Dr Bahati Kaluwa katutoka

Dr Bahati Kaluwa katutoka

mpepo

Senior Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
106
Reaction score
73
Dr(MD) Bahati Kaluwa ambaye alikuwa ni mwana jf mwenzetu amefariki usiku wa leo, nawapa pole mkewe Dr Grece familia yake pamoja na familia ya ma Doctor kwa msiba huu. Yeye katangulia na sisi tutafuata.
 
R.I.P Dokta Bahati..
Poleni wafiwa.
 
Rip dr kaluwa,Mungu awape faraja na uvumilivu familia ya marehemu
 
Dr(MD) Bahati Kaluwa ambaye alikuwa ni mwana jf mwenzetu amefariki usiku wa leo, nawapa pole mkewe Dr Grece familia yake pamoja na familia ya ma Doctor kwa msiba huu. Yeye katangulia na sisi tutafuata.


Pole kwa wafiwa wote
 
RIP Dr. na Poleni sana wafiwa. Kama una taarifa zaid elezea msiba upo ili kama kuna wanajamii waliokaribu watuwakilishe.
 
Dr(MD) Bahati Kaluwa ambaye alikuwa ni mwana jf mwenzetu amefariki usiku wa leo, nawapa pole mkewe Dr Grece familia yake pamoja na familia ya ma Doctor kwa msiba huu. Yeye katangulia na sisi tutafuata.
Poleni sana. Nini sababu ya kifo chake?
 
RIP Dr Bahati msalaba mbele,dunia nyuma

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
RIP DR BAHATI poleni sana wanajamvi kwa kumpoteza mwenzetu.
 
Back
Top Bottom