Dr Bahati Kaluwa katutoka

Dr Bahati Kaluwa katutoka

Poleni wafiwa na wana JF... njia hiyo sote tutapita, Baada ya kutanguliza matendo yetu hapa Duniani.
stay in peace Dr.
 
RIP Dr. Bahati ....na poleni sana wafiwa
 
Mkuu lets be serious kidogo kwenye serious matters... you dont need to comment in every thread (if you dont know him - huna haja ya picha!!!)

You make me sick!!
mkuu nilikuwa nataka picha ili nijue kama namfahamu,nashukuru nimeiona mdau mmoja kaiweka
 
pole kwa familia, mungu awape faraja kwenye kipindi hiki kigumu! rest in peace dr!
 
mkuu nilikuwa nataka picha ili nijue kama namfahamu,nashukuru nimeiona mdau mmoja kaiweka
Kamanda, ukiweza kuaccess jf, unaweza kuaccess google, facebook, etc.

tuache hizi senseless points wakati mwingine

if you only knew the type of a person we are mourning for here, wala usingeomba picha, ungefanya homework yako

RIP bahati, the cool dr, friend, brother, father and a husband
 
Alikuwa anafanya Phd Germany aliporudi likizo mwka jana dec akanza kuumwa ndo ikajulikana anaumwa Kansa ya MAPAFU, ametibiwa india for 6mnth at last ametutoka Dr.

Oohh masikin
 
Back
Top Bottom