'Dr' Aisha Kigoda

Wadau msipige kelele, leteni authority na criteria hapa na siyo porojo.

Mtake msitake Aisha ni Daktari Msaidizi kwa kiingereza ni Assistant Medical Officer, na anaitwa Daktari kwa mujibu wa mamlaka zote na amesajiliwa na kupewa leseni.




You have said all!! JF sasa inageuka kuwa forum ya personal attacks.

Mnozya,
Hii ni public forum, na kwa kuzingatia definition ya majungu, humu hamna majungu kwa kuwa Aisha kigoda hajazuiwa kuingia na kuangalia pamoja na kushiriki mijadala.
Na kwa ushauri si busara kuita watu malimbukeni publickly hata kama ungekuwa unamjua unayejadiliana nae. kwani ni daalili ya kukosa uvumilivu(tolerance).
Argue without insulting, hapo ndo tutakuwa tunajenga, toa vielelezo vya kutosha na shawishi watu. Tofauti na hapo mantiki nzima ya hii forum inakuwa compromised!
 
Inakera sana.,wengine wanasotea hiyo prefix madarasani wakati wengine wanaamka tu na kujiita Dr/Prof! Ndio maana wasomi wetu hawapewi heshima inayostahili kwa sababu ya vihiyo wachahe!
 
Inakera sana.,wengine wanasotea hiyo prefix madarasani wakati wengine wanaamka tu na kujiita Dr/Prof! Ndio maana wasomi wetu hawapewi heshima inayostahili kwa sababu ya vihiyo wachahe!

Datas........

3. JOB DESCRIPTION​
Job Title​
: Assistant Medical Officer

Job Summary​
:
The Assistant Medical Officer is a health personnel who has undergone a two year training
course. Based on the fact that this health personnel has worked as a Clinical Officer for at
least three years, he/she should have adequate professional skills and competence in the
provision of health care services. The AMO should therefore be able to promote and provide
curative, training and preventive services to the community .

Specific Duties​
:
The AMO should be able to perform the following specific duties:
A. ln the District, should be able to:

•​
Supervise the implementation of Primary Health Care programs.

•​
Participate effectively in the district health team.

•​
Attend District planning committees.

•​
Attend any other meetings which promote health care.

•​
Supervise peripheral health workers.

•​
Arrange and conduct refresher course for other health workers in order to
improve their skills.

•​
Oversee the ordering of drugs, equipment and other supplies required by
health
units.
B. Within the district hospitals, they may take full responsibility for:

•​
All aspects of patients care, including emergency surgery and obstetrics

•​
Organizing and supervising the running of out - patient department

•​
Perform ward rounds

•​
Management of financial affairs in the absence of the D.M.O.
C. Within Clinical Officers Training Institutions they may undertake duties of teaching
and supervising students

D: They may be assigned to perform other duties as required by the respective authority
 
Wabongo kwa kupenda ujiko aende mbu wakamuume then apatae hiyo title kama Mh. Magufuli.
 
Datas........

3. JOB DESCRIPTION​
Job Title​
: Assistant Medical Officer

Job Summary​
:
The Assistant Medical Officer is a health personnel who has undergone a two year training
course. Based on the fact that this health personnel has worked as a Clinical Officer for at
least three years, he/she should have adequate professional skills and competence in the
provision of health care services. The AMO should therefore be able to promote and provide
curative, training and preventive services to the community .

Specific Duties​
:
The AMO should be able to perform the following specific duties:
A. ln the District, should be able to:

•​
Supervise the implementation of Primary Health Care programs.

•​
Participate effectively in the district health team.

•​
Attend District planning committees.

•​
Attend any other meetings which promote health care.

•​
Supervise peripheral health workers.

•​
Arrange and conduct refresher course for other health workers in order to
improve their skills.

