happa wala hakuna ubishi.
Tatizo la ccm ni wapuuzi. hua hawataki kukubali changamoto mpya.
matokeo yake wamezoeleka, wamechokwa sasa wanachukiwa.
Pro-Chadema bana kwa unafiki mara waseme hawana imani na mahakama za Tanzania, mahakama ikifanya kazi yake na mgombea wa Chadema akashinda wanashangilia, mahakama ikifanya kazi yake mgombea wa CCM akashinda wanasema Ikulu imeingilia maamuzi mahakama...mie naamini maamuzi ya mahakama na haki imetumika...pongezi kwa JK kwa kujenga mahakama zenye haki maamuzi ya mahakama yaheshimiwe pole sana Dr Kafumu, ndio siasa zina raha yake na machungu yake.
ANA HAKI!kafumu live ITV analalamika tu..puuuuuuuu!!!!
Kwa mujibu wa Michuzi blog..Aliyekuwa mbunge wa Igunga kwa tiketi ya CCM Dk Dalaly Kafumu amebwagwa kwenye kesi ya kupinga ushindi wake wa kiti cha Ubunge cha Igunga kilichoachwa wazi na Rostam Aziz.Soma hii link hapa chini
MICHUZI: BREAKING NYUUZZZZZZZ........: Dk. Dalaly Kafumu avuliwa ubunge Igunga
Pro-Chadema bana kwa unafiki mara waseme hawana imani na mahakama za Tanzania, mahakama ikifanya kazi yake na mgombea wa Chadema akashinda wanashangilia, mahakama ikifanya kazi yake mgombea wa CCM akashinda wanasema Ikulu imeingilia maamuzi mahakama...mie naamini maamuzi ya mahakama na haki imetumika...pongezi kwa JK kwa kujenga mahakama zenye haki maamuzi ya mahakama yaheshimiwe pole sana Dr Kafumu, ndio siasa zina raha yake na machungu yake.