Dr Kitila Mkumbo for CHADEMA Presidency!

Dr Kitila Mkumbo for CHADEMA Presidency!

Wale ambao mlikuwepo chuo miaka ya 99, niambieni. Kulikuwa na deal ya kugoma vyou vikuu vyote kugomea and kuandamana kwa sababu ya serikali ya wakati huo kuanzisha mjadala wa kuchangia gharama za elimu ya juu tanzania. siku ya kikao inasemekana agenda jamaa aliiruka. then wakereketwa wakaiibua. jamaa walifanya njama mpaka ikapigwa chini. Katika uongozi wake haukuwahi kutokea mgomo pale chuo kikuu. hiyo siyo mbaya, bali mbya ni kwamba alikuwa side moja na magamba(uongozi) ndio walimpa mbinu za kuzima chochote under ground. even those days he was suspected to be among the Usalama wa Taifa. infact the man is good but i doubt these poting are among his (himself/mtandao) tricks to pave the way ahead. na gpa yake sijui wadau kuna habari mbaya mbya jinsi alivoipata. Nyerere alisema kuna watu wengi tu Tanzania wanaweza kuwa marais wazuri na si lazima wawe tunao wafahamu. I believe there are 100 more elsewhere we dont know them.
 
Mbona mnamkuza sana? Siasa ni zaidi ya kujenga hoja za darasani, ingekuwa kujenga hoja tu zinazotokana na taaluma Profesa Lipumba angeshakuwa rais maana alikuwa mhadhiri wa chuo kikuu. Kitila hata jimbo hatoki, si anatokea Iramba na aende akaguse apambane na dogo aliyekuwa Igunga. Nimedodosa hata jimboni kwao anafahamika kijiji kimoja . Urais sio mzahas ndg zangu
 
Mkuu Topical, mpotezee mbangubangu huyo anayetaka sifa za kijinga humu,, yuko kwenye payroll huyo kutwa nzima jitu limo tu humu!! Mi nilishamtema kwa sababu kubishana na mjinga wote mnaonekana sawa. Mteme mkuu

bora ujinga wa tropical kuliko upumbavu wako!
 
Imegeuka imekuwa hoja ya kutukanana? Imeanza vizuri inataka kuishia pabaya. Napita tu... Jion njema.
 
Duh kweli watu wanachemka sana! Dr. Kitila tunamfahamu watu wachache sana. kwanza pamoja na kuwa CDM sio wanaCDM wote wanaomfahamu. zaidi ya kuhusika kama MC kwenye mdahalo wa katiba pale udsm, watu wengi hawakuwahi kumsikia. mi nadhani ni mapema sana kwa huyu Kijana kugombea hiyo nafasi. labda 2045. kwanza hana sifa ya kuwa rais wa nchi, pili wewe uliyeanzisha hii topic, inaoneka ulikuwa huna cha kusema ukabandika ndoto zako ulizoota ucku huu. ukome. sawa, next time usirudie
 
Hivi mtoa hoja alikuwa anamaanisha Kitila agombee urais wa CDM au urais wa nchi??? Naona wachangiaji wengi hamkumwelewa!! Kwa jinsi alivyoandika anamaanisha kuwa Kitila amrithi Mbowe nafasi ya uwenyekiti wa CDM kama hatagombea kwenye next party General election!!
Kwa sasa CDM hakuna mwingine kama Slaa kwa Urais!!!
umemaliza kila kitu hapo. Mwenye kuelewa na aelewe.
 
Akagombee kwanza jimboni kwake tuone kama anakubalika huko. Aonyeshe kama anakubalika kwa wananchi kwa njia ya kura kuanzia jimboni kwake kwanza. Si kusema tu anakubalika kwa vijana, what about wazee? Hawana haki ya kumchagua kiongozi? Muulize Lipumba kwa nini anapenda kuwatumikia wananchi kwa level ya urais na si jimboni?
 
