Alikuwa Rais wa Daruso, so ana uzoefu wa kuongoza organization korofi, hawezi kushindwa kuongoza nchi ya mambumbu kama Tanzania.Lol..omr..
Huyo kitila hata hajawahi kuwa balozi wa nyumba kumi.
waislamu ni wengi kuliko wakristo Tz ila hili ni suala la kiusalama ndiyo maana wanasema ni dini zote zinauwiano sawa kukiwa na madhehebu mengine madogo dogo. national security matters hizi. Padri ana tofauti kubwa na muhumini wa kawaida wa kikristo-huyu amepitia mafunzo na alitumikia kanisa kama kazi siyo tu imani ilikua ni kazi na fikra zake na matendo yake yanaweza kuathiriwa na hilo. siyo kwamba nampinga Dr Slaa, namkubali sana kisiasa sema na wala mimi siyo mtu wa udini, ila lazoima tuelewe mazingira ya kisiasa ya sasa hivi yalivyo na demography zake. kumbuka siasa ni mahesabu yasiyo na kanuni
Big up mkuuHapo kwenye red:Nakupa big-up sana!
Mimi nilikuwa sijui kama kuna mtu mwingine anafahamu hivyo, au angalau kukubali hilo
Lol..omr..
Huyo kitila hata hajawahi kuwa balozi wa nyumba kumi.
Hahaha, Kweli sugu anafaa sana.
Kama Mh Mbowe akiamua kutogombea tena, tunahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kutoa hoja na kujenga taswira ya chama. Kama Dr Mkumbo atakubali kuacha Udsm, ni moja ya brains nzuri sana zilizopo Chadema.
Ana sifa zote, kwanza ni jasiri, ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, ni msomi, ana uwezo wa kufikiri, ana busara, anakubalika kwa vijana, ametoka mkoa ambao si wa kaskazini, hana tamaa ya madaraka nk.
Ni mawazo yangu tu, JF mnaonaje?