Huyu ni sawa na dogo wa CLOUDS anayedai heti wanaotafuta ajira hawajiongezi,hivi yeye akifukuzwa clouds anao uwezo wa kijiajiri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hapo CLOUDS atakuwa ni kibarua tu, wengi hapo hawana mikatabaHuyu ni sawa na dogo wa CLOUDS anayedai heti wanaotafuta ajira hawajiongezi,hivi yeye akifukuzwa clouds anao uwezo wa kijiajiri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aoneshe mfanohajielewi huyo kigwangwala kama kujiajiri ni rahisi hivyo basi aachie uwaziri na ubunge ili akajiajili ajionee mwenyewe
Si Kigwangalla si wewe hakuna kati yenu anajua kinacho endelea kuhusu ule usaili bali wote mmeongozwa na upepo tuu baada ya kuona picha..... Tatizo la ajira halijaanza leo na hao wanao onekana kwenye hiyo picha hiyo huwa wanakuwepo kila usaiili..kwa hiyo hilo si jambo jipya...Jamani wanaJF,
Kiukweli kati ya viongozi ambao sijawahi kumwelewa ni huyu anayejiita khamis Kigwangalla ,ni aina ya mwanasiasa anayependa kuishi kama celebrity na kujaribu kuwahadaa na kuwadanganya watu kwa falsafa zake ambazo hata yeye haziamini.
- Leo eti anashangaa vijana wengi kwenda kwenye usaili wa TRA ??
- Yaani baada ya utumishi kuwatesa watu kwa kuwatoa mbali huko kama KIGOMA na kuja kwenye usaili hapa Dar yeye hata hajui kama TATIZO LA AJIRA ni ZITO NCHI HII, sijui alipochukua fomu ya urais alimaanisha nini kama hata MATATIZO YA VIJANA hayajui ?
- Umeshindwa kuwasaidia hata vijana wanaohitimu vyuo vya afya kupata vyeti vya NACTE umebaki na DRAMA na DHIHAKA tu kwa vijana wa taifa hili wanaoteseka na JINAMIZI LA UKOSEFU WA AJIRA.
- Unaambiwa vijana wajiajiri, watajiajiri vipi wakati hawapewi TAX HOLIDAYS wala GRACE PERIODS. Gharama za usajili wa Makampuni kwa fresh graduates ni kubwa, hakuna benki inawaamini hata kwa mikopo, unataka wajiajiri vipi, wawe MACHINGA ili muwapige MABOMU ?
Ha haa haaaa " America has the worst health system ever" ndo Hamisi huyu......Siamini kama huwa anaelewa anachozungumza
You Said itSi ajabu wakati anaandika alikua anakunywa wine na kipande cha kuku
sasa unaruhusiwa kufyatua namba mbiliIndia kuna masikini klk Tanzania, China wameweka one child policy tangu miaka ya 70' yaani hauruhusiwi kuwa na mtoto zaidi ya mmoja!
Hapa tunazungumzia NDOTO, DESTINY na FUTURE za VIJANA wa taifa hili. Masuala ya uchaguzi yana mambo mengi, kuna watu wanachaguliwa kwa MIHEMKO tu wala hawajawahi kuwa na msaada kwa taifa hiliSasa si mmewachagua wenyewe na mtawachagua tena tulieni dawa iiingie...hakuna haja ya kumkandia kigwa...anasema ukweli tuache uvivu na kutegemea ajira pekee tubuni mbinu naimani kwenye wasomi hakikosekani kitu
Hakuna kiongozi mwenye MIKAKATI yoyote ya kuwaokoa VIJANA wa Taifa hili. Zilizopo ni SIASA na POROJO hakuna msaada wowote, ukisema uwe MACHINGA unapigwa mabomu
Hapo umedanganya mkuu one child policy siku hizi haipo!! inaonyesha ulikariri ukiwa shule yamsingi wewe!! Usikae umumba tu, fwatilia na mambo nje!!India kuna masikini klk Tanzania, China wameweka one child policy tangu miaka ya 70' yaani hauruhusiwi kuwa na mtoto zaidi ya mmoja!