Dr Kitila Mkumbo for CHADEMA Presidency!

Dr Kitila Mkumbo for CHADEMA Presidency!

Hoja yako ni nzito mkuu. Big up!
Mtauana bure vichwa vibovu wote. Mwenyekiti Freeman Aikael Mbowe wakati akitokea mkoani mbeya alipitapita mikoa ya ruvuma na iringa akasema" natarajia kuachia nafasi ya uenyekiti ili mtanzania mwingine mwenye uwezo wa kuongoza chama (CDM) agombee. Na ningependa sana mtu huyo asitoke ukanda wa kaskazini ili kuwatoa shaka wale wenye dhana ya kwamba CDM ni chama cha kichaga" mwisho wa kunukuu.
Mtoa mada alimaanisha aliyosema Mbowe. Na kwa kiingereza neno presidency au president sio lazima akawa kiongozi anayeongoza state au dola. ni kiongozi yeyote mwenye mamlaka, hata chairman anaweza akaitwa president kama akina madega wa yanga, papa msofe, marehemu abasi gulamali wa yanga na wengine kibao. maliyaga wa sinza.
mwisho, wana CDM fatilieni matamshi na hotuba wanazotoa viongozi wenu ili msitoane macho kwa ujuha. Mkianza kutafuta nani amrithi nani mtakuwa kama magamba mtakwisha. hamna uzoefu wa kuvumuliana nyie mna jazba nyingi mtashikiana mapanga. Chonde sitaki tusi.
 
Wakuu,huwa nawafuatilia sana hawa watu kwenye mijadala yao.Lakini naona hii dhana ya U-Dr.inasumbua sana watu mpaka wanadhani wenye-Dr ndio watu pekee nchi hii.Kwa maoni yangu,nafahamu Dr.Kitila anajihusisha sana na Masuala ya CDM,Il aUkweli kabisa,Kwa kujieleza kwa Ufasaha,Kujenga Hoja makini,I swear,Anaweza kuwa Kazidiwa sana na Bashiru Ally,naye ni mhadhili palepale mlimani.Ili tusibishane kila mmoja ajipe mwezi kuwa scan hawa wawili aje na majibu hapa,Bashiru Ally ni zaidi ya Kitila Mkumbo.Na siku moja nilimsikia Bashiru akichangia mjadala wa uchumi na mawazo ya Mwl.Nyerere akaonyesha wapi alikosea na wapi aliisaidia nchi kiasi kwamba Nilihisi ataitwa Magogono akajieleze.Ujumbe:Huyu mmempa promo ya Kinafiki sana kama vile mmetumwa,si kila mwenye Dr. anaweza kuongoza nchi wakuu.
 
Sidhani kama mjadala huu ni kwa ajili ya kulinganisha watu. Bashiru Ally si mwanachadema anyway. Nasi tunazungumzia uenyekiti wa chama si urais maana Dr Slaa yupo
Wakuu,huwa nawafuatilia sana hawa watu kwenye mijadala yao.Lakini naona hii dhana ya U-Dr.inasumbua sana watu mpaka wanadhani wenye-Dr ndio watu pekee nchi hii.Kwa maoni yangu,nafahamu Dr.Kitila anajihusisha sana na Masuala ya CDM,Il aUkweli kabisa,Kwa kujieleza kwa Ufasaha,Kujenga Hoja makini,I swear,Anaweza kuwa Kazidiwa sana na Bashiru Ally,naye ni mhadhili palepale mlimani.Ili tusibishane kila mmoja ajipe mwezi kuwa scan hawa wawili aje na majibu hapa,Bashiru Ally ni zaidi ya Kitila Mkumbo.Na siku moja nilimsikia Bashiru akichangia mjadala wa uchumi na mawazo ya Mwl.Nyerere akaonyesha wapi alikosea na wapi aliisaidia nchi kiasi kwamba Nilihisi ataitwa Magogono akajieleze.Ujumbe:Huyu mmempa promo ya Kinafiki sana kama vile mmetumwa,si kila mwenye Dr. anaweza kuongoza nchi wakuu.
 
