Invisble275
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 982
- 1,166
Sinare huyo ni moja kwa moja mtu wa KLM elite sasa cha ajabu nini si anaungana na akina Kishimba, Nkya, Mbatia &CO.!
Yeye ni sawa kwa maana siyo msukule, shida inabakia kwenu manyumbu wa kutoka Mbeya, Iringa sijui Mwanza au Geita mnashabikia ukawa huko ninyi mnatumiwa kama misukule tu ya kuandamana kupigwa na Polisi lkn cheo ndani ya UKAWA sahauni!
Wewe bado unakaa enzi za ujima (old stone age).
Tukusamehe tu siyo kosa lako. Yawekana you were raised by a single mother.
Kwa uzoefu wangu unaonyesha kuwa, watu wengi waliopata malezi ya mzazi mmoja tu ndio wenye ufahamu kama huu wako.