Dr. Hildebrand Shayo

Acheni fikra za kimasikini kama za wakenya.Kiingereza ni cha waingereza siyo chetu.Mngesema huyo Dr hajui kabisa kiingereza au hiyo PhD yake ni ya lugha ya kiingereza labda ningewaelewa.Lakini hayo ya kufanya makosa ya kisarufi mimi sioni tatizo kwani lengo kuu la lugha yoyote ni mawasiliano.Sasa kama unaweza kuandika/kuongea lugha fulani na ujumbe ukaeleweka na hadhira yako,basi hakuna shida.Tujiulize hiki kiswahili ambacho ndiyo mother tongue hatukijui vizuri na huwa tunafanya makosa mengi tunapokitumia,sembuse kiingereza cha kujifunza ukubwani?
Labda mlete hoja-kwanini watanzania wengi hawajui walau kiingereza 'cha kuombea maji' wakati kiingereza ni lugha rasmi ya pili Tanzania?
 
Wakina Pundit,na sijui mavitu gani.

Acheni mambo za kijinga na wivu za kike. Mtuonyeshe ni kitu gani mlichoandika, au kazi mlizofanya zaidi ya kujadili watu? Shayo kawashindA, nyamazeni.

Ikiwa mna guts za kujadili watu, basi jukwaa liko wazi, jibizaneni na Gitau wa Daily Nation ya kenya. Mliokuwa mkiwasemea pumba ndio HERO's sasa. Kijana mdogo mliyemsema ndiye aliyeweza kuwachambua wakenya kushoto na kulia ilhali kazi yenu ni umbea tu.
Mwacheni Shayo. Ikiwa mnaipenda Tanzannia basi mkapigane na wana EPA au wakenya

Tumia kalamu na karatasi kumjibu Gitau kama una points sawa na mwana harakati.

Shayo anajaribu kuiamsha jamii ya kitanzania. Anajaribu kuwaamsheni nyinyi. Vizungu vya kukariri vitakusaidia nini? Mjomba J. Mashaka, kijana mdogo miaka 31, kasimama kidete kupambana na wakenya wakati nyinyi ni majungu tu. Si naye mlimsema sana humu?

Nyie pengine ni waosha vinywa vichovu au wahariri njaa wa bongo waliojaa majungu. Watu wasio na upeo wa aina yoyote zaidi ya ushirikina. Hawa siyo waandishi. Shayo ni mchumi, mashaka ni mwanasheria/banker kwa hiyo matatizo madogo yatakuwepo wanapoandika siyo sawa na nyinyi mnaokariri makamusi mchana kutwa heti kizungu kigumu? Tokeni hapa

Hapa ni uhuru wa kutoa mawazo bila kuvunja sheria. Kwa vile sijavunja sheria, kadhalika nina uhuru wa kuwasema kwa maana shuguli zenu ni kusema watu PUNDIT na surrogates!

vizungu vyao ni vya kisomi siyo vya kukariri toka kwenye makamuzi. mipangilio yao unaiweza wewe? Makala ya Shayo wewe unaweza kuyaandika? Nendeni zenu nyie vijidudu vya pori
 
Pundit mimi nakuhitaji "one on one" kizungu sawa, kiswahili nimo, lakini tutakuwa tunaongea mada siyo usengenyaji na dhihaka wakati hauna cha kuchangia. Au kama ni surrogates wako, waje nao. One on one. Msifanye hii forum kuwa sehemu ya uchafu. Tunataka mazingira mazuri kujadili mambo yenye maana kwa taifa letu !
 
