Ninashukuru Mwenyeezi Mungu akulipe yaliyo mazuri na akulinde na matatizo ya dunia ubarikiwe ameen.mkuu anakukubali sana yaani nikisoma post zako ni madini ya tanzanite,mambo yakiwa sawa nitakutunuku ugold member kwa gharama zangu kuonyesha appreciation kuwa nakukubali
Mwenyeezi Mungu awabariki kwa tendo la kujuwa kuwa mchango wangu kwa watu unajulikana mimi pia munanitia moyo sana.Mimi nadhani ifike wakati watu kama MziziMkavu wenye mchango mkubwa kwenye jamii kupitia JF basi basi JF iwatambue kwa uzito wake....
jina lako tosha wewe una matatizo pole sana meningitis maana ya neno meningitis ni uti wa mgongo Meningitis ni uvimbi wa bongo.[SUP][1][/SUP] Kuvimba huku kunasababishwa na virusi, kazi kweli wewe.
Mkuu nilishakushauri tena kuwa sio kila kilichoandikwa (na wengine) kwenye mtandao unakichukua kama kilivyo. Meningitis sio kuvimba kwa ubongo sababu meninges sio ubongo bali ni membrane (hapo sijui Kiswahili chake) inayozunguka ubongo na spinal cord...
Ukiona kimya, jua kisha piga hela yakutosha
Tanzania kuna Ma-Daktari wa ukweli? Ikiwa kuna Ma-Daktari wa ukweli mbona wagonjwa wakiumwa wanapelekwa nchini India? Kama kweli kuna Ma-Daktari wa ukweli hapo nyumbani. umesha ona wapi Wagonjwa toka nchini India wameletwa hapo Tanzania kutibiwa? Kwa hiyo hapo nyumbani kwetu hakuna Ma-Daktari wa ukweli kuna Ma-Daktari Majina Matupu.Ngoja usajili wa madaktari ukamilike tuanze kudeal na hawa walaghai wa tiba mbadala
Ndodi anaongea huyu jamaa balaa, mimi huwa naona anaburudisha sana ila suala la tiba sina imani nalo
Mwizi, tapeli, mbambaishaji na mlaghai. Amepauka kama wenziwe, anajipanga kuingia na gea nyingine; watch out for part two!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nilimfuma cku pale Tai five hotel ambayo anatumia kama ofic yake akiwa mwanza.....jamaa anatwanga whisky vibaya sana,lakin ukifuatilia sana tiba unaweza kabisa kuacha kula