Mbona hii thread imekaa kibaguzi sana, kwani sisi tunaokaa ukanda wa kaskazini tumetenda nini mpaka imefikia hapa, mbona ccm wamepanda masaburi vichwani mwenu mnashindwa hata kulala kisa kaskazini au kwa sababu ni mikoa ambayo watu wake wameshaelimika kuliko mikoa mingine, pumbavu zenu wote mnao dc ukanda wa kaskazini, siogopi ban ninapochoshwa.
 
Kwa yeyote awaye ilimradi anakidhi vigezo safi,sina tatizo na Dr Mkumbo . LAKINI Tuache kuleta ISIA ZA KIBAGUZI. NANI KASEMA KWAMBA WATU WA KASKAZINI HAWAFAI KTK NAFASI HIYO? KAMA YUPO NI VIGEZO GANI KATUMI KWA KATIBA YETU HAISEMI HIVYO! JAMBO MOJA MUHIMU LIELEWEKE NIKUWA WA TZ TUNAITAJI KIONGOZI BORA, RAIS MWADILIFU MCHAPA KAZI,ANAYEWEZA KUSIMAMIA VEMA KATIBA NA NCHI YETU KWA MANUFAA YA WANANCHI WOTE NA SIO KWA AJILI YA NAFSI YAKE AU RAFIKI AU KUNDI FULANI. RAIS WETU AWEZA TOKA KTK ENEO LOLOTE LA NCHI YETU,SIFA KUBWA NI UWEZO WAKE NA UADILIFU AWE NA UZALENDO NA TAIFA HILI NA SIO ANATOKEA PANDE GANI.WATANZANIA TUPINGE HILI LA UBAGUZI UNAOTAKA KUJITOKEZA UKICHOCHEWA NA WATU FULANI KWA MASLAI YAO BINAFSI.
 
Mimi nilileta mada hii nikitaka kujua hasa tuna maoni gani kuhusu mwenyekiti wa chadema ajaye baada ya Mbowe amaye alishatangaza hatagombea tena. Mimi nimemwona Dr Mkumbo kama ana sifa za kutosha ila si lazima awe yeye. Naomba nirudie swala la kaskazini. Mtei alikuwa mtu wa kaskazini, Mbowe kask na Dr Slaa kask. Maadui wetu wanatumia mianya hii kutuhujumu, sawa kama walivyosema CUF ni waislam. Kuna watanzania wanaacha kupiga kura chadema kwa ajili hiyo pamoja na kwamba hizi propaganda si za kweli. Kama chama cha siasa, Chadema lazima iwe na strategies za kisiasa. Dr Slaa atakuwa mgombea wa urais, ila kama tukipata m/kiti ambaye si wa kaskazini mwenye uwezo itakuwa tume score a political goal maana watashindwa kuzungumzia tena hilo swala. Hata CUF kumweka Itatiro pale walikuwa na nia pia ya kupinga wao ni wadini.

Ila kiukweli Dr Mkumbo kama wengine walivyosema ni dhahabu ambayo bado haijavumbuliwa! Ni kweli hafahamiki sana kwa vile hajawa kwenye majukwaa ya siasa lakini wanaomfahamu kidogo wanajua ni mtu wa aina ya Nyerere
 
Ninamfahamu sana tu

Ninamfahamu kuliko unavyodhani, tangu enzi za kaptura ya khaki tukiwa wadogo na wembamba kama kagame... sio leo tuna vitambi!!! he is good at his work, excellent manager.... committed and bold!! but you must understand kwamba president ni institution and needs alot of merry go rounds ambazo mkumbo hawezi kufika huko with only 4 years remaining

remember rais haandaliwi kama instant coffee!!![/QUOTE]

Mkuu umemaliza yote hapo kwe red.
 
Kama Mh Mbowe akiamua kutogombea tena, tunahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kutoa hoja na kujenga taswira ya chama. Kama Dr Mkumbo atakubali kuacha Udsm, ni moja ya brains nzuri sana zilizopo Chadema.

Ana sifa zote, kwanza ni jasiri, ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, ni msomi, ana uwezo wa kufikiri, ana busara, anakubalika kwa vijana, ametoka mkoa ambao si wa kaskazini, hana tamaa ya madaraka nk.