Ninamfahamu sana tu

Ninamfahamu kuliko unavyodhani, tangu enzi za kaptura ya khaki tukiwa wadogo na wembamba kama kagame... sio leo tuna vitambi!!! he is good at his work, excellent manager.... committed and bold!! but you must understand kwamba president ni institution and needs alot of merry go rounds ambazo mkumbo hawezi kufika huko with only 4 years remaining

remember rais haandaliwi kama instant coffee!!!

Nimeipenda sana hii, yaani ndani ya miaka mnne mtu atoke atokako awe rais!!? hii kweli itakuwa kama INSTANT COFFEE!
 
Kama Mh Mbowe akiamua kutogombea tena, tunahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kutoa hoja na kujenga taswira ya chama. Kama Dr Mkumbo atakubali kuacha Udsm, ni moja ya brains nzuri sana zilizopo Chadema.

Ana sifa zote, kwanza ni jasiri, ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, ni msomi, ana uwezo wa kufikiri, ana busara, anakubalika kwa vijana, ametoka mkoa ambao si wa kaskazini, hana tamaa ya madaraka nk.

Ni mawazo yangu tu, JF mnaonaje?

Ni mtazamo wako ambao hatuupingi, lakini mtu pekee anayeweza kuibadili hali ya nchi hii na ambaye kazi yake katika kampeni ya 2015 ni kuwaomba wananchi kulinda kura zao ni Dk Slaa kama CDM itaona anafaa kupeperusha bendera ya Chama na kama yeye atakubali.
 
Dr Kitila amekuwa in a lo low kiaina.Yuko kimya sana.Huwa simsikii sana kwenye issue,ni juzi tu nilipata nafasi ya kumwona kwenye mjadala ule wa kina Zitto na Januari.

So ni kweli,we need to know much on what he stands for nk.Tunajuwa ni mwana chadema na hivyo anasimamia sera za chama chake.

However kama ilivyo mara nyingi pia wamekuwa wakitofautiana kwenye issues nyingi tu muhimu kwa wananchi kama DOWANS nk.
 
Kitila mkumbo ni masalia ya Zitto tuyapukutishe hayafai kama kweli tunaipenda hii nchi..HAFAI

WanaJF,

Hizi aina ya mentality ni kikwazo katika ukuaji wa Democracy na maendeleo yetu.Hizi aina ya fikra zitazidi kuliweka taifa hili katika Retrogressive momentum badala ya Progressive Momentum. Hii dhana ya masalia au watu wa kundi fulani ni mambo ya ajabu kabisa katika siasa zetu.Nina imani kwamba wenye fikra hizi wanahitaji elimu ya Uraia au ni watu ambao hawatutakii Chadema mema.

Ukijadili uwezo wa mtu mjadili on merits na si kwa vigezo vya ajabu ajabu.Ni lazima tutambue kwamba mtu anayestahili kuwa leader aweje na awe na qualifications gani,tuache kuogopa vivuli tu.Tuache kutishika na ideas,kitakachotukomboa sisi kama Taifa ni Ideas.We need a strong leader kama chama strong cha upinzani.Siku zote ili chadema ifanikiwe ni lazima iwe na very active leaders in setting priorities and strategies Right tukiwa upinzani au tukiwa tumeshika Dola

A leader has vision for his people, he has dreams of what if done would benefit the people he leads. He has goals and objectives that he seeks office to accomplish.

A leader is the servant of the people; he serves their needs and not them his needs. A leader is not in office to gratify his ego's sense of prestige but to do what helps the man on the street live the good life.

A leader understands resource management, capital and human resources and can help get the resources with which he accomplishes his goals. He knows how to utilize human resources and material resources (capital) in accomplishing his goals and objectives.

Human beings are egotistical, proud and vain creatures and whoever leads them must understand how to manage their emotional issues. A leader must therefore be a mature adult person who not only can engage in task accomplishment but can take other persons pettiness and gripes and not lose his cool. He must disregard other persons bad mouthing him and keep his eyes on the ball and go for it until the ball is dribbled to the goal post and a goal is scored.

A leader is the type of man men follow in their mutual ventures. Some men do not have that intangible quality that makes other men follow them to their go.These attributes are very essential kwa kiongozi yeyote atakayeongoza Chama kikuu cha Upinzani kinachosubiri muda

At the moment Comrade Kitila Mkumbo seems the best of the lot. In an ideal world he would not be my first choice. If the world is an ideal place I would vote for a draconian, revolutionary type who is willing to fight and if needs be die trying to transform Chadema in particular and Tanzania In General, indeed, all of Africa, but we live in an imperfect world, not the utopian world where all our wishes are met. There is a difference between fantasy and political realism.