CHINGAmzalendo,or whatever,u need to get a life.Random expletive comments are the first signs of a mortal heading towards permanent irreversable insanity.this 'one on one'thing you are advocating is usually preserved for people of the calibre of LOSERS in each and every aspect of life including the domestic front.hopefully thy medulla has dissected and comprehended all this.
with utmost kind regards,i will be back
 
Tukubali ama tusikubali Material matters. Kwa wale ambao kipindi cha kama miaka 4 iliyopita ambao walikuwa kwenye sekta ya utalii watakuwa mashahidi. English amabayo hawa tuwaitao tour guides waliyokuwa wanaongea, ni balaa tupu. Kwa mwelewa wa lugha hii na bahati mbaya ukawa ni mtanzania basi utavunjika mbavu! mfano unaweza msikia mtu akijitambulisha kwa mgeni (naomba maguides mnisamehe) "Your may name is Juma and you?" ama anamwambia mgeni " this is elephant toilet" unashangaa ana maana gani huyu! lakini kwa wenzetu wazungu hawako kwenye grammer tunazosema sisi bali wamelenga zaidi kuwa unataka kusema nini hapa. Then wanapata wakitakacho wanaendela mbele. Hata wao wageni huwa wanakosea tu kiswahili chetu. Wakati fulani niliwahi kuwaambia watu fulani kuwa wanajua kiingereza sana ila wana uoga wa kukiongea ndio maana wanakuwa bubu. Walipoanza kuvunjavunja hiyo lugha sasa wanaongea as if wako kwa malkia. Pia kuna tofauti ya kiinglishi cha kuandika na kuongea. Hata kiswahili, tulipokuwa huko kijijini tulikuwa tunawahara sana waliotoka mjini kuwa wanajua kiswahili, lakini njoo kwenye kuandika hicho kiswahili! Hawakuwa wanaona ndani, tuliwaacha mbali sana. Final MATERIAL MATTER THAN ALL THAT

Thanks buddy for this useful post...
kwani what should be considered important? verbosity or substance?
Inanikumbusha mwalimu wangu wa kijerumani... he was very knowledgable in the subject ila lugha ya kiingereza ilikuwa a challenge kwake... all the same he could communicate very well na tulimwelewa vizuri tu. Iweje tunaona ni jambo la ajabu kwa mtaalam mtanzania kuvunja grammar? lets be more objective tuenzi vyetu badala ya kuviponda.Wanaoponda vyao hawana tofauti na mtoto asiye na shukrani kwa wazazi wake mwenye kukebehi kwao na kusifia kwa jirani mara zote! kwako ni kwako tu hata kama ni kubaya.
 
CHINGAmzalendo,or whatever,u need to get a life.Random expletive comments are the first signs of a mortal heading towards permanent irreversable insanity.this 'one on one'thing you are advocating is usually preserved for people of the calibre of LOSERS in each and every aspect of life including the domestic front.hopefully thy medulla has dissected and comprehended all this.
with utmost kind regards,i will be back

CRAP of ALASKA !You seem to be a windbag blowing in a wrong direction; We are living in a different sphere where logic rules. Your sentence layout has revealed your level of exposure and know how. As such, I cannot prolong this debate, because I may end up debating with myself. You simply have nothing constructive to share. Leave Dr. Shayo alone
 
Thanks buddy for this useful post...
kwani what should be considered important? verbosity or substance?
Inanikumbusha mwalimu wangu wa kijerumani... he was very knowledgable in the subject ila lugha ya kiingereza ilikuwa a challenge kwake... all the same he could communicate very well na tulimwelewa vizuri tu. Iweje tunaona ni jambo la ajabu kwa mtaalam mtanzania kuvunja grammar? lets be more objective tuenzi vyetu badala ya kuviponda.Wanaoponda vyao hawana tofauti na mtoto asiye na shukrani kwa wazazi wake mwenye kukebehi kwao na kusifia kwa jirani mara zote! kwako ni kwako tu hata kama ni kubaya.

Mkuu, uko sahihi kabisa.

Watanzania ndivyo tulivyo, kuthamini na kupapatikia vya wageni (wazungu)..!
Lini tutajenga hulka ya kuwathamini na kuwaenzi wasomi wetu?

Kingereza kitu gani....?!
 
KICHUGUU,no one has doubted Dr H Shayo academic merits,what we are emphasising is,on attainment of that level and one who constantly interacts with students either by the written or spoken word,half baked grammer raises grounds for concern of one's qualifications.

My friend, English is a very difficulty language. No body can claim to have a 100% mastery of this language, not even the Queen! Nimesoma na wazungu, waingereza, nilikuwa nawasahihisha punctuation, gramma, n.k., na wao vilevile walikuwa wananisahihisha.

