Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Hii ni failure kubwa kwa Mwigulu Nchemba. Igunga ndiye alikuwa kinara wa kampeni sasa chali, Arumeru Mashariki alikuwa kinara wa kampeni nako alipigwa mweleka. Sasa CCM waangalie sana huyu jamaa, atazidi kuwapeleka kaburini mapema.
 
Kwa kweli nampongeza kwa uamuzi wake huo, na hivi ndivyo tunavyotakiwa kuwa, "tusiache mbachao..." kuna maisha pia nje ya siasa.


Inaonekana jamaa kama alilazimishwa kugombea hilo jimbo...sasa sijui CHICHIEM watamsimamisha nani?? hayo ndo matunda ya kuchakachua wagombea wanaokubalika na kuweka wanaowataka wao viongozi wa juu! na bado safari hii lazima wampigie magoti Bashe
 
Sorry mahakama zimejengwa na kodi zetu wala sio jk au CCM ilitoa pesa mfukoni mwao!

Lakini yote tisa, kumi nimesikitishwa na kitendo cha dalali wetu kufumuliwa!


Pro-Chadema bana kwa unafiki mara waseme hawana imani na mahakama za Tanzania, mahakama ikifanya kazi yake na mgombea wa Chadema akashinda wanashangilia, mahakama ikifanya kazi yake mgombea wa CCM akashinda wanasema Ikulu imeingilia maamuzi mahakama...mie naamini maamuzi ya mahakama na haki imetumika...pongezi kwa JK kwa kujenga mahakama zenye haki maamuzi ya mahakama yaheshimiwe pole sana Dr Kafumu, ndio siasa zina raha yake na machungu yake.
 
dats y nkasema icjekuwa mapicha picha!! but Hata Wakitupilia mbali Rufaa ya Lema still ARUSHA ni ngome ya WANAMAPINDUZI Chadema4changes


PEOPLEEEEEEEEEEEEE'S....................................
 
Aibu gani hii? Jamaa wanatumia rasilimali za wananchi kulazimishia uongozi. Heko mahakama. Yule Mh aliyefumaniwa na mke wa mtu wakati wa kampeni kapokeaje huu uamuzi!
 
Sasa Magufuli atakoma kuahidi madaraja kwenye kampeni za wengine!


Daraja mpaka leo hawajajenga zaidi ya braa braaa,

Baada ya uchaguzi waliwatosa kwa kutokuendelea kutoa mahindi ya Njaa, hali hiyo ya njaa bado inaendelea sijui watarudi na gea ipi safari hii, Pamba ndio kabisaaaaaaa ni kilio nyumba hadi nyumba, kijiji hadi kijiji, tarafa hadi Tarafa, Pamba wakati wa marudio ya uchaguzi walipandisha bei ikawa Tsh 1000-1200, Msimu huu wamekubaliana na wafanyabiashara wao makuwadi wa CCM wameshusha bei hadi Tsh 600, hapo napo wana Igunga wanasubiri kusikiliza somo toka kwa mwalimu kipofu na asiyesikia, Maji ....Mbutu na vijiji vya upande huo yalitoka wakati wa kampeni lakini uchaguzi ulipopita na maji yakawa yameenda Dodoma mpaka wa leo


MVUA NJOOOOOOOO KATERINA NJOOOOOOOO
 

Attachments

  • Photo0026.jpg
    Photo0026.jpg
    146.1 KB · Views: 92
  • Photo0031.jpg
    Photo0031.jpg
    161 KB · Views: 112
1. ccm kumwagia mwenzao tindikali huku wakisema pipoz power (ili ionekane ni CDM)
2. ccm kuchoma nyumba ya kada mwenzao na kuua zaidi ya kuku 10 na kuacha kimemo " sisi CDM tumechoma nyumba hii"
3.Kuvuliwa kilemba/ kupigwa na makamanda mkuu wa wilaya kwa kufanya kampen kinyemela
4.
 
HAKI IKO WAPI?
ikiwa HUKUMU ya kuhukumu juu ya TUHUMA zilizotolewa na CHADEMA kwamba UCHAGUZI MDOGO WA IGUNGA haukuwa HURU na wa HAKI hiyo hukumu si HUKUMU HURU na ya HAKI.
yaani kabla ya HUKUMU imeshajulikana nani atashinda KESI kwani HAKIMU alionyesha wazi yuko upande wa CHADEMA na ilikuwa haihitaji degree kuliona hilo na jambo la kushangaza zaid kuna muda HAKIMU aliigeuza MAHAKAMA kuwa jukwaa la KISIASA pale alipoanza KUHUTUBIA MAHAKAMANI mpaka baadhi ya wasikilizaji kumpigia MAKOFI pia alipokuwa akitumia KAULI ya kusema mimi naona na sio SHERIA inasemaje juu ya MALALAMIKO yote 16 lakini jambo lingine la kushangaza kabisa ni kwamba katika jumla ya MALALAMIKO ya CHADEMA 16 ni malalamiko 5 tu yaliyotolewa USHAHIDI na HAKIMU akaukubali kwamba USHAHIDI una nguvu MALALAMIKO 11 yote hakukubal... i USHAHIDI uliotolewa na upande wa WALALAMIKAJI, CHADEMA.
 
