WildCard sidhani kama kutakuwepo na mapitio ya bajeti kutokana na hukumu hii; nachomaanisha hata kama hukumu hii isingetoka pesa zilizotengewa Wizara ya katiba bado zingetumika zote; acha tuu pesa irudi kwenye mzunguko kwa njia hii. Afterall hii italeta na hamasa kwa wanaigunga kujenga nyumba za maana za kulala wageniJImbo moja masikini kabisa ambako hakuna madarasa, madawati, maji, zahanati,..., linashuhudia chaguzi TATU za mabilioni ndani ya miaka mitatu kama tumerogwa vile!
WildCard sidhani kama kutakuwepo na mapitio ya bajeti kutokana na hukumu hii; nachomaanisha hata kama hukumu hii isingetoka pesa zilizotengewa Wizara ya katiba bado zingetumika zote; acha tuu pesa irudi kwenye mzunguko kwa njia hii. Afterall hii italeta na hamasa kwa wanaigunga kujenga nyumba za maana za kulala wageniJImbo moja masikini kabisa ambako hakuna madarasa, madawati, maji, zahanati,..., linashuhudia chaguzi TATU za mabilioni ndani ya miaka mitatu kama tumerogwa vile!
yule tukishamtia hatiani si atavuliwa ubunge!Na yule aliekula rushwa yule wa bahi yupo kundi gani na yeye?
Eti kuna Dingi la Sisiemu hapa linajaribu kunipiga Mkwara eti kazini hakuruhusiwi mambo ya siasa, kisa? Wameshindwa
HUKUMU ya IGUNGA Leo..Kashinje Vs Kafumu,
....Kwakweli mpaka sasa hivi Mbunge wa CCM ameshindwa kumleta shahidi ambaye angetoa taswira njema kwa Ushindi wa Kafumu.
Kwani Bwana Magufuli, ambaye yeye ametajwa kwenye Kesi mara kadhaa; kwamba alikuwa akitoa Ahadi ambazo alikuwa akitoa
mbele ya Jukwaa..kwa hali hiyo Mgombea Wa Chadema anasema alikuwa anatoa Kama Nani? Waziri au mpiga Debe wa CCM?
Kwakweli Kesi imekaa patamu sana...kama Haki ikitendeka ...Basi Jimbo tutalajie kuwa Wazi katika Hukumu ya Leo..!!!
UPDATES
Magari ya polisi, gari la maji washa, naona ndo yanawasili hapa mahakamani, ila bado hatujaingia ndani ya ukumbi wa mahakama, pia watu bado si wengi sana.
MORE UPDATES:
Mahakama imemvua ubunge Dr. Kafumu!
Hahaha wee hunaga hoja Uko kama Slaa
Kwa mujibu wa Michuzi blog..Aliyekuwa mbunge wa Igunga kwa tiketi ya CCM Dk Dalaly Kafumu amebwagwa kwenye kesi ya kupinga ushindi wake wa kiti cha Ubunge cha Igunga kilichoachwa wazi na Rostam Aziz.Soma hii link hapa chini
MICHUZI: BREAKING NYUUZZZZZZZ........: Dk. Dalaly Kafumu avuliwa ubunge Igunga
Jimbo letu jingine hili. plus lile la arusha walilopospon.
jamani nguvu ya umma hua haishindwi hii mikijani sijui kwanini hua haielew.