Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
acha ukabila......Unakera sana.... kama wazee wako waliishia kucheza kamali nyuma ya darasa hawakusoma pole yako.... FYI watu wa nyanda za juu kaskazini, kaskazin magharibi na kusin magharibi ni wasomi kwa asilimia kubwa
Na ndiyo hapo hoja ilipo ni kweli kuna wasomi wengi tu MB, IR, TB, KG,MZ n.k lkn kwanini hawana vyeo ukawa ingawaje si ajabu wanachama wengi wa ukawa wako MB, kwa Sugu, na Mikoa mingine na wanafanywa misukule tu na kutumiwa na maKLM elite kama karatasi choo halafu wanatupwa!