Dr. Isack Ndodi mbona hasikiki?

Dr. Isack Ndodi mbona hasikiki?

Huyu ndodi alikua mchoma mkaa songea alikua akienda kulima mashamba vinyunguni leo hii kajifanya sijui mganga!namjua vizuri huyu ana watapeli watu tu.
 
jina lako tosha wewe una matatizo pole sana meningitis maana ya neno meningitis ni uti wa mgongo Meningitis ni uvimbi wa bongo.[SUP][1][/SUP] Kuvimba huku kunasababishwa na virusi, kazi kweli wewe.

Kiswahili kina uhaba mkubwa sana wa maneno. Inflammation of the meninges sidhani kama ni kuvimba kwa bongo...
 
Huyu ndodi alikua mchoma mkaa songea alikua akienda kulima mashamba vinyunguni leo hii kajifanya sijui mganga!namjua vizuri huyu ana watapeli watu tu.

kwa hiyo hama unamfahamu inamaana dawa zake fake acha dharau za kipumbavu amesaidia watanzania kibao sema wabongo mnadhara ngozi nyeusi...
 
jina lako tosha wewe una matatizo pole sana meningitis maana ya neno meningitis ni uti wa mgongo Meningitis ni uvimbi wa bongo.[SUP][1][/SUP] Kuvimba huku kunasababishwa na virusi, kazi kweli wewe.

mkuu kwa sisi ambao tumefaidika na ushauri wako hatuwezi kukubeza...unafanyakazi nzuri sana...
 
Siku hizi amelea kitambi! Mganga hajigangi.
 
Kwa nini wengi wanaojiita wataalamu wa Tiba mbadala ni wasabato wa elimu ya kichina kama mwinjilisti wao dk.Ndodi ?
 
mkuu kwa sisi ambao tumefaidika na ushauri wako hatuwezi kukubeza...unafanyakazi nzuri sana...
Asante Mkuu Wengine humu ndani wana wivu wa kijinga sana kama hujuwi dawa na tiba bora unyamaze kimya au pita na njia zako kuliko kuonyesha chuki zako kwa watu wengine hawakuhusu kabisa . Unataka upate Umaarufu kupitia juu ya migongo ya watu ehhh? Kazi kweli kweli chuki zake haziwezi kumfikisha popote zaidi ya kuangamia tu.
 
Usilete ubishi wa mpira Simba na Yanga tembelea bonyeza hapa.Meningitis - Wikipedia, kamusi elezo huru

Mkuu nilishakushauri tena kuwa sio kila kilichoandikwa (na wengine) kwenye mtandao unakichukua kama kilivyo. Meningitis sio kuvimba kwa ubongo sababu meninges sio ubongo bali ni membrane (hapo sijui Kiswahili chake) inayozunguka ubongo na spinal cord...
 
Nilikuwa namsikiliza sana 2008,alipoingiza tu mada za ufugaji kuku nikapeperuka.
 
Asante Mkuu Wengine humu ndani wana wivu wa kijinga sana kama hujuwi dawa na tiba bora unyamaze kimya au pita na njia zako kuliko kuonyesha chuki zako kwa watu wengine hawakuhusu kabisa . Unataka upate Umaarufu kupitia juu ya migongo ya watu ehhh? Kazi kweli kweli chuki zake haziwezi kumfikisha popote zaidi ya kuangamia tu.
mkuu anakukubali sana yaani nikisoma post zako ni madini ya tanzanite,mambo yakiwa sawa nitakutunuku ugold member kwa gharama zangu kuonyesha appreciation kuwa nakukubali
 
mkuu anakukubali sana yaani nikisoma post zako ni madini ya tanzanite,mambo yakiwa sawa nitakutunuku ugold member kwa gharama zangu kuonyesha appreciation kuwa nakukubali

Mimi nadhani ifike wakati watu kama MziziMkavu wenye mchango mkubwa kwenye jamii kupitia JF basi basi JF iwatambue kwa uzito wake....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom