wagagagigikoko
Senior Member
- Dec 5, 2010
- 163
- 49
Chuo kikuu cha dar es salaam kimempoteza mhadhili wake mahili dr ndibalema. Msemaji wa familia amesema kifo chake kimetokana na mshituko wa moyo ( presha). Mungu aiweke mahali pema peponi roho ya marehemu ndibalema amini!!