jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Hapa tunaposema 'conflict of interest', yaani 'mgongano wa kimaslahi', tunamaanisha kuwa huwezi kuwa kwenye mchakato wa kuingia dili na Tanesko alafu ukakubali kumchunguza mtu mwingine ambaye naye alikuwa kwenye mchakato wa kuingia dili na Tanesko. Hatusemi shujaa asiwe na kampuni yake japo Ujamaa ulio ndani ya mioyo yetu unatamani kuwe na Mwongozo wa kuzuia kuchanganya Biashara na Siasa. Ila tunasema unapokuwa na kampuni inayoshindana na kampuni nyingine kupata zabuni za Tenesko usifanye mambo Kiwaziri Kijana! Mheshimiwa kashasema sisi sio mabwege tena hivyo tuache ubwege wa kumtetea tu eti kwa sababu ya ushujaa wake dhidi ya Richmond - ushujaa ambao bado hatujaona matunda yake maana hakuna utekelezaji stahiki.
Once a hero not always a hero...
Companero hapo kwenye highlight ndipo bado hatujajua kama that was the case...Na kama ni hivyo usishangazwe wengi wetu tukabadili mawazo....Je Kampuni ya Mwakyembe ilikuwemo kwenye mchakato?