Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,986
- 5,708
Tunaomba mwenye habari kamili aimwage jamvini
hivi nyie watu vipi??...hamuoni update ninazowapa hapa....nasema na ninarudia mara ya mwisho..CHADEMA IMESHINDA KESI...
Tunaomba mwenye habari kamili aimwage jamvini
hahahah umeniacha hoi .......wewe shangilia tu ukweli utaujua mbele ya safari.poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer........!
Kama ni kweli lakini......
Ni kweli jamani? siamini bado maana nitafurahi hadi chakula cha usiku nisikile
acheni uongo
hivi nyie watu vipi??...hamuoni update ninazowapa hapa....nasema na ninarudia mara ya mwisho..CHADEMA IMESHINDA KESI...
mkuu usichoke kuwa update maGT, watu hawasomi habari wanakimbilia kupost tu. ha ha haaa