I have observed Dr.mkumbo from a distance and close. In my judgment he has the attributes of an excellent leader. He demonstrates knowledge of what Tanzanians want and wants to help them accomplish them. He places public service above his personal needs.

He understands the nature of setting tasks and using men in accomplishing them. In Millitary and perherps officers training schools what do they teach men it is all about leadership skills? Officers are taught to know the tasks set for them by their superiors and go achieve them with those they command. The enemy is on that hill and the company must take that hill, drive the enemy out, and capture them if necessary. Dr.Kitila Mkumbo understands this critical aspect of leadership (using men to achieve organizational objectives even if it means losing some of the men in the process).

Tujaribu kuwa wakweli hata kama ukweli huo ni mchungu kiasi gani.I believe bado Enemies wetu wanajaribu ku-target kwenye kilele cha potentials za Chadema.Chadema imekuwa hivi kutokana na fikra za wanachama na viongozi wake.Chadema imejijengea heshima kama serious threat kwa utawala dhalimu wa CCM (utawala wa mkoloni mweusi) kwa kusimama juu ya hoja nzito zenye ushawishi,mikakati,Umakini,ujasiri na kuheshimiana.Hebu tujizatiti tusonge mbele zaidi.I believe kwa jitihada zetu,umoja na mshikamano pamoja na kuheshimiana bas kwa Mapenzi ya Mungu mwaka 2015 Mwezi November Rais kutoka chama cha Upinzani ndiye atakayeapishwa kuwa Rais wa Taifa letu Tukufu.
 
kwa mie navywafaham vijana wa Chuo.. Mhazili yeyote akishawapeteshea sap.. zao wanamwita Rais.. enewei napita tu..
 
Inawezakana kwa vipimo vyako. labda wengine wana mawazo tofauti. ni kweli ana sifa na wapo watanzania wengi wana sifa. tatizo hizo sifa zinapimwaje na katika mazingira yapi. nchi ni kubwa si rahisi sana kusema filani anafaa kama vile tunamzungumzia mwenyekiti wa kijij. tunahitaji muda kufahamu zadi
 
Kitila Mkumbo ni hazina lakini aandaliwe kwa mwaka 2025.Kwa sasa Dr Slaa hana mpinzani ndani ya chama.

CDM wangemweka mtu mwingine huyu Slaa kabla ya siasa alikua padri wa kanisa na hili ni kosa kwenye nchi yenye waislamu zaidi ya 50%, Lindi,Mtwara, Pwani, Tanga, Kigoma, Tabora, Morogoro Pemba na Znz hatopata kura zaidi ya mgombea wa CCM hadi hapo amejitoa kwenye mikoa 9 bila hata ya kupiga kura na CCM wana silaha yao nyingine; Dr Lipumba. huyu atabeba zile kura hasi za waislamu kwa CCM
 
CDM wangemweka mtu mwingine huyu Slaa kabla ya siasa alikua padri wa kanisa na hili ni kosa kwenye nchi yenye waislamu zaidi ya 50%, Lindi,Mtwara, Pwani, Tanga, Kigoma, Tabora, Morogoro Pemba na Znz hatopata kura zaidi ya mgombea wa CCM hadi hapo amejitoa kwenye mikoa 9 bila hata ya kupiga kura na CCM wana silaha yao nyingine; Dr Lipumba. huyu atabeba zile kura hasi za waislamu kwa CCM

Mhh,Duh....The struggle against tribalism, ethnic bigotry, racism, sectionalism and religionism, is one that humans have to continually fight!
 
Kama Mh Mbowe akiamua kutogombea tena, tunahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kutoa hoja na kujenga taswira ya chama. Kama Dr Mkumbo atakubali kuacha Udsm, ni moja ya brains nzuri sana zilizopo Chadema.

Ana sifa zote, kwanza ni jasiri, ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, ni msomi, ana uwezo wa kufikiri, ana busara, anakubalika kwa vijana, ametoka mkoa ambao si wa kaskazini, hana tamaa ya madaraka nk.