•​
Oversee the ordering of drugs, equipment and other supplies required by
health
units.
B. Within the district hospitals, they may take full responsibility for:

•​
All aspects of patients care, including emergency surgery and obstetrics

•​
Organizing and supervising the running of out - patient department

•​
Perform ward rounds

•​
Management of financial affairs in the absence of the D.M.O.
C. Within Clinical Officers Training Institutions they may undertake duties of teaching
and supervising students

D: They may be assigned to perform other duties as required by the respective authority

This is to say she is a doctor. Halafu kuna comment imetoka hapa kuwa hata wale wa meno sio madaktari, kweli jamani? DDS-Doctor Of Dental Surgey au?
 
Dr.Aisha Kigoda anastahili kabisa kuitwa Doctor kwani pamoja na kuwa hana degree ana advanced diploma in clinical Medicine ambayo kwa sheria za Tanzania anastajiliwa na Tanganyika Medical board kama general practioner ambayo anaruhusiwa kufanya kazi zote za kidaktari.
La msingi si kumlaumu Aisha ili kulaumu bunge lilopitisha sheria hiyo in that case AISHA hajaombwa aitwe doctor!!
Wakati Watanzania wanaona AMO si Daktari nchi hasa Zambia na Mlawi wameikubali kada hii.
Wastani wa uwiano kati ya daktari (MD) na wagonjwa ni 1:23000,hivyo fikrieni bila kada hii hali ingekuwaje hapa nchini.
tutakapokuwa na MD wa kutosha AMO itaondolewa lakini kwa kipindi hatuna jinsi na kwa taarifa yenu vituo vya afya vyote nchini vinajengewa operating theatres ili emergency surgical interventions zifanyike hapo na daktari atakuwa na AMO.
Angalieni mikoa ya pembeni kama Mtwara ambapo hapajawahi kupata daktari bingwa mpasuaji na operations zote zinafofanyika zinafanywa na hao hao AMO.
kupitia google search engine angalieni AMO by Pemba na ameelezea kwa kina.
 
