Google Jessica kikumbi na akaro . Case closed
Aliyehama ccm ni hawa. Kwanini kumhamishia majeshi jessica? Kila mtu ana issues.
Google Jessica kikumbi na akaro . Case closed
Kuna wakati watu mnaonyesha upumbavu uliokisiri. Sasa mtu akihama ccm mnasema kakimbia kufungwa na Magufuli, kwa hiyo wezi watafungwa wale walio ndani ya ccm ila ukihama chama huwezi kukugusa?Fisadi hilo amekimbia aibu ya kufungwa na maghufuli
Lowasa anamhitaji kwenye kitengo cha sheria. Tundu Lisu ajipange. #CHADEMAMPYA hana nafasi. Huyu mama alimsaidia sana kwenye Richmond.Na Dr Sinare ana cheo gani UKAWA/CHADEMA?
Ni jambo jema japo simfahamu
She is a lawyer wa Tanesco / Richmond scandal .Wewe pigs kura bila akili
Fisadi hilo amekimbia aibu ya kufungwa na maghufuli
Lowasa anamhitaji kwenye kitengo cha sheria. Tundu Lisu ajipange. #CHADEMAMPYA hana nafasi. Huyu mama alimsaidia sana kwenye Richmond.
,jefisadi hilo amekimbia aibu ya kufungwa na maghufuli
Mwandosya hawezi kuhama kwa kuwa anajua wazi hata kama akihama hana chake mbele ya KLM Elite ni bora hata CCM watampeleka kumtibu India, huko UKAWA ni KLM tu si unasikia majina yenyewe Sinare huyo ni KLM elite moja kwa moja!
Taja watatu wasafi.
Eve ndo nani kwanza? Atupishe na asafiri salama kwenda upande wa pili kwanza ndo namwona Leo.
Lowasa anamhitaji kwenye kitengo cha sheria. Tundu Lisu ajipange. #CHADEMAMPYA hana nafasi. Huyu mama alimsaidia sana kwenye Richmond.
She is a lawyer wa Tanesco / Richmond scandal .Wewe pigs kura bila akili
Lawyer and girlfriend wa lowassa Richmond caseKuna wakati watu mnaonyesha upumbavu uliokisiri. Sasa mtu akihama ccm mnasema kakimbia kufungwa na Magufuli, kwa hiyo wezi watafungwa wale walio ndani ya ccm ila ukihama chama huwezi kukugusa?
Logic ya kijinga kweli ambayo hata mgombea wenu naye kuingia kichwa kichwa kuitumia eti mafisadi wananikimbia
Siyo mwanasheria wa tanesco.
Sinare huyo ni moja kwa moja mtu wa KLM elite sasa cha ajabu nini si anaungana na akina Kishimba, Nkya, Mbatia &CO.!
Yeye ni sawa kwa maana siyo msukule, shida inabakia kwenu manyumbu wa kutoka Mbeya, Iringa sijui Mwanza au Geita mnashabikia ukawa huko ninyi mnatumiwa kama misukule tu ya kuandamana kupigwa na Polisi lkn cheo ndani ya UKAWA sahauni!
Siyo mwanasheria wa tanesco.
Richmond lini ilipelekwa Mahakamani