Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Wawawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..........h
Ninafurahaaaaaaaaaaa
Pipoziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Nimecheka sana leo niliposikia wakihojiwa na maulid wa radio one hawa waheshimiwa.kafumu amesema yeye masuala ya siasa sasa basi,anaenda kuwatumikia wananchi kwa utaalam wake wa madini.lakini amesema mambo yote waulizwe ccm.ni kama vile alilazimishwa hivi kugombea,alivyoonyesha.

Nape ndiyo kabisa alikuwa anafoka.si yule ambaye hujibu kwa kujiamini.anasema kwa sasa hana la kusema kwani wao kama chama wana utaratibu wao wa kupeana taarifa.taarifa ikifika atalizunguzia.alipododoswa alikuja juu akasema,"sijui wewe umesomea wapi.unapojifanya clever sana ili nijibu wakati nimesema sijapata taarifa rasmi......"
kama vile hukumu imetolewa na ccm igunga!na si mahakama.
 
Piga ccm hao, kazi wizi na ujanja ujanja tu wa kupata madaraka pambaf. Na bado mtaisoma sana namba
 
natamani nisikie Nape atasema nini? pia Nchemba ataongea nini? kwani baada ya uchaguzi alijitapa eti chadema wameiba kura. hii aibu itamfuata milele
 
pepoz powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr ...................... yaani we acha tu.sasa tusubiri rufaa ya kamanda lema mwezi ujao najua kwa kudra za mwenyezi mungu atashinda tu:israel:
 
"Mahakama haijatenda haki"
Mimi ninakubaliana na Ritz kuwa mahakama imetenda/hutenda haki, tatizo ni kuwa pale inapoamua kwa upande wetu tunasifu mahakama lakini inapoamua in favour ya upande mwengine tunaanza kulalamika.

Hata hivyo ningemshauri Dk. Kafumu kukata rufaa kwani ni haki yake na haki ya mtu haipotei.
 
Last edited by a moderator:
dalili za siku za mwisho ndiyo hizi. na hizo ndiyo rasharasha 2015 itakuwa za masika. viva chadema viva prof. safari, viva wananchi wa igunga -- ngoja tusubiri uchaguzi mdogo sijui watakuja na lipi maana kama pilau, mahindi ya msaada, daraja la mbutu, kudhalilisha uislam, vitisho vyombo vya dola kwa wananchi vyote vimeshindwa kufua dafu- aisee mungu ni mkubwa.

CCM-B walimkataa prof.safari leo wameshuhudia umakini wake kitaaluma, chezea CDM wewe, kile ni kisima cha taaluma zote
 
KATIBA MPYA itusaidie kumpata MBUNGE mwingine bila kulazimika kurudi kwenye uchaguzi mdogo kama itakavyokuwa sasa baada ya hukumu hii. CCM nao na "makada" wake bandia akina Maghufuli, Wassira, Mchemba, Lusinde, Rage,..., wakome kabisa kutoa kauli tata na za kijinga kwenye kampeni ambazo si zao. Wamwache mgombea ajinadi mwenyewe. Dr Kafumu alifanya kampeni za kistaarabu sana tu.
 
yaani hapa ni full shangwe. Walitumia fedha nyingi, vitisho,hadaa za mawaziri, waliteka na waliua wanachadema, walihonga kila walichoweza kuridhika nacho kini hakika Mungu amejibu kwa haki. Hii ndo nguvu ya CDM bwana. Nape, Mukama,Mgigulu, Magufuli , Mkapa na gentleman wa Gombe wang'ate ulimi. Mungu ni Mwema na ndo kimbilio la wanaodhulumiwa. Aliwapa kiburi Magamba ambapo ndo chimbuko la anguko lao. Nape Aje tena na tamko la masaburi yake!
 
Katika uchaguzi huo uliompa ushindi wa mang'amung'amu Dr Kafumu ambaye leo amevuliwa na Mahakama kuu kanda ya Tabora, kuna mengi yaliyojiri, nakumbuka mawili makubwa, la kwanza ni Mhemiwa Nchemba kutuhumiwa kutembea na mke wa mmoja wa wapiga debe wa CCM na mwenye mali aliposhtukia kumpa kibano kikali mkewe hukumu Mhe akitimua mbio, ha ha haa!!! Pili ni Mwenyekiti wa Wekundu wa Msimbazi kuonyesha bastola yake kama polisi wa kikoloni!!!! Duh Magambazzz kazi kweli kweli!!!
 
Mbona unajitusi mwenyewe tena mkuu??? Sasa hapo stupid ni nani kama sio wewe mwenyewe??? **** Soma update Wacha kuwa mvivu wa kusoma na badala yake unadandia gari kwa mbele na comment hewa yako unaambiwa CDM imeshinda kesi full stop Kama huamini fungulia mkulima wako utasikia

Samahani kamanda wangu mimi niko mbali na mji sasa heading imenishtua nikafurahia then ndani sipati ukweli very sorry!
 
anatia huruma sana jamaa hadi anasema 'mi narudi kwenye utaalam wangu wa mambo ya madini'..hadi huruma aisee yaani jamaa sio politician kabisa kwani anajiumauma tu..teh teh
Kwa kweli nampongeza kwa uamuzi wake huo, na hivi ndivyo tunavyotakiwa kuwa, "tusiache mbachao..." kuna maisha pia nje ya siasa.
 
Back
Top Bottom