TRAINING OF ASSISTANT MEDICAL OFFICERS IN TANZANIA
BY S K PEMBA PH.D, TTCIH, MARCH 2008
1: BRIEF HISTORY OF AMO TRAINING IN TANZANIA
The Assistant Medical Officer (AMO) is a health personnel who has undergone an
advanced course in the provision of health care. He/she is an intermediate between the
Clinical officer and the Medical officer capable of promoting and providing curative as
well as preventive services at district level. In Tanzania, formal training for Assistant
Medical Officers started at Muhimbili Medical Centre in the 1960's and was later on
shifted to Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) in 1976. To-date there are five
Assistant Medical Officers training institutions namely; KCMC, Bugando, Mbeya, Tanga
and TTCIH-Ifakara with an estimated annual output of 40 graduates per school.
The AMO is a holder of an Advanced Diploma in Medicine that is awarded by the
Tanganyika Medical Training Board. AMOs are registered to practice medicine, surgery
and midwifery by the Tanganyika Medical Council under the Medical Practitioners and
Dentists Ordinance of 1968 Cap 409. AMOs have an established scheme of service which
takes care of their terms and conditions of service.
2: TANZANIAN HEALTH SITUATION
Although Tanzania has made significant improvements in the economy in the past
decade with economic growth sustained at about 6% and absolute poverty somehow
reduced the health indices are still among the poorest in the world. The infant mortality
and maternal mortality rates are still unacceptably high. HIV/AIDS still remains a major
problem in Tanzania. The prevailing health situation has been related to a number of
factors such as the shortage of appropriately trained professional cadres as well as the
general deficiency of resources in the sector required to effectively deliver quality health
services. Other contributing factors include the brain drain of professionals such as
Medical doctors and graduate nurses to neighbouring countries, which offer better and
competitive working conditions.
2
Furthermore, poor staff deployment and inequitable staff distribution practices have led
to the concentration of most of the professional personnel in urban centres to the
detriment of health services in remote areas. Although there are guidelines on the
staffing patterns for each level of institution, this has not worked well over the years.
Most institutions in rural areas are under staffed and or staffed with inappropriate lower
cadre than those recommended in the guidelines. The situation is being made worse by
the non-competitive remunerations for the health workers especially the highly trained
staff.
3: JUSTIFICATION FOR TRAINING AMO CADRE IN TANZANIA
Because of long training and inadequate output of general Medical Officers, there
continues to be a need to have an intermediate, better trained cadre between Clinical
Officer and graduate Medical Officers to provide quality health care. Assistant Medical
Officers are more stable health professionals who can be deployed at District hospitals
and Health Centre levels where they can perform the role of Medical doctors at those
levels.
There is enough evidence that AMOs are more likely to work in rural areas to perform
various functions such as provision of diagnostic and case management services,
performing emergency surgery and management of other complications referred by
lower levels. It is assumed that training of Assistant Medical Officer cadre will in the long
term offset the shortage of medical doctors in the country. This cadre which is an
upgrade of Clinical Officers in a two year training programme will to a large extent be
able to perform the duties of medical doctors at the district and health centre levels.
It has to be acknowledged that there is urbanization of graduate doctors despite the fact
that 80 - 90% of the population live in the rural areas. This calls for training of AMO to
provide Health services to the rural population. As long as Medical doctors are not willing
to work in rural health facilities, the only viable option for improving the quality of health
services in the rural areas is through training and deployment of AMOs. It is on this
ground that TTCIH embarked on training AMOs beginning 2005.
3
4: DUTIES AND RESPONSIBILITIES OF AMOS
The AMO performs the following specific duties:
A: District hospitals:
• Supervise the implementation of Primary Health Care programmes
• Participate effectively in the district health teams
• Attend district planning committee meetings
• Attend any other meetings which promote health care
• Supervise peripheral health workers
• Arrange and conduct refresher courses for other health workers in order to
improve their skills
• Oversee the ordering of drugs, equipment and other supplies required by health
units
• Take care of all aspects of patients care, including emergency surgery and
obstetrics
• Organise supervise the running of out - patient departments
• Admit patients and perform ward rounds
• Manage financial affairs in the district especially when the District Medical Officer
is not available
• Carry out health system research activities in the district on relevant subjects so as
to effect intervention measures against basic problems
B: Training institutions:
• Teaching and supervising students
• Perform other duties as required by the respective authority
C: Community health
• Conduct health education to the community
• Monitor communicable diseases
• Design preventive measures
• Promote PHC programmes
4
5: PRINCIPLES AND REGULATIONS OF AMO COURSE
The AMO training in Tanzania is based on the following principles:
Previous training and experience
AMO course takes into account the fact that a foundation has already been laid in the
previous Clinical Officer training course. Basic Sciences and clinical skills are therefore
assumed to be already learned. It further takes into account the fact that the student has
had a working experience of a minimum of three years in the peripheral health units or
District Hospitals.
Main emphasis
In AMO training, emphasis is placed on further improving the quality of knowledge and
skills acquired in the previous training. Selection of content for inclusion in the curriculum
usually reflects the concern related to Primary Health Care delivery at the District and
peripheral health units.
Leadership role
The AMO training emphasizes equipping the graduate with leadership skills hence the
inclusion of planning, management, organization and supervision of Health services
topics in the course.
Continuing education
The AMO should be able to continuously update his/her knowledge and skills by
interacting with his colleagues, reading Medical Journals, attending refresher courses
and seminars and teaching subordinate staff.
Location and requirements of AMO Training Institutions
The course is normally conducted in a Consultant/Referral Hospitals or equivalent venue
with adequate facilities and resources for theory and clinical teaching. In addition, the
hospital must have an active Community Health department which facilitates training
and supervision of peripheral health units as well as Primary Health Care. The AMO
Training Institution should have tutors trained in a recognized University or equivalent at
5
Masters Degree level. The training Institution/hospital should be able to supply board
lodging to the trainees. The training centre must also possess a good medical library
which contains among the required books medical journals as well. In addition, there
should be sets of slide projectors, overhead projector, film projector, LCDs together with
stocks of slides, CDs and video tapes.
Entrance qualifications
To be admitted to AMO course, the candidate must fulfill the following requirements:
- An applicant must be a Form IV/VI Certificate holder with a Diploma in Clinical
Medicine from the Tanganyika Medical Training Board.
- He/She must have a sponsor to facilitate his/her training
- He/She must pass a pre-selection exam set by the Ministry of health except for
foreign students
- He/She must have a minimum of 3 years of working experience in a Health facility
with good recommendation from the employer.
- The age limit should not exceed 45 years
- Candidates who have been discontinued from MD training programmes after four
year of training may be considered for admission into the course
6. COURSE STRUCTURE AND DURATION
The course consists of 4 rotations of 14 weeks each with the exception of the Community
medicine rotation which has 13 weeks. Introduction to clinical medicine takes a block of 8
weeks and involves the teaching of the whole class at beginning of the course.
7: COURSE CONTENT
Part I covers the theoretical part in the following subjects: Internal Medicine, Pediatrics
and Child Health, Surgery, Obstetrics and Gynecology
Part II covers the Clinical rotations in the above subjects. The aim of the Clinical rotations
is to enable the AMO to acquire sufficient practical professional skills in the management
of all the Medical conditions common in the tropics.
6
Part III is Community medicine. The aim of community medicine course is to enable the
Assistant Medical Officer to manage both effectively and efficiently the PHC programs
under his/her jurisdiction.
8: FIELD WORK
This follows the layout presented under research/survey methodology. Because of
constraints of manpower and financial resources, it is only feasible to teach all units in
this discipline during the 8 weeks. The last four weeks are then spent on survey methods
as follows:
- 1st week survey protocol design at the school
- 2nd week data collection in the field
- 3rd week data analysis and report writing while at school
- 4th week report presentation in class plenary where there could be invited guests.
This last four weeks of the survey exercise is a reflection of all the knowledge learned in
the previous units.
9: TEACHING AND LEARNING METHODS
The course is based on adult learning/teaching methods. The main teaching/learning
methods include: group discussions, lecture-discussions, demonstrations, tutorials and
field work.
10: STUDENTS' ASSESSMENT
Students' assessment is an essential component of the AMO training programme.
Assessment is a means of getting information for decision-making. The purpose of
assessment is to monitor achievement in learning/teaching objectives and certification. It
is centered on three levels of domains: knowledge, practice and behavior. Basically the
assessment process involves continuous assessment and final qualifying examinations.
 
