Dr. Lawrence Gama ameaga dunia

Nawatia moyo ndugu zake katika kipindi hichi kigumu,tunapaswa kushukuru mungu kwa kila jambo.
 
RIP Dk Gama..

Namkumbuka mwaka 1995 katika mbio za uraisi CCM Muungwanaa alimlaumuu anatoa upendeleo kwa mgombea mojawapo (C.D.Msuya) na hivyoo hana imani naye.

Marehemu Gama alionekana kuupuziaa tuu hizoo tuhuma na kuwaita wagombea waliokuwepo watatu (Muungwana, Ben na Msuya) na kunywa nao chai pale ofisi zao za lumumba wakasonga na uchaguziiii....

Natumai muungwana atapeleka salamu za rambi rambi kwa kada wao huyuu mkongwee..
 
RIP Dk Gama..

Namkumbuka mwaka 1995 katika mbio za uraisi CCM Muungwanaa alimlaumuu anatoa upendeleo kwa mgombea mojawapo (C.D.Msuya) na hivyoo hana imani naye.

Marehemu Gama alionekana kuupuziaa tuu hizoo tuhuma na kuwaita wagombea waliokuwepo watatu (Muungwana, Ben na Msuya) na kunywa nao chai pale ofisi zao za lumumba wakasonga na uchaguziiii....

Natumai muungwana atapeleka salamu za rambi rambi kwa kada wao huyuu mkongwee..
wakati ule JK alikuwa waziri wa fedha.Kuna tetesi mzee Gama alikuwa anahitaji fedha kwa ajiri ya uchaguzi wa CCM yeye akamnyima.Zikaanza bifu za chini kwa chini.
 
RIP,

Poleni wafiwa, mungu awape nguvu za kukabiliana na yaliyowakuta,

Marehemu atakumbukwa kwa mengi mazuri aliyoyafanya wakati wa uhai wake.

Amen.
 
Pumzika Mzee Gama. Ulifanya kazi kubwa!

LAKINI....wakati Gama akiwa Mkuu wa JKT na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, alishindwa kudhibiti ukabila:

Ktk Jeshi la kujenga Taifa aliajiri vijana wengi kutoka Mkoa wa Ruvuma wengi waliomaliza Darasa la Nane na kuwafanya ma-Afande. Kazi yao kubwa ikawa ni "kujenga" tabia ya ngono na wasichana wadogo waliomaliza Darasa la Nane waliojiunga na na JKT.

"Gama, huko kwako Jeshini, mabinti zetu hatuwaleti kuolewa na hao Maafande wako!"

Gama alishindwa kudhibiti tabia hiyo.

"Basi tutakubadilisha kazi."

Akapewa Ukurugenzi wa Usalama wa Taifa. Na badala ya kuajiri watu wenye elimu na uzalendo wa hali ya juu, Gama kawaleta ma-Afande wake, wengii wenye elimu duni! Utendaji kazi na hadhi ya idara hiyo ikadorora!

Hii haikumpendeza Rais Nyerere...ikabidi kufanya marekebisho makubwa na kumteua Hasnu Kitine aliyeajiri wasomi wenzake wengi.

Mtandao wa Gama ulisambatatishwa; ukaondoka na magari mengi ya Volkswagen ndogo - mengi yalikuwa, pengine, hayakuandikishwa!
 
RIP Mkongo Dr Gama, ila mkuu Nguvu mali sijakuelewa kidogo unavyomfananisha Dr Gama na Dr Mchimbi, na Dr Makongoro Mahanga...... nina mashaka kidogo
 
Mh!!!mkuu Genga, mtu akifa, hutajwa mema yake tu.... labda nadhani tubadilishe mfumo huo
 
wenye Picha ya Dr. Gama tunaomba, maana kizazi kilicho mature wakati hayupo kwenye press arena hatumjui kwa sura isipokuwa kwa yale aliyoyatenda!
 
sympathy-Deepestsympathy.jpg
 
Pumzika Mzee Gama. Ulifanya kazi kubwa!

LAKINI....wakati Gama akiwa Mkuu wa JKT na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, alishindwa kudhibiti ukabila:

Ktk Jeshi la kujenga Taifa aliajiri vijana wengi kutoka Mkoa wa Ruvuma wengi waliomaliza Darasa la Nane na kuwafanya ma-Afande. Kazi yao kubwa ikawa ni "kujenga" tabia ya ngono na wasichana wadogo waliomaliza Darasa la Nane waliojiunga na na JKT.

"Gama, huko kwako Jeshini, mabinti zetu hatuwaleti kuolewa na hao Maafande wako!"

Gama alishindwa kudhibiti tabia hiyo.

"Basi tutakubadilisha kazi."

Akapewa Ukurugenzi wa Usalama wa Taifa. Na badala ya kuajiri watu wenye elimu na uzalendo wa hali ya juu, Gama kawaleta ma-Afande wake, wengii wenye elimu duni! Utendaji kazi na hadhi ya idara hiyo ikadorora!

Hii haikumpendeza Rais Nyerere...ikabidi kufanya marekebisho makubwa na kumteua Hasnu Kitine aliyeajiri wasomi wenzake wengi.

Mtandao wa Gama ulisambatatishwa; ukaondoka na magari mengi ya Volkswagen ndogo - mengi yalikuwa, pengine, hayakuandikishwa!

Mkuu;
Ni vyema ukakumbuka kuwa hakuna aliye 100% perfect, labda malaika.

Cha muhimu kwakuwa ndo kesha tangulia mbele ya haki ni kumwombea tuu awe mahala pema peponi..
 
Natoa rambirambi kwa familia ya mzee Laurence Mtazama Gama, ndugu na marafiki wa familia hiyo wa karibu.

Ni vigumu kuandika historia ya Tanzania mpaka hapa tulipofikia bila kulitaja jina na mwasiasa huyu. Nafasi za uongozi alizozishika katika nchi hii ni nyingi, ikiwa pamoja na ukuu wa mkoa, usalama wa Taifa, ubunge, katibu mkuu wa CCM n.k

Mungu aiweke roho yake pahala pema peponi!
 
RIP Comrade Gama..
Yaani sina hata pumzi ya kusema..
Inashagaza sana hulka za baadhi yetu wanavyoweza kuwa na nguvu ya kumzungumza marehemu kana vile wao ni malaika!..
Waswahili wanasema roho ya kimaskini huonekana panapo Harusi ama kilio...
Ohhh by the way niko ndani ya BONGO -Dar es Salaam.....Haaa haaa haa!
GT umejificha wapi wee?
 
Back
Top Bottom