Ni mawazo yangu tu, JF mnaonaje?
Mtauana bure vichwa vibovu wote. Mwenyekiti Freeman Aikael Mbowe wakati akitokea mkoani mbeya alipitapita mikoa ya ruvuma na iringa akasema" natarajia kuachia nafasi ya uenyekiti ili mtanzania mwingine mwenye uwezo wa kuongoza chama (CDM) agombee. Na ningependa sana mtu huyo asitoke ukanda wa kaskazini ili kuwatoa shaka wale wenye dhana ya kwamba CDM ni chama cha kichaga" mwisho wa kunukuu.
Mtoa mada alimaanisha aliyosema Mbowe. Na kwa kiingereza neno presidency au president sio lazima akawa kiongozi anayeongoza state au dola. ni kiongozi yeyote mwenye mamlaka, hata chairman anaweza akaitwa president kama akina madega wa yanga, papa msofe, marehemu abasi gulamali wa yanga na wengine kibao. maliyaga wa sinza.
mwisho, wana CDM fatilieni matamshi na hotuba wanazotoa viongozi wenu ili msitoane macho kwa ujuha. Mkianza kutafuta nani amrithi nani mtakuwa kama magamba mtakwisha. hamna uzoefu wa kuvumuliana nyie mna jazba nyingi mtashikiana mapanga. Chonde sitaki tusi.
 
Shida ni hizo merry go rounds za kisiasa. Mdomo inakuwa ni silaha mojawapo kubwa.Uthabiti,na kujitolea kuwa mpiganaji kwa ukombozi wa wanyonge. Na umaarufu wake mdogo atauzika kwa taabu.Na CDM inaweza kupoteza kura nyingi kwa ukosefu wa umakini katika uteuzi wa candidate..
 
Kama Mh Mbowe akiamua kutogombea tena, tunahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kutoa hoja na kujenga taswira ya chama. Kama Dr Mkumbo atakubali kuacha Udsm, ni moja ya brains nzuri sana zilizopo Chadema.

Ana sifa zote, kwanza ni jasiri, ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, ni msomi, ana uwezo wa kufikiri, ana busara, anakubalika kwa vijana, ametoka mkoa ambao si wa kaskazini, hana tamaa ya madaraka nk.

Ni mawazo yangu tu, JF mnaonaje?

Tumpime kwanza kwenye ubunge 2015...
 
Ila kiukweli Dr Mkumbo kama wengine walivyosema ni dhahabu ambayo bado haijavumbuliwa! Ni kweli hafahamiki sana kwa vile hajawa kwenye majukwaa ya siasa lakini wanaomfahamu kidogo wanajua ni mtu wa aina ya Nyerere
Hapo penye rangi umenichefua kabisa,, huyu mlafi mpenda fedha unamfananisha na Nyerere?? kwanza hata ile ku appear kama kiongozi hakuna,, hana mvuto mshika chaki huyo.......kweli wee mibange
 
Wakuu,huwa nawafuatilia sana hawa watu kwenye mijadala yao.Lakini naona hii dhana ya U-Dr.inasumbua sana watu mpaka wanadhani wenye-Dr ndio watu pekee nchi hii.Kwa maoni yangu,nafahamu Dr.Kitila anajihusisha sana na Masuala ya CDM,Il aUkweli kabisa,Kwa kujieleza kwa Ufasaha,Kujenga Hoja makini,I swear,Anaweza kuwa Kazidiwa sana na Bashiru Ally,naye ni mhadhili palepale mlimani.Ili tusibishane kila mmoja ajipe mwezi kuwa scan hawa wawili aje na majibu hapa,Bashiru Ally ni zaidi ya Kitila Mkumbo.Na siku moja nilimsikia Bashiru akichangia mjadala wa uchumi na mawazo ya Mwl.Nyerere akaonyesha wapi alikosea na wapi aliisaidia nchi kiasi kwamba Nilihisi ataitwa Magogono akajieleze.Ujumbe:Huyu mmempa promo ya Kinafiki sana kama vile mmetumwa,si kila mwenye Dr. anaweza kuongoza nchi wakuu.
 
Back
Top Bottom