Hata mimi nimeshakudharau sana kwa sababu wewe unaendekeza udini
pole we! Kahubiri dini achana na siasa.Unadhalilika kama mtu aliye uchi.
Hata mimi nimeshakudharau sana kwa sababu wewe unaendekeza udini
msamehe tu bure ni njaa ndiyo inamtesa hadi anadhalilisha utu wake
Recho Mashishanga?Huyu akigombea urais basi CCM watamweka Mashishanga.
pole we! Kahubiri dini achana na siasa.Unadhalilika kama mtu aliye uchi.
Ninamfahamu sana tu
Ninamfahamu kuliko unavyodhani, tangu enzi za kaptura ya khaki tukiwa wadogo na wembamba kama kagame... sio leo tuna vitambi!!! he is good at his work, excellent manager.... committed and bold!! but you must understand kwamba president ni institution and needs alot of merry go rounds ambazo mkumbo hawezi kufika huko with only 4 years remaining
remember rais haandaliwi kama instant coffee!!!
Kwani Nyerere aliandaliwaje na nani alimuandaa. Kwani hao walioandaliwa walileta nini katika nchi yetu zaidi ya ufisadi na wizi wa rasilimali za nchi. Kumbuka hakuna anaye zaliwa na uzoefu(experience) uzoefu hupatikana katika shughuri yenyewe na sio vinginevyo. Kinachotakiwa ni uadilifu na musimamo wa kweli.Ninamfahamu sana tu
Ninamfahamu kuliko unavyodhani, tangu enzi za kaptura ya khaki tukiwa wadogo na wembamba kama kagame... sio leo tuna vitambi!!! he is good at his work, excellent manager.... committed and bold!! but you must understand kwamba president ni institution and needs alot of merry go rounds ambazo mkumbo hawezi kufika huko with only 4 years remaining
remember rais haandaliwi kama instant coffee!!!
Mkuu Topical, mpotezee mbangubangu huyo anayetaka sifa za kijinga humu,, yuko kwenye payroll huyo kutwa nzima jitu limo tu humu!! Mi nilishamtema kwa sababu kubishana na mjinga wote mnaonekana sawa. Mteme mkuuHata mimi nimeshakudharau sana kwa sababu wewe unaendekeza udini
Nakudhalilisha sana wewe uko uchi sasa na unafiki wako pole
bwahahahaaahhaaaaaaaaa:lol: kumbe chundu huyu anahongwa bia tu?? Bonge la mshamba flan hivi na si ajabu anagonga viloba tuUmepewa bia ngapi leo mbowe pale club billi..
Mkuu Topical, mpotezee mbangubangu huyo anayetaka sifa za kijinga humu,, yuko kwenye payroll huyo kutwa nzima jitu limo tu humu!! Mi nilishamtema kwa sababu kubishana na mjinga wote mnaonekana sawa. Mteme mkuu
waambie Bakwata watoe tena tamko kama lile la Igunga!
bwahahahaaahhaaaaaaaaa:lol: kumbe chundu huyu anahongwa bia tu?? Bonge la mshamba flan hivi na si ajabu anagonga viloba tu
mpashe bwegebwege masaburi taarab dizain.......kwi kwi kwi.. teh tehWaambie maaskofu waote tamko na waraka kama ule wa Arusha!
JK chaguo la Mungu (Kilaini)
sisi hatutumii mtandao wako huo unasutangaza. jaribu kona bar au kwenye taarab huko.....tutolee masaburi unayotutangazia humuAgain-masaburi at work! Evening now!
Unalipwa viloba vingapi kushinda humu kutwa nzima?? huoni noma wewweee?Again-masaburi at work! Evening now!
Kama Mh Mbowe akiamua kutogombea tena, tunahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kutoa hoja na kujenga taswira ya chama. Kama Dr Mkumbo atakubali kuacha Udsm, ni moja ya brains nzuri sana zilizopo Chadema.
Ana sifa zote, kwanza ni jasiri, ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, ni msomi, ana uwezo wa kufikiri, ana busara, anakubalika kwa vijana, ametoka mkoa ambao si wa kaskazini, hana tamaa ya madaraka nk.
Ni mawazo yangu tu, JF mnaonaje?
naunga mkono hoja. Hatufai mlafi wa fedha huyoKitila mkumbo ni masalia ya Zitto tuyapukutishe hayafai kama kweli tunaipenda hii nchi..HAFAI