Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Unashangaa? Wenye akili walikuwa wanazikataa.... Akina Nyerere waliamua waitwe Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na kushimiwa sana.
Nyerere alikuwa akiona unajipendekeza sana kwake anakutolea mbavuni. Hakutaka kuitwa Dr..
Idd Amin alipewa Degree ya heshima ya Sheria na Chuo Kikuu Cha Makerere Uganda. Toka kwa Machawa wake. Ukikaa ukafikiria naye Idd Amin humwoni kama ana akili za kuwa hata na Degree moja toka chuo kinachojielewa. Ila akapewa PhD ya heshima ya Sheria.
Nyerere alikuwa akiona unajipendekeza sana kwake anakutolea mbavuni. Hakutaka kuitwa Dr..
Idd Amin alipewa Degree ya heshima ya Sheria na Chuo Kikuu Cha Makerere Uganda. Toka kwa Machawa wake. Ukikaa ukafikiria naye Idd Amin humwoni kama ana akili za kuwa hata na Degree moja toka chuo kinachojielewa. Ila akapewa PhD ya heshima ya Sheria.