Dr. Mengi kujenga kiwanda cha kuunda magari nchini

Dr. Mengi kujenga kiwanda cha kuunda magari nchini

Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?

Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Ujenzi ulishaanza, msingi ulishaisha, nguzo alishazisimamisha akapigwa fitna na vikwazo na serikali ya JK
 
Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?

Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Na alishawahi kuhaidi kiwanda cha kutengeneza smartphone zinazihifadhi charge kwa muda wa wiki nzima
 
Kutoa tamko tu sio kazi, utekelezaji ndio mtihani. Mimi naahidi kutengeneza kiwanda cha kutengeneza baiskeli, kitatoa ajira kwa watu 1200. Ujenzi wa awamu ya kwanza utaanza July 2020 kibaha.
 
Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.

Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.

Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.

Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
Rubbish
 
Siyo kiwanda cha magari ,ni karakana ya Ku assemble magari,mnajua maana ya viwanda nyie?
Hata Apple kampuni kubwa kwa Mcap wana assemble! Vifaa vyake vinatoka kwenye makampuni kama AMS, IQE, Japan display, Intel etc.
 
Sema huyu mzee ni dalali tu...wajengaji wenyewe wapo
 
Bavicha na pingapinga ndo maana akina waitara wamefika bei.

Hakuna Habari ya kupinga Mkuu hapa kwa Bavicha ,Watu wana kumbukumbu za yalio pita.Wewe Jibu tu kama unalo Jibu sahihi kama huna hakuna haja ya kuwasema vibaya Bavicha.Halafu hapa tunaongea kama Watanzania.
 
Vipi zile simu walizosema baada ya miezi mitatu zitakuwa tayari nahitaji moja
 
Back
Top Bottom