Kwa kweli chama CCM wanayo HAKI ya kutokukubaliana na HUKUMU ya KIJAHILI iliyo chupa MIPAKA YA KISHERIA na HAKIMU kutumia uwezo wake BINAFSI kufanya MAAMUZI YA KISHERIA.
nje ya hapo HAKIMU kwenye baadhi ya MALALAMIKO alipokuwa akiyatolea HUKUMU yalikuwa yanaUDHAIFU mkubwa sana na ninatamka mama yule kadanganya UMMA wote uliokuwepo eneo hilo na mimi nikiwemo pale alipokuwa akizungumzia kitendo cha IMAMU SWALEHE kuwaambia waumini wa kiislamu wasimpigie KURA mgombea wa CHADEMA kwasababu CHADEMA walimvua HIJABU mama wa kiislamu aliyekuwa MKUU WA WILAYA namnukuu HAKIMU alisema WAKATI WA SWALA YA IJUMAA imamu huyo aliwaambi waislamu wa igunga kauli tajwa hapo juu na maelezo yake ya nyuma huyo HAKIMU alisema IMAMU SWALEHE ndiye aliyeswalisha siku hiyo sasa kivipi MTU MMOJA aweze ndani ya wakati wa SWALA azungumze hali ya kuwa yeye ndiye anayeSWALISHA na kwa sheria ya UISLAMU hairuhusiwi kuzungumza wakati wa SWALA. KIMSINGI hakimu alionyesha UDHAIFU wa hali ya juu sana
HUKUMU ilyotolewa juu ya UCHAGUZI MDOGO WA IGUNGA HAIKUBALIKI
 
HAKI IKO WAPI?
ikiwa HUKUMU ya kuhukumu juu ya TUHUMA zilizotolewa na CHADEMA kwamba UCHAGUZI MDOGO WA IGUNGA haukuwa HURU na wa HAKI hiyo hukumu si HUKUMU HURU na ya HAKI.
yaani kabla ya HUKUMU imeshajulikana nani atashinda KESI kwani HAKIMU alionyesha wazi yuko upande wa CHADEMA na ilikuwa haihitaji degree kuliona hilo na jambo la kushangaza zaid kuna muda HAKIMU aliigeuza MAHAKAMA kuwa jukwaa la KISIASA pale alipoanza KUHUTUBIA MAHAKAMANI mpaka baadhi ya wasikilizaji kumpigia MAKOFI pia alipokuwa akitumia KAULI ya kusema mimi naona na sio SHERIA inasemaje juu ya MALALAMIKO yote 16 lakini jambo lingine la kushangaza kabisa ni kwamba katika jumla ya MALALAMIKO ya CHADEMA 16 ni malalamiko 5 tu yaliyotolewa USHAHIDI na HAKIMU akaukubali kwamba USHAHIDI una nguvu MALALAMIKO 11 yote hakukubal... i USHAHIDI uliotolewa na upande wa WALALAMIKAJI, CHADEMA.

aiseee....unasema?
 
jamani tayari kafumu si mbunge wa igunga tena!kashinje fanya mambo japo kwa muda mfupi!haki ya mtu haiibiwi inacheleweshwa tu!
 
Prof Safari hongera Baba!!!! Mahakama hongereni wazazi!!! That's what Patriots are for!!!
 
Unamshauri aliye fumuliwa?

Mimi ninakubaliana na Ritz kuwa mahakama imetenda/hutenda haki, tatizo ni kuwa pale inapoamua kwa upande wetu tunasifu mahakama lakini inapoamua in favour ya upande mwengine tunaanza kulalamika.

Hata hivyo ningemshauri Dk. Kafumu kukata rufaa kwani ni haki yake na haki ya mtu haipotei.
 
Last edited by a moderator:
Eti kuna Dingi la Sisiemu hapa linajaribu kunipiga Mkwara eti kazini hakuruhusiwi mambo ya siasa, kisa? Wameshindwa

na wewe kwa nini unaongea siasa kwa mdomo ofisini. Hebu angalia idadi ya post zangu humu JF, mimi hii ni ya 524 ungedhani ninasumbua sana kazini kwa mijadala ya siasa.

Lakini ukinijua ninakofanya kazi na ukauliza jina langu halafu uulize kama ninajua siasa au haya ninayoandika hakika watakueleza kuwa huyo jamaa hajui lolote katika dunia hii kwanza huwa haongei kabisa.

Ongea na keyboard bwana tena huku bosi wako akiwa pembeni yako. Hivi hujui siku hizi hakuna mwenye shida na hata kujua bosi ana mood gani, tunachat kwenye JF na mitandano wala hakuna anayewafuatilia.
 
Back
Top Bottom