Wenye lafudhi ya South Afrikambona kitambo sana ! ni wazungu wawili .
Bakhresa mnastukia mnaambiana "Kumbe na ile Project ni ya Bakhresa!!"Baada ya hiyo kubuma hiki cha juzi cha simu kimeishaanza ? mwambieni Mzee Mengi aige mfano wa Bakhresa ambaye haitishi press lakini viwanda vyake tunaona .
Sasa mbn Jk kajenga taasisi ya moyo pale muhimbili kama walikuwa wanataka kuendelea kupiga pesa za Apollo si asingejenga hio taasisi ya moyo ambayo saizi ina madaktar wa kiisrael na marekaniWe jamaa kwa uongo uko vzr sana,ulishapita kule kiwanjani kwake kwny huo ujenzi ukaona jinsi ambavyo misingi ilichimbwa na nguzo kubwa zilisimikwa+nondo kusukwa then mradi ukasimama.
Unajua zengwe Mengi alilokua anapigwa na serikali ya JK ili waendelee kupiga hela kwa kuendelea kupeleka wagonjwa wa moyo Appolo India?
Unamjua marehemu Dr.Ferdinand Masao wa Tanzania heart institute(THI) na zengwe alilopigwa na serikali ya JK?
Shida yako ukishaona mtu anaongelea kujenga kiwanda tu,unakua roho juu juu ya kupinga tu.
Taasisi ya moyo ya JK imeanza kufanya kazi lini na JK ameondoka lini Madarakani?Sasa mbn Jk kajenga taasisi ya moyo pale muhimbili kama walikuwa wanataka kuendelea kupiga pesa za Apollo si asingejenga hio taasisi ya moyo ambayo saizi ina madaktar wa kiisrael na marekani
Hii ndio nchi yetu, bhana kila kitu hatutaki, sisi tunataka kutukanaSasa mzee wenu mmeanza kumshambulia kwa sababu tu amejaribu ana anafanikiwa kutengeneza ajira za vijana wenzenu hivi kweli tunataka watu wa aina gani?
Mkuu kama zengwe lililetwa na JK mbona ni miaka mitatu tangu aondoke na hakuna kinachoendelea ?Mkuu naomba ufafanue kuhusu hilo zengwe, mimi na Erythrocyte hatujui kabisa.
Ukitulaumu utakuwa haujatutendea haki na haujatusaidia chochote kuhusu ukweli wa kukwama kwa mzee Mengi kwenye dhamira yake ya kusimika kiwanda cha Moyo toka siku nyingi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bongo bana!!! hata maligafi zote zikipatikana hapa kwenye bei itakuja kuwa juu ama sawa sawa na yale yanayoagizwa mabara ya mbali
GoodSidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.
Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.
Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.
Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
Point ya msingi una miss kwanini aijenge wkt alitaka watu wapige dili za Apollo?Taasisi ya moyo ya JK imeanza kufanya kazi lini na JK ameondoka lini Madarakani?
Tuendelee tu kushuhudia hizi muvi mkuuMkuu kama zengwe lililetwa na JK mbona ni miaka mitatu tangu aondoke na hakuna kinachoendelea ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tuendelee tu kushuhudia hizi muvi mkuu
Ungenijibu swali langu ungejua jibu sahihi?Point ya msingi una miss kwanini aijenge wkt alitaka watu wapige dili za Apollo?
Mengi hakuendelea na ujenzi wa hospitali sababu watu weupe walimuangusha.
Wacha uwongo wako, hizo hosp zinatibu magonjwa ya Moyo?Sio vikwazo ni location alotaka kujenga kuna hospitali kubwa zaidi 5 ndani ya eneo la KM 30,machame hosp,kcmc,kibosho hosp.mawenzi hosp.kibong'oto
Bavicha na pingapinga ndo maana akina waitara wamefika bei.Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?
Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.
Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.
Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.
Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512mungu bariki tanzania, mungu bariki IPPView attachment 940513