Whats wrong with Dr. Slaa compered to Mkumbo? May be awe the next after Dr. Slaa presidency in 15 to 20. Jambo linalotia wasi wasi inawezekana wewe umetumwa ili kutuaminisha wapenda nchi kukombolewa tutoke katika hoja ya mkombozi aliyebakia CHADEMA.

kwa hali ilivyo sasas ili kujikomboa toka kwenye haka kakundi ka WEZI na MATAPELI walioishikilia serikali na uchumi wetu. Nadhani sasa tunahitaji kitu chochote kiwe IKILU ata ka si binadamu tunaweza kiondoa tukitaka.
 
CDM wangemweka mtu mwingine huyu Slaa kabla ya siasa alikua padri wa kanisa na hili ni kosa kwenye nchi yenye waislamu zaidi ya 50%, Lindi,Mtwara, Pwani, Tanga, Kigoma, Tabora, Morogoro Pemba na Znz hatopata kura zaidi ya mgombea wa CCM hadi hapo amejitoa kwenye mikoa 9 bila hata ya kupiga kura na CCM wana silaha yao nyingine; Dr Lipumba. huyu atabeba zile kura hasi za waislamu kwa CCM

Hapo kwenye red. Twambie matatizo ya yanayotokana au yatakayotokana na upadri wa Dr. Slaa ikulu. Pia unaweza kuthibitisha kwa tafiti zipi kuwa nchi hii ina waislam 50% Je, waislam ni maadui wa mapadri tu au na wachungaji na maaskofu wa dini nyingine? Kwahiyo tuseme mbowe alipogombea alishinda kwakuwa yeye si padri?

Hizi pumba ni za CCM.
 
Hapo kwenye red. Twambie matatizo ya yanayotokana au yatakayotokana na upadri wa Dr. Slaa ikulu. Pia unaweza kuthibitisha kwa tafiti zipi kuwa nchi hii ina waislam 50% Je, waislam ni maadui wa mapadri tu au na wachungaji na maaskofu wa dini nyingine? Kwahiyo tuseme mbowe alipogombea alishinda kwakuwa yeye si padri?

Hizi pumba ni za CCM.

waislamu ni wengi kuliko wakristo Tz ila hili ni suala la kiusalama ndiyo maana wanasema ni dini zote zinauwiano sawa kukiwa na madhehebu mengine madogo dogo. national security matters hizi. Padri ana tofauti kubwa na muhumini wa kawaida wa kikristo-huyu amepitia mafunzo na alitumikia kanisa kama kazi siyo tu imani ilikua ni kazi na fikra zake na matendo yake yanaweza kuathiriwa na hilo. siyo kwamba nampinga Dr Slaa, namkubali sana kisiasa sema na wala mimi siyo mtu wa udini, ila lazoima tuelewe mazingira ya kisiasa ya sasa hivi yalivyo na demography zake. kumbuka siasa ni mahesabu yasiyo na kanuni
 
Nikweli kati watu, walipo chadema, nakujenga hoja nzito, kitila mkumbo mmoja wapo, lakini si wakati wa kujadiri saizi uraisi tumpe nani tufanye kazi, tunaweza kufanya mambo makubwa sana bila kugusa ikulu, la msingi tuangalie tunaongezaje wabunge wengi zaidi, isije 2015 ccm wanamajimbo 20 ya kupita bila kupingwa.
 
Kama Mh Mbowe akiamua kutogombea tena, tunahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kutoa hoja na kujenga taswira ya chama. Kama Dr Mkumbo atakubali kuacha Udsm, ni moja ya brains nzuri sana zilizopo Chadema.

Ana sifa zote, kwanza ni jasiri, ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, ni msomi, ana uwezo wa kufikiri, ana busara, anakubalika kwa vijana, ametoka mkoa ambao si wa kaskazini, hana tamaa ya madaraka nk.

