Dr. Jakaya Mrisho Kikwete!

..tuseme "Dr" au Dr...........nyerere alikuwa na hizi honoraria takribani 30...nje watu walimuita dr...lakini alisisitiza na kubakia MWALIMU......

salim amesoma soma kwa kuunga darasani hadi akawa msomi..haswaa ...na pia anazo phd..za heshima karibu 15....mtanzania wa pili baada ya mwalimu kuwa na degree nyingi za heshima....

mkapa naye anazo degree za honoraria[phd]..takribani 5.......hapendi waka hataki kuitwa dr anyway

kikwete ana degree moja au mbili za phd[honoraria]....ametangazwa kuwa sasa tumuite dr..........

karume naye amepata degree moja ya heshima zile za marekani kama aliyopata ya kwanza kikwete....naye serikali ya mapinduzi ikatangazwa kwa mbwembwe aitwe dr karume....[juzi kikao cha nec hajaonekana]
 
Naamini Mkwere atakuwa na busara za kutosha za kuepuka mtego wa hao wanaojipendekeza kwake eg Chiligati.
 
Mr. Misifa. Mbona wenzenu hawapendikujitukuza? Nani anajua kwamba Condy Rice ni Prof na Dr. Vilevile? Hivi Mandela yeye ana hayo MaPhD mangapi? Huyu Chiligati anafuata yale mambo ya yule waziri wa habari wa Sadamu...anapalilia kibarua! What the heck
 
Mimi sioni Tatizo Mtu kuitwa Dr. Kikwete ama mtukufu/mheshimiwa. wala haitakuwa ni ya kudumu kwake. kuna marais wengi wa kiafrika wana/wametumia Dr. lakini hapa kwetu matumizi hiyo si sana. Hata Professor Lipumba ama Sarungi japo wametangulia kutwa maprofesa kabla ya kuwa rais pengine wakiwa rais basi majina ya uprofesa yataisha.
 
Dr. Kikwete, kwi kwi kwi kwi....,Dr. Karume, kwi kwi kwi kwi..... imekuwa nongwa. BA (Kikwete) mpaka PhD!. Form six (Karume) mpaka PhD! Ningekuwa mie ningamfokea Chiligati aache kujipendekeza. Kwani nani alimwambia Chiligati kuwa mkwere kupata PhD ya heshima ni sawa kwa maskini akipata ****** hulia mbwata!! Yaani Chiligati anataka kutuambia kuwa Rais wetu kupata udokta wa dezo ndiyo ujiko! dili! mitako ilie mbwata! ajitangaze kwa nguvu! yaani ni debe tupu haliachi kutika!, yaani hakuwa na uwezo wa kunyumbulisha bongo yake mwenyewe ili aukwae ndani ya darasa!! Hivyo sasa atambie hiyo ya kupewa!! Mawaziri wengine bwana, akili ya kufikiri ndooooooooogo.
 
...na kule jeshini alifikia cheo gani vile?

...hata hivyo sidhani kama atamfikia huyu; "His Excellency President for Life, Field Marshal Al Hadji Dr. Idi Amin, VC, DSO, MC, King of Scotland, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea, and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular".
 
attachment.php


Kwa vile sasa una nondo, basi solve paradox kubwa lililoko mbele yako ili kuleta maisha bora kwa wote.
 

Attachments

  • Kikwete.jpg
    Kikwete.jpg
    24.5 KB · Views: 129
attachment.php


Kwa vile sasa una nondo, basi solve paradox kubwa lililoko mbele yako ili kuleta maisha bora kwa wote.

Kwi kwi kwi, this is too difficult for the newly awarded Dr. Simply the equation please. The independent variables are too many! Kwi kwi kwi.
 
Kila nikiangalia picha Salma anampa busu lakini JK kaangalia pembeni kabisa kama vile anashangaa .Sasa najiuliza , aliona mtoto mwingine mbele yale ? Au hakuwa anaelewa kwa nini majoho yale maana hana cha kujivunia ? Maana nasoma picha najiuliza sipati majibu kabisa .Mwenye msaada wa kuisoma tena uke picha jamani .
 
