Dr. Eve Hawa Sinare atangaza Kuhama CCM

Dr. Eve Hawa Sinare atangaza Kuhama CCM

Kwani anajali nini si anaenda Upinzani? tatizo liko wapi? Kama kweli ana dhamira ya kweli hilo wala haliwezi kumzuia kwa maana hana cha kupoteza na kama ana uhakika fisadi Lowasa atakuwa Raisi kwa nini awe na wasi wasi na rekodi yake? Si atakuwa sehemu ya serikali mpya?

Tatizo nyie ccm mmezoea kupiga dil, kufuja mali za umma,
Kujitajirisha.

Mwandosya anastaafu utumishi wa umma, umri haumruhusu kuendelea, hata kama upinzani utashinda.
 
Misukule yote huongea hivyo ila Uongozi ndani ya chadema sahau utaishia kufanywa chambo tu kama misukule wenzako waliolemazwa baada ya kushawishiwa na KLM elite kuandamana na kubeba spika tu za matangazo!
Wee si mzima kiakili!
 
Je, huyu ni nani kwenye siasa tulizo nazo...?
Je, aliisha wahi hata kugombea udiwani tu au serikali ya mtaa wake...?
ili walau tumpime kama ana ushawishi (Orator) au mnatuletea watu
kwa tittle za darasani mkidhani watafua dafu kwenye siasa za kibongo...?

Ndugu elewa kuwa huyu ni mmoja wa wapanga mikakati ya ushindi wa CCM ikiwa ni pamoja na mbinu za wizi mnazopanga, hivyo kwa kuondoka kwake na kuingia UKAWA ni wazi kabisa anakuja na majibu ya nini CCM wamepanga juu ya wizi wa kura na hapo UKAWA watajipanga kuzima wizi huo.
 
Akiongea na waandishi wa habari jioni hii kada wa muda mrefu mpanga Sera na mikakati wa CCM na mshauri wa chama Dr Eve Hawa Sinare ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na Ukawa. Huyu ni mtu muhimu sana kwa CCM na msomi aliyekuwa anashauri mikakati ya ushindi kwa JK katika chaguzi zilizopita.

Huyu Dr Njaa sijawai kumsikia
 
Naamin mwandosya hawezi kukosa busara akajiunga ukawa hao wengine wanafahamika ni maslahi zaidi
 
Kosa La mbowe kumuuzia mgonjwa chama

Tulieni nyie mafisadi ccm...nyota ya lowasa ni level nyingine. Tunahitaji kura laki sita a7 saba tu hapo mwanza tumalize kuichinjia ccm mbali. Hata wakimbeba maguful mgongoni hawez kush8ndaaa...trust me. Kwanza tangu lini ukawa waliwahi kuingia ikulu hadi useme hawawez kuingia tena ikulu? Au umejisemea wew na ccm yenu kwamba hamrudi tena ikulu? Mmejitabiria kifoo!?
 
Ndugu elewa kuwa huyu ni mmoja wa wapanga mikakati ya ushindi wa CCM ikiwa ni pamoja na mbinu za wizi mnazopanga, hivyo kwa kuondoka kwake na kuingia UKAWA ni wazi kabisa anakuja na majibu ya nini CCM wamepanga juu ya wizi wa kura na hapo UKAWA watajipanga kuzima wizi huo.

ha ha ha ha
 
Mtasingizia mambo yote mwaka huu,lazima ccm ikimbie nchi.
Hamna hata huruma na watanzania nyie ccm.Miaka 54 ya uhuru hata choo cha shule ni mpaka msaidiwe na watu wa marekani

Kweli mafisiem ni laana kwa taifa!
 
Sasa kama kwa Dr Sinare unasema nisubiri nione, kwa nini akina Kingunge na Mwapachu nisisubiri pia?

Jibu ni rahisi tu na Kingunge na Mwapachu ni Misukule inayotumiwa kama kiatu na kutupwa kikishachakaa wakati Sinare ni sehemu ya KLM elite!
 
Back
Top Bottom