Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

ninauhakika Beni hatokanyaga Igunga....kwa kilichotokea Arusha.....yangu macho. Sijui watamtuma nani Igunga labda Mwigulu na Wasira...
 
HUKUMU ya IGUNGA Leo..Kashinje Vs Kafumu,


....Kwakweli mpaka sasa hivi Mbunge wa CCM ameshindwa kumleta shahidi ambaye angetoa taswira njema kwa Ushindi wa Kafumu.
Kwani Bwana Magufuli, ambaye yeye ametajwa kwenye Kesi mara kadhaa; kwamba alikuwa akitoa Ahadi ambazo alikuwa akitoa
mbele ya Jukwaa..kwa hali hiyo Mgombea Wa Chadema anasema alikuwa anatoa Kama Nani? Waziri au mpiga Debe wa CCM?

Kwakweli Kesi imekaa patamu sana...kama Haki ikitendeka ...Basi Jimbo tutalajie kuwa Wazi katika Hukumu ya Leo..!!!



UPDATES
Magari ya polisi, gari la maji washa, naona ndo yanawasili hapa mahakamani, ila bado hatujaingia ndani ya ukumbi wa mahakama, pia watu bado si wengi sana.



MORE UPDATES:
Mahakama imemvua ubunge Dr. Kafumu!

Mzee unaweza kunijua ni makosa gani yalioolodheshwa na kupelekewa kutenguliwa ushindi wa Dalali, na "wahishiwa" Majaji??
Tafadhali
 
Mbado, mbado mbaaado saaana! mpaka wajutie dhuluma, ubadhirifu, ufisadi, rushwa, ukatili, ubabe na maovu yote walityowatendea watanzania katika kipindi chote tangu kifo cha Baba wa taifa; Mbaado sana mpaka walie na kusaga meno, hiyo ndiyo zawadi ya muovu.
 
Eti kuna Dingi la Sisiemu hapa linajaribu kunipiga Mkwara eti kazini hakuruhusiwi mambo ya siasa, kisa? Wameshindwa
huyo dingi natamani kama kuwepo hapo nimpe makwenzi maana inaonekana ubongo haufanyi kazi
 
Mbombo ngafu, hilo Jimbo lilikuwa la CDM hata CCM wanajua na ndio maana Dr Magufuli alisepa kutoa ushaidi.
Mwigulu Nchemba, haitakubalika kumwaga damu tena, Chadema hao wanakuja.
 
Kashavuliwa ubunge as per radio one breaknews. Alipoanza kumkataa Judge wenye macho tukajua maana yake nini. Ila tamaa za kisiasa mbaya sana. Dr. Kafumu (PhD) Commissioner wa nishati na madini anaenda kugombea ubunge. What a shame. Kwa wanaofanya kazi serikalini wanajua who is a commissioner. Very senior fellow
 
Pro-Chadema bana kwa unafiki mara waseme hawana imani na mahakama za Tanzania, mahakama ikifanya kazi yake na mgombea wa Chadema akashinda wanashangilia, mahakama ikifanya kazi yake mgombea wa CCM akashinda wanasema Ikulu imeingilia maamuzi mahakama...mie naamini maamuzi ya mahakama na haki imetumika...pongezi kwa JK kwa kujenga mahakama zenye haki maamuzi ya mahakama yaheshimiwe pole sana Dr Kafumu, ndio siasa zina raha yake na machungu yake.

Haha ..kwani ukivuka katik mto grumeti wenye mamba wataalamu wa kuua ,huna haki ya kusema kuwa huna hakika?Na kwa minajili hiyo kufika salama kunakupa nguvu ya Kushangilia sana.

Hongera hapa ni kwaBackgrounders na wanasheria wakubwa , wakiongozwa na Prof, Safari (Mzee wa Nyumba za serikali).CUF watamjutia sana.
 
dalili za siku za mwisho ndiyo hizi. na hizo ndiyo rasharasha 2015 itakuwa za masika. viva chadema viva prof. safari, viva wananchi wa igunga -- ngoja tusubiri uchaguzi mdogo sijui watakuja na lipi maana kama pilau, mahindi ya msaada, daraja la mbutu, kudhalilisha uislam, vitisho vyombo vya dola kwa wananchi vyote vimeshindwa kufua dafu- aisee mungu ni mkubwa.

kwa masikitiko makubwa nasema "ccm kwisha kazi" anzeni kukabidhi nchi kwa wengine.
 
Back
Top Bottom