Dr.Aisha Kigoda anastahili kabisa kuitwa Doctor kwani pamoja na kuwa hana degree ana advanced diploma in clinical Medicine ambayo kwa sheria za Tanzania anastajiliwa na Tanganyika Medical board kama general practioner ambayo anaruhusiwa kufanya kazi zote za kidaktari.
La msingi si kumlaumu Aisha ili kulaumu bunge lilopitisha sheria hiyo in that case AISHA hajaombwa aitwe doctor!!
Wakati Watanzania wanaona AMO si Daktari nchi hasa Zambia na Mlawi wameikubali kada hii.
Wastani wa uwiano kati ya daktari (MD) na wagonjwa ni 1:23000,hivyo fikrieni bila kada hii hali ingekuwaje hapa nchini.
tutakapokuwa na MD wa kutosha AMO itaondolewa lakini kwa kipindi hatuna jinsi na kwa taarifa yenu vituo vya afya vyote nchini vinajengewa operating theatres ili emergency surgical interventions zifanyike hapo na daktari atakuwa na AMO.
Angalieni mikoa ya pembeni kama Mtwara ambapo hapajawahi kupata daktari bingwa mpasuaji na operations zote zinafofanyika zinafanywa na hao hao AMO.
kupitia google search engine angalieni AMO by Pemba na ameelezea kwa kina.
Mkuu tumwagie data sheria gani hiyo ili mtu ukiiweka hapa huu ubishi unaisha twende kwa fact mkuu!!
 
