be argued that there is less (but still considerable) potential for abuse from the balance of power that is attained by separating the monopolist from its regulator.
Since the 1980s there has been a trend towards the deregulation of monopolies in many countries that were, at least at one time, natural monopolies. Measures undertaken have included denationalization and the introduction of competition, particularly in the telecommunications industry.

Joint Use of Infrastructure
One of the most promising ways in which competition can sometimes be efficiently introduced into industries that are characterized by natural monopoly is for competing firms to be allowed to provide goods or services via the same infrastructure, i.e., a form of common carriage. For example, different companies can be allowed to run trains over the same network of tracks and share in the maintenance costs of the tracks.

Likewise, different producers of electricity can be permitted to use the same transmission network to reach their customers. And competition can be introduced into a wired telecommunications monopoly by permitting new communications firms to utilize the existing trunk lines and share the costs for that infrastructure.
The key element is that access to the infrastructure or network is available to any firm that needs it to supply its product, with the prices that the infrastructure owner is permitted to charge for its use being regulated. It is also crucial to establish (and enforce) minimum standards for the use of the infrastructure in order to ensure interoperability and prevent damage to the infrastructure. For example, to use the same railroad tracks, any operator of trains would have to meet standards with regard to sizes of the railroad cars, train speeds, safety training for crew members, etc.
In some situations it might be necessary for government intervention to break up vertically integrated monopolies (i.e., those which control multiple stages of production and distribution) in order for common carriage to work. For example, in the case of electricity, it might be most efficient to separate the generation of the electricity from its distribution and possibly from its marketing and sales.
Whether the introduction of such competition using a common infrastructure is more efficient than possible alternatives is not always clear. The added costs of the competition, including of introducing it, can be substantial, and the elimination of vertical integration can introduce additional risks. One such cost is the increased cost of finance, which is a key issue for capital-intensive natural monopolies.
Network Effects
Network effects are sometimes associated with natural monopolies, and thus they should be taken into consideration when considering policy regarding such monopolies. A network effect is the situation in which the value of a product to an existing or potential owner or user of it depends on the number of people already owning or using that product. Although network effects are frequently confused with economies of scale, the latter differ in that they are reductions in the unit cost of producing a product that can result from a larger scale of output by a business rather than reduced costs or increased benefits accruing directly to users or purchasers of the product.
An example of situation in which there would be network effects for the product of a natural monopoly would be an urban transportation system, such as a subway or a light rail system. An increase in the number of riders could result in an increase in the frequency of service and/or the addition of new routes. This would benefit existing riders because it would reduce waiting times and/or offer a choice of new destinations.

Another example is telephones on a wired telephone system when such systems were still natural monopolies (i.e., before cell phones became available). As the number of people subscribing to telephone services increased, the value to each subscriber increased because more relatives, friends, businesses, etc. could be called.
It is sometimes claimed that computer software both is a natural monopoly and is characterized by substantial network effects. On closer examination, however, it can be seen that the former is not correct despite the fact that much of the software industry is at present dominated by one large company with a high degree of monopoly power. Regarding the latter, it is true that there are currently large network effects for some types of software as a result of the de facto standards for the interoperability of data and programs (i.e., for file formats and operating systems) established by the dominant company. However, it can be argued that these proprietary (i.e., belonging to a single company) standards prevent the full potential of network effects from being realized that would be achieved in a more competitive environment with open standards that could be implemented by all firms that might enter the industry.










Created June 16, 2005.
Copyright © 2005 The Linux Information Project. All Rights Reserved.
 
Wakuu,
Tunapozungumzia Confict of Interest inabidi twende kwa mapana yake na sio kumnasa mtu mmoja tu..Hivyo, nawaomba mnambie kiongozi hata mmoja ambaye hajawekeza ktk miradi tofauti..nipeni jina la kiongozi MMOJA tu wa juu serikalini!..
kwa hiyo tusitake kujenga hoja inayomhusu mtu mmoja wakati Conflict of Interest inakubalika ktk Utawala wa CCM..Kinachotakiwa hapa ni gazeti hili kupiga vita Confilct of interest kwa mapana yake ili maadili na miiko ya Uongozi yarudishwe..mikataba yote ipitiwe upya na nina hakika mashirika zaidi ya 1000 yatapokonywa sheria..

Mfano mdogo nje ya mada hii ni kwamba hamuwezi kumshitaki Mkandara hapa kwa kuwa na wake wanne kwa sababu tu nyie ni Wakristu na mnafikiria kutoka vitabu vyenu wakati nchi nzima inatawaliwa kiislaam....
Kama kweli mnatafuta ukweli wa hii Conflict of interest basi nadhani ni wakati mzuri sana wa kupinga katiba iliyopo kwani kifo cha maadili na miiko ya viongozi ulitokana na maamuzi ya chama kimoja ndani ya vikao vyake Kutunga sheria inayotumika leo..

Hivyo hadi hivi tunavyozungumza, naomba wale wanaodai Conflict of interest walete ushahidi wa tukio ambalo linajenga hoja nzima ya conflict of interest.. Mwakyembe sii waziri wa nishati, wala katibu mkuu wa wizara hiyo.. Kisha basi Mwakyembe aliteuliwa kujiunga na tume baada ya Richmond kuingia nchini na kufanya madudu yake..Hii Confilct of interest iko wapi!
 