Ni mawazo yangu tu, JF mnaonaje?
Kuna kitu kitatusababishia majeraha makubwa sana.Mosi, hivi ni kweli kila mhadhili?? wa chuo kukuu ni mwanachama mzalendo wa CHADEMA? uongozi wa sasa wa chama ngazi ya taifa ina vwajumbe hawa: m/kiti-mbowe,makamu/m/kiti-mzee arfi, katibu dr wa ukweli slaa(WPS) naibu k/mkuu ZKZ (MJANJA) sasa upande wa visiwani mbona hatuzungumzii kupata safu ijayo/ .pili nani kawaambia kuwa mzee arfi hataki kuwa chairman? hatuoni kuwa kama binadamu ataona tunamtafutia sanda kabla hajafa?mwanzo wa makundi yasiyokwisha. tunapoanza kupanga safu nzito kama hivi maana yake ni kuwa chama kinaendeshwa kihuni. kuna ombwe la urithi katika uongozi kitu ambacho kiutaalamu ni makosa sana. CDM sio TFF wala BFT,wala TIA. ni chama makini huu uporojo hauna nafasi kwa sasa.Namaliza kwa kusema UJANJA MWINGI MWISHO KIZA NA NGUCHIRO WENGI HAWACHIMBI SHIMO. PIA MIRUZI MINGI PORINI HUMPOTEZA MBWA.
 
Tuna tatizo kubwa sana.Kuna mtu alisema viongozi tulio nao Tanzania ni reflection ya sisi wananchi,sioni kama alikosea sana! Why are we so allergic to New Changes?

Demokrasia inatoa mwanya kwa mwanachama yeyote kugombea nafasi ya juu ya uongozi.Lakini mara nyingi katika uwanja wa siasa Demokrasia hii ya kimagharaibi inazua utata,na labda tuje tu we na mjadala separate kuhusu hili kwa sababu demokrasia katika real sense ya 'The government of people by the people and for the people' haijawahi kutekelezwa katika ukamilifu wake ili ilete au ijenge aura ya Utakatifu wa mamlaka ya kisiasa

Tukiogopa kuruhusu demokrasia kufuata mkondo wake tutakuwa tunashangaza mno,lakini bado pia hata ambao hawatashangaa hawatastahili kulaumiwa kwa sababu hii dhana ya Democracy ni ambiguous na utekelezaji wake ni kama maji na mkondo wake(Hapa kunahitaji Debate).Turuhusu tu uwanja mpana wa Demokrasia uchukue mkondo wake,kama kuna Mwanasiasa anayetiliwa mashaka katika harakati za kugombea uongozi wa chama cha siasa basi ni jukumu lake kuwaaminisha wanachama wa chama husika waamini kinyume.Pia ni jukumu la mamlaka katika vyama vya siasa kuhakikisha Democracy prevails

If a new vision is not allowed to take over our political space, 50 years za uhuru and less of our democracy pose the challenge of what can be an endless rite of passage.

I feel a great sense of optimism in spite of the obstacles. That is the power of youth. Chadema as a serious Opposition party has had its great and low moments, but that is true of all Vibrant opposition camps in Africa and in the world. The energy to draw from those great moments will be embedded in our youth, it will be demonstrated in the feat we accomplish when we do great deeds and score remarkable goals in Tanzania and Beyond Borders.Chama serious cha siasa ni lazima pia kilenge on Grand intergration beyond Borders.ANC wanafanya hivyo,NDC Ghana wanafanya hivyo,NRM Uganda,PDP Nigeria wanafanya hivyo.Unapopigania Uhuru wa pili,Economic Freedom ambayo itakuwa ni struggle ya vyama vya siasa vya Africa ni lazima pia ujenge legacy kama ya vyama vilivyopigania uhuru wa kwanza kama TANU,KANU,SWAPO,ANC,ZANU-PF,FRELIMO,RENAMO etc

Forming the party is one thing grounding and grooming the required people to remain within the created structure and policy is another. Especially in a country of ours where trust between the governor and the governed is non-existent.

Cha msingi kinachohitajika ni umakini wa wanachama na umakini wa mgombea mwenyewe katika kumfanyia assesment the aspiring leader.Dr.Kitila(Sijawahi ku-doubt uwezo wake) au Mtu mwingine yeyote Mwaminifu kwa chama na Taifa,mzalendo wa Kweli asiyetia shaka kama ataamua kugombea basi aachwe Demokrasia ichukue mkondo wake

Hapo kwenye red:Nakupa big-up sana!
Mimi nilikuwa sijui kama kuna mtu mwingine anafahamu hivyo, au angalau kukubali hilo
 
Back
Top Bottom