Kama "Dr." Asha Kigoda anaitwa "Dr." hadi sasa wakati kila mtu anajua sio Daktari kwa maana ya mtibabu basi tumwache tu awe kama "Dr." Lemmy Ongara, "Dr. Maji Marefu" n.k mbona wako kina "Prof". Vulata wakati hadi darasa la nne hawajafika. hata Radzan Karadic yule mtumiwa kule the Hague alijicha mkono wa sheria kwa muda mrefu akijifanya ni Daktari wa tiba. Waswahili wanasema mpumbavu mpe kichwa.
 
Jamani huku niliko mimi yeyote anayefundisha iwe chekechea, sendoary au chuo kikuu wanamwisha Professor, na pengine hata hajawahi kuwa na degree ya masters! ila wanapofanya mambo kiosifi/kitaaluma zao status zao ndipi zinaonyeshwa kama and PhD au laa mfano, Prof Dr. Madule etc. Je hao waheshimiwa wetu nao wanajitambulisha hivo katika official communication? ofkoz Pro J anajitambusha nao Dr Kigoda ndivo? au wavumishaji ndio humwita hivo?
 
Hii topic huja kila linapokuwepo Bunge pale Dodoma, je ina mahusiano na siasa za maji taka? Nimewahi kukutana na madaktari wengi wa kutoka USA na kitu kimoja kilichonishangaza wao hawapendi kujitambulisha kama doctor...fulani, bali wanatumia zaidi Mr, kwa Tanzania jina doctor ni deal wakati elimu yenyewe ndio hii tunayoijua na vitendea kazi vyao primitive, lakini napendekeza aitwe "Mganga wa Binaadamu"

ni kweli mkuu, ndio maana hnchi zingine hata mwalimu wa chekechea anaitwa professor, na ndio maana hata wale walimu wa chuo kikuuu wanapenda zaidi kuitwa kwa majina yao japo ni maprof. inapendeza sana, sijui kwa nn kwetu hawapendi kufahamika kwa majina yao? labda sababu wasomi wachache? maana ukimwita mtu kwa jina lake anaweza asigeuke au hata kukusaidia kama ulikuwa na shida kiofisi , wanataka mpaka watajwe hizo rank, ni vema ukapenda jina lako maana haibadillishi cheo chako.
 
And who is a 'Dr'???...Haya mambo yanachanganya kweli,kwetu kjijini Tinde tushazoea hata Clinical Officer(wa zahanati ya kijiji) twamuita 'Dokta',pia Medical assistants(wa vituo vya afya) n.k...Wapenda lugha ya Kiswahili huwaita matabibu...Tabibu ni nani sasa???,napata tabu hapa,wajuvi nielewesheni hapa

Sisi kwetu tunamwita "Mganga" yaani mtu ambaye anakupatia matibabu kutoka na ugonjwa wako. Dakitari huwa tunalitumia kwa mkuu wa hosipitali kama dakitari mkuu wa mkoa. Ila kwa mtu kuitwa Dokta au Dokta msaidizi kwangu mimi siyo issue, issue ni pale kama kwa kumwita hivyo kunamfanya afanye kazi za daktari bingwa na kupata mshahara wa daktari, kama hivi ndivyo basi ndiyo maana vifo ni vingi sana kwenye mahospitali yetu.
Mbona akina Matunge wanaitwa dokta pita, akina maji marefu wanaitwa professor. mchambuzi wa mpira Liki Abdalah anaitwa "Dr Liki". Calling a person so does not make him so
 
Labda kwa sababu jina 'Dr' lina utamu furani katika matamshi, je tukimwita "Mganga Aisha Kigoda" uzito na utamu wake ukoje! angekanusha? lakini vyovyote iwavyo tumwite Dr tu maana nakumbuka hata nilipokuwa Mazengo Secondary waliokuwa wakisoma PCB walikuwa wakiitwa ma-dr Unajua Elimu yetu Bado kuchambuachambua namna hiyo hatujafika huko Dada Aisha mheshimiwa huyu ni Dr tumpe heshima hiyo maadam hajakanusha.
 