Since issue hii inahusiana na Natural Monopoly...Ebu tuangalie hii makala hapa chini...

Issue ya alleged conflict of interest ya mchunguzi kumiliki kampuni mshindani, kama ni kweli, kampuni shindani ya ile aliyoichunguza bila kuweka hilo wazi inahusiana vipi na "Natural Monopoly"?

Makala ndefu za "Natural Monopoly" zinakuja vipi hapa Mushi?
 
Hapa tunaposema 'conflict of interest', yaani 'mgongano wa kimaslahi', tunamaanisha kuwa huwezi kuwa kwenye mchakato wa kuingia dili na Tanesko alafu ukakubali kumchunguza mtu mwingine ambaye naye alikuwa kwenye mchakato wa kuingia dili na Tanesko. Hatusemi shujaa asiwe na kampuni yake japo Ujamaa ulio ndani ya mioyo yetu unatamani kuwe na Mwongozo wa kuzuia kuchanganya Biashara na Siasa. Ila tunasema unapokuwa na kampuni inayoshindana na kampuni nyingine kupata zabuni za Tenesko usifanye mambo Kiwaziri Kijana! Mheshimiwa kashasema sisi sio mabwege tena hivyo tuache ubwege wa kumtetea tu eti kwa sababu ya ushujaa wake dhidi ya Richmond - ushujaa ambao bado hatujaona matunda yake maana hakuna utekelezaji stahiki ndio maana tumeanza tena longolongo za umeme wa dharura kama zile zilizopelekea kuwa na dili la Richmond-cum-Dowans.

Once a hero not always a hero...
 
Last edited:
Since issue hii inahusiana na Natural Monopoly...Ebu tuangalie hii makala hapa chini...then tuache unazi wa kuwabania kina Mwakyembe kwasababu ambazo hazipo kabisa..Tuiangalie issue hii objectively.....Hao kina RA mnataka muwakabidhi serikali mara ngapi...Everthing wao...Hata Vodacom nk. Juzi hapa tuliambiwa serikali haiwezi kuingilia kwasababu ya siasa za kibepari.

Mangi umeanza kudata sasa.....
 
Du! nchi ya siasa ni ya siasa tu!

hii ni page ya kumi... tunaendeleza... siasa tu.

Kwenye maoni ambayo Dr. Mwakyembe aliyotoa bungeni kwanza hayakuwa ya kwake yalikuwa ni ya kamati nzima iliyokuwa imeundwa...

Na kama kweli aliwa-fool wabunge wote kwa ajili ya kampuni lake... then hata hao wabunge wengine hamnazo...

Anyway hata hivyo nchi yetu.... ina siasa too much....
 
Issue ya alleged conflict of interest ya mchunguzi kumiliki kampuni mshindani, kama ni kweli, kampuni shindani ya ile aliyoichunguza bila kuweka hilo wazi inahusiana vipi na "Natural Monopoly"?

Makala ndefu za "Natural Monopoly" zinakuja vipi hapa Mushi?

Kuna uwezekano kuwa juhudi za kampuni kama za kina Mwakyembe zilikuwa supressed kuanzia zamani na hilo ni tatizo mojawapo kwenye Natural Monopoly kama serikali ni CORRUPT.
Juzi hapa wakati namwuliza Zitto alisema kuwa wafadhili wanasema kuwa serikali haiwezi kuingilia,sasa under natural Monopoly kama tungekuwa makini na kama corruption isingekuwa juu kiasi hiki,basi serikali isingeingiza mitambo chakavu bali ingehakikisha kuwa alternatives nyingine ambazo ni relatively cheap zinakuwa exploited.
Mwakyembe hana shida kwasababu kampuni yake si feki na wala haikuwania contract kama Richmond na hivyo kusema kulikuwa kuna conflict of interests ni wishfull thinking kwasababu mwandishi anasema "Wanadhani" kuwa alikataa mitambo chakavu ya Richmond/Dowans ili TANESCO wanunuwe umeme kutoka kwenye kampuni yake...Hapo bado hakuna hoja.
 
Nyie mnataka mtu akiwa anapinga ufisadi basi awe maskini-mbwa.. akili za nyerere hizo alikua anawadanganya while he lives comfortable kwenye mansion lake na satalite TV...lol

This is garbage.


wazee nyerere anaingiaje hapa ????,,nyerere alikuwa na mansion ..ipi hiyo...ile nyumba yake ya msasani si alikuwa amekopa THB na akapiga matofali kama watanzania wengine kwa mikono yake...

mimi ni mfuasi wa mwalimu ...na mtu anayeweza kumfananisha mwalimu kwenye hii mada naona kama ..ujinga!

zaidi ya mwalimu ..sioni mwingine ambaye amekuwa na ndoto ya nchi hii kati ya marais wetu..hasa sera za viwanda ,sayansi,kilimo ,ushirika etc.......naona kama tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele.....leo hii vinu vyote vinavyozalisha umeme nafuu kajenga mwalimu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom