Kwa kweli imeniuma sana, sema tu ndo hivyo Mungu ameamua kumchukua, nakumbuka kwenye lecture zake pale nkrumah hall. Ni mwalimu pekee ambaye zaidi ya miaka minne toka nimalize pale, mpaka leo nakumbuka somo lake kwa sababu alikuwa anatumia mifano halisi, yaani kwa kweli tulikuwa tunacheka sana.
R. I. P dr
R. I. P dr