mmakonde,
Lets be fair. Una hakika kuwa Muhimbili haina AMO's? Unasemaje kuwa Hospitali nyingi za wilaya Tanzania zilikuwa chini ya AMO's ( for lack of MD's) na wamefanya kazi nzuri sana. Wakati wote hao wameitwa madaktari. Je unafahamu kuwa WHO imetambua kada hiyo, na imekubaliwa kuwa hata na specialization, mathalan AMO (opthalmology)n.k. Nadhani unahitaji kutuwekea details zaidi ili Jamvi hili likuelewe vizuri.

Dr. Slaa,
AMO ni AMO sio Dr. Kule vijijini hata ma-nurse wengine wanaitwa madoctor, lakini hawatakiwi wakajitambulisha kwa kianzio cha Dr., ni upotoshi. Tuwape waliosoma haki yao na kulinda taaluma.

WHO wanawatambua kuwa wanao uwezo wa kusaidia pale inapokuwa vigumu kuwa na qualified Dr. Lakini hao hao WHO hawana uwezo wa kumfanya AMO kuwa DR.
 
Mimi naona matatizo yako kwa hawa MAKANJANJA wetu kwani wanaandika tu kwenye magazeti yao bila kufanya utafiti hata kujisomea vitabu ili waelemike; ndio maana mpaka leo hii bado wanawaandika wakina Kamala na Nchimbi kuwa ni "DR" wakati vyombo vya elimu ya juu vimekwisha eleza kuwa hawa jamaa hawastahili heshima hiyo na imewabidi warudi shule kusoma upya!!
 
Bulesi,kwenye blogu ya Michuzi,nilishangaa walimwita Dr Kikwete!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Oh my God,akina Mandela,Koffi Annan na wengine wengi wana digrii za heshima tena kubwa toka University za heshima!

Sijasikia wanamwita Dr Mandela.Sasa bongo tuna utiriri wa vyuo vikuu Tanzania.Kariuki imeanza kutoa udocta wa heshima,sasa tutaona Tumaini,then SAUT,
Morogoro Muslim University etc.

A big joke
 
Nashukuru shem..Sisi kule kjijini tushazoea kuwaita wale maclinical officer madokta,na si vijijini tu,hata ukienda hospitali za wilaya na mikoa utakuta Medical Assistants na AMOs wanaitwa madokta...Btw kwa wajuvi wa lugha ya Kiswahili,hivi kuna tofauti gani kati ya Tabibu na Mganga???
tatizo ni kuiba maneno ya kizungu na kuyatumia katika lugha zetu, kiufundi tabibu=mganga, mganga=tabibu, Daktari ni jina la sifa ya mwenye kiwango flani katika elimu fulani hivyo hapa ni sawa na mganga wa kienyeji+mchawi hawa ni watu wa aina moja kiutendaji tofauti ni mazingira yao ya kazi tu maana huwe kuwa mganga wa kienyeji bila kuwa mchawi, ni rahisi kuwa mchawi usiwe mganga wa kienyeji, lakini rahisi kuwa mganga wa kienyeji usiwe mchawi,
 
Ana RIA(Registered Industrial Accountant) certification ya Canada

Ni kweli. Ingawaje sijui kama kweli hiyo RIA ina hadhi sawa na CPA, ACCA, CA n.k. Lakini nina wasiwasi ni kacheti kadogo tu kwa ajili ya cost accounting ambayo is just a small part/branch of accounting.

Tiba
 
Tiba you are right,ni me google kupata hii RIA,naona sio straight foward.Duniani kwa accountants ni either CPA,ACCA,CA,CIMA!

Anyway Tanzania mediocre ni wengi sana,na ndiyo wanashika madaraka.
 
Back
Top Bottom