Ufunuo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 563
- 160
vjana wa cdm wanamkubali Dr Kitila kama mshauri wao na kama walivyo wanachadema wengine anauwezo mkubwa wa kujenga na kutetea hoja yake nashauri tu aende jimboni agombee ili Mungu akipenda serikali ijayo (2015) awe ktk baraza la mawaziri
Alisaidie taifa cdm bado kuna watu wengi wa kushika nyadhifa ndani ya chama Dr Kitila atumike level nyingine.
Alisaidie taifa cdm bado kuna watu wengi wa kushika nyadhifa ndani ya chama Dr Kitila atumike level nyingine.