Digrii za heshima zinatolewa sana na vyuo vya marekani kwa sababu zozote zile lakini kwa kawaida digrii hizi hazipewi uzito wowote academically, ingawa zinatolewa "together with all its rights and privileges." Angalia baadhi ya waliyowahi kupewa hizo digii za heshima kwa upande wa Marekani ujiulize wanavyozitumia:

Michael Jordan (mcheza basketball)
Arnold Schwarznegger (mcheza sinema)
Karen Hughes (msemaji wa Bush)
Oprah Winifrey (mtangazaji television)
Stephen Colbert (mchekeshaji)
 
Watanzania tunachukulia udoctor big deal. Clinton sijawahi kumsikia mtu anamwita Dr., Bush sijawahi kusikia mtu anamwita Dr. Hivyo hizo degree ni nzuri lakini watu wengi duniani hawajiiti ma doctor kwa degree za hivyo kwani si za kusoma. !!!!!!
 
...na kule jeshini alifikia cheo gani vile?

...hata hivyo sidhani kama atamfikia huyu; "His Excellency President for Life, Field Marshal Al Hadji Dr. Idi Amin, VC, DSO, MC, King of Scotland, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea, and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular".


(a) Nafiki Amini alikuwa anajitambulisha ifuatavyo:

" His Excellency President for Life, Field Marshall Al Hadji Doctor Idi Amin Dada, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea, and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular, Distinguished Service Order of the Military Cross, Victoria Cross and Professor of Geography."


(b) Speaking of Geography, nasikia kuwa Mzee Karume (muasisi mmojawapo wa taifa hili) alikuwa baharia, kwa hiyo alisafiri nchi nyingi sana hapa duniani kwa meli. Sasa siku moja akiwa anasimulia nchi alizowahi kufika, jamaa mmoja akamwambia mzee inaelekea unaijua sana Geography; mzee Karume akajibu haraka, ndiyo, hata kwenye hiyo bandari ya geography nilishafika.
 
Good sign to Mr.President Hopefully he will keep up with a good work so far he deserve it,I don't see how anyone can argue with this.
 
- Wakuu tunashusha heshima zetu kwa kukataa ukweli, hata kama hatuzikubali siasa za rais wetu, lakini sio ustaarabu kumkejeli hata katika tunu aliyotunukiwa na chuo kutoka taifa tofauti na la kwetu, ningeelewa kama angekua amepewa na chuo cha bongo, kwamba mkuu wa chuo anajaribu kujiweka sawa kisiasa,

- Hapa rais wetu wa jamhuri, amepewa shahada ya kuwa Doctor, sasa uamuzi ni wake kama anataka kuitwa Dr. Kikwete sawa kama hataki sawa, lakini uamuzi wake on this lazima uheshimiwe, kumrushia rushia maneno yasiyokuwa na heshima, sio ustaarabu mbele ya jamii ambayo tunajaribu kuikomboa na kuiamsha hapa JF,

I mean sometimes tunashindwa kueleweka na jamii wakuu kwamba exactly tunataka nini hasa? Kiongozi ametunukiwa shahada na taifa la kigeni, mwananchi wa Tanzania unaanza kumrushia kejeli weee ndio nini hasa wakuu? Kwamba mumeelimika sana au what? Acheni hizi jamani tutoe credit inapobidi, hatuzipendi sana baadhi ya siasa zake sio siri lakini sio hata kuukataa ukweli wa yeye kutunukiwa shahada.
 
EEheee Bwana Gembe , machale yananicheza!! hao jamaa sina imani nao.
So ndo wale wale wanataka ka-ardhi ketu na kutaka kuhamia huku na kupata uraia?
Sasa leo wanachombeza kwa mbali, aenda Mlingotini kuagua!!!



ahaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa hiyo wanampumbaza sio ahaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Bwana Field Marshall ES thank you for your article was well explained but just to add let's not think about the party when someone deserve credit let's give him credit no one is perfect guys as you can not take away from Zitto example let this people know we appreciate their hard work let's not treat people like fish guys.
 
Back
Top Bottom