Ni ushamba na ushambenga ku-doubt academic qualification ya mtu kwa sababu ya kukosea gramma, huo ni ushamba wa kutisha!
 
My friend, English is a very difficulty language. No body can claim to have a 100% mastery of this language, not even the Queen! Nimesoma na wazungu, waingereza, nilikuwa nawasahihisha punctuation, gramma, n.k., na wao vilevile walikuwa wananisahihisha.

Ni ushamba na ushambenga ku-doubt academic qualification ya mtu kwa sababu ya kukosea gramma, huo ni ushamba wa kutisha!

Ndio nini hiyo...? Lol
 
CHINGAmzalendo,or whatever,u need to get a life.Random expletive comments are the first signs of a mortal heading towards permanent irreversable insanity.this 'one on one'thing you are advocating is usually preserved for people of the calibre of LOSERS in each and every aspect of life including the domestic front.hopefully thy medulla has dissected and comprehended all this.
with utmost kind regards,i will be back

Teh teh teh...Kiinglish kigumu kama cha Oxford!Hapo hata Prof David Crystal atalazimika kuwa na dictionary pembeni.

Jokes aside,experience inaonyesha kuwa mara nyingi doubting Thomases wa elimu ni walewale ambao shule yao nayo ni ya utata mtupu.Hawa ni watu wanaotumia muda mrefu kuandika kitu kifupi kwa vile huhangaika wawezavyo kuchomekea "mabombastiki".
 
One of the greatest crimes commited by British colonialists/imperialists was to make Africans believe in this conjecture: English = Intellegence

And one of the greatest crimes commited by Tanzanian elites/bourgeosies was to make Tanzanians believe in this corrolary: Kiswahili = Mediocrity
 
KICHUGUU,no one has doubted Dr H Shayo academic merits,what we are emphasising is,on attainment of that level and one who constantly interacts with students either by the written or spoken word,half baked grammer raises grounds for concern of one's qualifications.

Since you have nice grammar , more than Dr. Shayo, Can you analyse please whose fault is this?? Dr. Shayo, System? or ??

If you think Dr. Shayo has those problems, can you assure us other professor and PhD holders in our universities they dont have the same problem???

If you will agree or come to the point that you realise the problem is not him alone?? dont you think you are one of those person that they look things in one dimension??? In other words narrowed mind or views?

Your views is local and not global, global view is always discussing the source of problem, and remedy the root cause.

I think is high time for all of us to think about our language of instruction from childhood, since is the only stage that some one may understand and use english easily and very well.

Ghana,Botswana and many countries in western Africa, they are using english from their early education,they do study their local languages as subject up to their higher education.

Why do we have international schools?? whose children are studying there?? why???


Last the issue of language is very complicated never trust your grammar and thinks every one can accept ,grammar is changing from one place to another! even britain ,canadian, usa, still they differ in so many words

Perhaps my grammar in this very post is also poor, well I am learning....since is my third language

waberoya
 
Tanzania businesses in forthcoming recession!

Shayo.jpg
By Dr. Hildebrand Shayo

The warning, caution and confidence issued by Profesa Benno Ndulu, the Governor of the Bank of Tanzania that the Tanzania's economic remain strong and is likely not to be pretentious by the global financial downturn sent waves through my mind that triggered me to suggest steps that Professor Ndulu overlooked in his analysis, that could help the Tanzanian business recover from the financial gloom terrorising the world financial market.

Although the waters are still turbulent, this is now the time for renowned and professional individuals like Professor Ndulu not to undermine Tanzanian by not telling them the reality.

While the normal way of reducing risk in a portfolio during a slump is by diversifying, certain assets tend to do better than others at different parts of the economic cycle. What the world is experiencing is a de-leveraging, where all asset classes are falling in value and will continue to fall in the next two years. No doubt the world is going through a period where shares, property, fixed interest and even commodities will go down.

That said, despite slowing global economic activity and the impending recession that Professor Ndulu seem not to put into his equation, it is not all doom and gloom for business and especially for those with a long-term approach.
I would like to remind Professor Ndulu that what he needs to remember is that market volatility and the indiscriminate selling the world financial sector is witnessing or has witnessed in the past few weeks will create opportunities to pick up bargains.

I would have thought Professor Ndulu would have coded among others, things like the need for business to consider diversifying their portfolio.

While there's no escaping the fact that it's not going to be plain sailing from on-going global financial turmoil’s, and that all equity portfolios will get rocked by further short-term volatility, he should have assured business with well-insulated portfolios that those with long and proven track records will be able to overcome the slump. He should also have tried to advice the business to look to professional managers who could help them benefit through the cycle.

Stating that Tanzania financial position is fine wasn’t enough, he should have reconsidered what happened to Iceland bank were UK government is struggling to recover its money invested by its business. To state that Tanzania banks are well-positioned for the slump and that Tanzania money in the foreign account is safe and is enough to allow “business as usual” isn’t correct, because Tanzania is not an island! Is Professor Ndulu aware on what Kenya stock market is facing following global financial downturn?

Professor Ndulu should have seen the need for corporate debt that seems not to feature in his statement. To me, corporate debt is one of the first investments to recover in a slump, and many bond experts are beginning to call the bottom of the market for this sector. At the moment, yields are likely to be attractive, because interest rates and inflation will or are expected to fall which is a fantastic backdrop for any finance executive.

In any slump, there are traditional areas which are viewed as immune or defensive such as pharmaceuticals stocks and healthcare company; along with utility providers. People need medicine and power, irrespective of economic conditions. I do understand that tobacco and liquor companies that Tanzania has been using as a “model of success” following privatisation, also tend to flourish under the spectre of a protracted recession.

Nothing regarding our gold reserve was mentioned in his statement! Gold
at times of financial crisis, is looked upon as a safe haven for distressed investors rocked by faIling share prices. In the current extraordinary circumstances, Professor Ndulu should have told Tanzanians where this asset class is going or taking Tanzania?

My view is that gold is a long-term story underpinned with supply and demand drivers that he might deliberately omitted in his statement. Does Professor Ndulu recognize that gold price has been rocky in the current crisis? Last year the gold price was $667 an ounce and it rose to a peak of more than $1000 on March 17th 2008. As price now remains choppy, what is the position of Tanzania that is said to produce a lot of this precious metal among gold producer in the world?

While I am not sure if BOT, that Professor Ndulu is the Governor will bail out private owned banks in Tanzania or nationalise part of them, make me speculate what a business need to do in Tanzanian context ?

I think, business needs to be careful not to be too defensive in the current slump. In a way, looking at a cynical portfolio after values have already fallen is a bit like locking the stable door after the elephant has already bolted.

To the business I think, it's important not to lose sight of your long-term objective, try and have the asset mix which is most likely to give the return you are looking for. If as a business you are too defensive now, you will risk missing the upturn when it happens.

Professor Ndulu should have encouraged the business to seek additional sources of diversification, encourage them the focus on investments with high earning visibility and supportive valuations. Telling us that daily interbank cash market in Tanzania was doing well and BOT is watching exchange rate movement is not enough! We need measures on how to help business to cope with financial downturn.
______________
 
sasa tunamsubiri mnjanja wake bwana JOHN MASHAKA aingine

Nyie mnasema nini, Joni Mashaka akiingia unadhani Shayo atakuwa na la Kusema. Nakumbuka malumbano yake na Shayo yalivyofana, yaani alimchambua Shayo kama mtoto mdogo ,kiasi cha kumdhalilisha vile.

Ila Shayo pia siyo utani

Nadhani kwa wale waliosoma blogu ya michuzi hii wiki,Gitau Warigi pia kampasua katikati. kwa hiyo hapa sidhani kuna ubishi kwamba hawa wawili wanaweza kujadiliana. Mashaka, mimi nilimuona pale mnazi mmoja mwezi September akiwa na Kamanda kova ni mtoto mdogo sana, nadhani ni kati ya 28 hadi 30 hapo hajavuka huo umri. ila ni mtataribu sana
 
Hawa watu (Sahyo na John Mashaka) mimi wananichekesha tu.....I can't help not taking them seriously....
 
Back
Top Bottom